Daudi Ballali's Death

Daudi Ballali's Death

Status
Not open for further replies.
hapa kuna kitendawili,sijui ni kipi kifanyike ili ukweli ujulikane.la sivyo tumepigwa bao la kisigino
 
NB: Taarifa hizi si rasmi na si za familia au mwanafamilia wa Ballali na hivyo zaweza kubadilishwa wakati wowote ule bila ya maelezo. Ni matokeo ya uchunguzi wa KLHN International.

Mkjj mimi nimekaa pembeni naangalia movie nzima inavyokwenda na piece of information mnazozitoa kwa mafungu mafungu. Tuko pamoja
 
Basi tena, game limeisha

Balali 2 na Serikali 1 na wananchi 0
 
Na kama kuna watu wana siri ni bora wazitoe sasa hivi la sivyo mambo yakija kuwekwa wazi tutawajumuisha na wezao!

Wewe nawe kwa vitisho sikuwezi.

Maneno mengi lakini vitendo butu..... longolongo kama wasanii kina Kikwete
 
Nimecheka sana kuona wapinzani wanataka kuona mwili !

That "mwili issue" stays within the family and not the government. Hapa inaonyesha ni jinsi gani viongozi wetu hawapo makini. Suala hili ingekuwa vizuri watoe "ombi" na sio "amri".

Nakumbuka marehemu baba yangu mkubwa, alikuwa na mdogo wake ambae alikuwa kwenye cheo kikubwa jeshini miaka ya 80, na walitaka kumzika kijeshi na magwanda, dingi mkubwa alