Daudi Ballali's Death

Status
Not open for further replies.
Hivi chenge nae sijui anakufa lini, maana kwavile alitishia kuwa atasema yote kupitia mwana sheria wake, nadhani nae angeanza kutia maji, mwenzie ndo hivo kishanyolewa
 
Mnafahamu kisa cha "mtema kuni" na kwanini tunao msemo "utakiona cha Mtema Kuni"? Mtema Kuni alifanya nini hadi akabakia kuwa mfano katika methali....?

According to my grandma,

Mtema kuni alivyomaliza kutema kuni zake, akakaa chini na kuanza kuvuta tumbaku kwa fujo. Alipopata stimu ya kutosha, akatupa majivu yenye moto kwenye nyasi na hivyo kuchoma msitu na kijiji kizima kikamshushia kipigo cha mbwa mwizi.
 
According to the dataz.....hata Lowassa, naye amepelekwa huko London kwa Chenge, kwa siri in the last three days!
 
According to the dataz.....hata Lowassa, naye amepelekwa huko London kwa Chenge, kwa siri in the last three days!

Nae si ajabu ni mgonjwa mahututi anavuta pumzi zake za mwisho kabla umauti haujamfika. Machale yamenicheza mkuu, Ballali kifo chake kina utata mkubwa kama walifikiri tutaamini kirahisi kwamba Ballali kafariki basi wameula wachuya.
 
nkwambia CCM kunawaka moto.... watauana mmoja baada ya mwengine.... pambafu.... dhambi zao zinawatafuna, malipo ni hapa hapa duniani
 

Hapa kazi Ipo.
 
Kwa kweli Kalumanzila mjinga, anakufa siku ya mshahara
 
Nae si ajabu ni mgonjwa mahututi anavuta pumzi zake za mwisho kabla umauti haujamfika. Machale yamenicheza mkuu, Ballali kifo chake kina utata mkubwa kama walifikiri tutaamini kirahisi kwamba Ballali kafariki basi wameula wachuya.

Mzee Issa Michuzi anadai habari zimeshatangazwa rasmi kweye vyombo vya habari. Labda watu walio nyumbani tungoje wadhibitishe ni msemaji gani wa serikali amesema haya!!!!!

Balali rudisha pesa zetu kabla hujazikwa!!!!!!!
 
1.
Hashim hajui? Vifo vya kutatanisha vikitokea Chicago, hawamuulizi Michael Jordan.

Hapana mkuu Michael Jordan ni jina kubwa sana kwamba akitaka info yoyote alipokuwa akiishi kule Chicago, angeipata kabla ya mlalahoi kama wewe kuipata, hili ni suala la common sense sio logic zako za chooni ambazo umezizoea za kutaka kwenda kuandamana kwenye nyumba ya Balali, hivi mkuu kichwa chako kiko sawa kweli mpaka kushauri this kind of nonesense?

Hashim ni a big star habari ya utata kama hiii ambayo ni of big interest kwetu wabongo, katika kutafuta dataz kuna tunaoweza kumtumia kwa kumuomba ampigie simu Governor wa state hiyo kuhusu hii habari, usi-understimate how we get dataz mkuu huwa tunageuza mawe yote na kufika usipotegemea, lakini ningekushauri kuwa kabla hujarukia jina langu in the future hakikisha kuwa hoja yako ina angalau a common sense, kwa sababu nimeshakuambia kuwa logic zako ni very shallow kama hii uliyoiweka hapa, ni just a pure nonesense!

2.
Hashimu akuulize wewe nini kinaendelea Bongo na Marekani, na hata Dunia ya Basketball ilivyo kiwanja hapa. Not the other way around.
Hashimu? Usimaindi Mkuu. Take it easy!

Hapana inaelekea kuwa unamsikia tu, the man anaongea hata rais wetu at anytime, anakuja bongo kila wakati na amezungukwa na wabongo all the time isipokuwa tu akiwa anacheza mpira wake, labda wewe mkuu wangu ndio ishu za bongo zinakupiga chenga na unaonekana huna hata mahali pa ku-verfy info za bongo, kwa hiyo inabidi ulalie logic zako za chooni, mimi siwezi kum-mind a joke kama wewe mkuu that is all you are a joke, ila umegundua kuwa unaweza kuwa maarufu hapa JF kwa kujaribu kurukia rukia jina langu, ninarudia mkuu katika kutafuta dataz na info za ndani au za siri huwa tunageuza mawe yote, ishu kama hizi unahitaji kukaa pembeni tu bro!

The ishu hapa ni "kifo cha Balali" sio Filed Marshall Super Es, sasa unaona logic zinavyokupeleka pabaya wewe unafikiri inanihusu mimi, sasa kaaa pembeni ule dataz na info hapa, mimi ninasema hivi Balali hajafa, wewe unasema nini bro?
 
tumeambiwa hii cinema ndo kwanza ilikuwa inaonyesha trailers, movie yenyewe bado......kwa hiyo nipo na kule kwetu huwa tunasogeza kipaketi cha njugu na maji ya miwa...!
 
kuna watanzania kibao wanaokufa kwa kukosa dawa za malaria, kujifungua bila medical care, hawa ndo mimi naomboleza, lakini kwa balali amekufa kifo sawa na savimbi, mobuto sesko na mafedhuli wengine
 
Nawapa pote wanfamilia wote na Watanzania kwa ujumla.

NB:KWENYE SINEMA STARING AKIFA NA PICHA IMEKWEISHA..... "EPA KESI IMEKUFA"
 
SI BURE..... Haiwezekani, wasomaji kibao, wachangiaji kuduchu tena "kimtegomtego" na kwa hakika badala ya kujadili msiba uko wapi, makaburi gani (Kama si kuchomwa) na kitabu cha ubani kiko wapi? Matanga yatakua wapi? Watu sasa wanajadili UTATA!!!!!! Kwa kweli tutaendelea KUZUGWA WEEEEE!!!! Tuje tuambiwe, "kwa kuwa aliyekua akisimamia EPA ametutoka, na kwa kuwa yeye ndiye shahidi muhimu, na kwakua fedha zetu zimerudi zote kabisa (huku walioziiba wakichekelea), na kwa kuwa hamuna uwezo wa kujua tulikozikusanyia hizo fedha, na kwa kuwa nchi inahitaji mshikamano, na kwa kuwa kilichokutwa na wakaguzi wa nje ni makampuni ambayo hayawezi kushitakiwa, na kwa kuwa shahidi wa kutaumia kwa hakika wamiliki hao ni nani amakufa, HIVYO BASI, kesi dhidi ya makampuni yaliyotuhumiwa kuchota Bilioni 133, imefungwa.....
 
Sidhani kama itakuwa rahisi kwa hawa watu kutuzuga kama wengi wanavyofikiri kwani Marekani mtu akifa sio siri ...hii ni information ambayo hiko open to the public.
 
Nawapa pote wanfamilia wote na Watanzania kwa ujumla.

NB:KWENYE SINEMA STARING AKIFA NA PICHA IMEKWEISHA..... "EPA KESI IMEKUFA"

Ingekuwa Watanzania wa mwaka 47 ningekubaliana nawe kwamba kesi ya EPA ndio imekufa, lakini Watanzania wa mwaka 2008 hii picha ndio kwanza inaanza na usishange kusikia kwamba sterling kafufuka alikuwa kazimia tu lakini hajafa.
 
Sidhani kama itakuwa rahisi kwa hawa watu kutuzuga kama wengi wanavyofikiri kwani Marekani mtu akifa sio siri ...hii ni information ambayo hiko open to the public.

Usivyotegemea kuwa sivyo vyaweza kuwa ndivyo ni SIRI KALI ya Tanzania inahuzunika. Ndivyo Sivyo au labda Sivyo Ndivyo.
 
Tunaisogelea EPA sasa, according to the dataz wabunge wanajitayarisha kwa mkakati mzito wa kumkoma nyani giladi, walimuonya rais mapema kwa kumpa majina ya wanaohusika ili asiwape uwaziri, na kweli rais akawatema wote aliopewa majina yao,

unajua according to the dataz shughuli kama hizi siku hizi hufanywa na the new close wa muungwana, mkulu Membe, ambaye tayari amechukua nafasi ya Lowassa, un-officially ndiye namba two siku hizi na ndiye hufikisha salaam zote za muungwana, chini kazi ambayo zamani ilikuwa ikifanywa na Rostam na Lowassa, ambaye nasikia siku hizi hata kumuona muungwana in private ni hakuna tena!

Je Rostam na Lowassa, watafanya nini kulipa kisasi? Membe anatafuta nini hasa? Je urafiki mpya wa muungwana na membe utadumu? 2010 kutakuwa na amani kweli?

Samahani kwa kutoka nje kidogo ya mada, unajua tena mijadala na dawa!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…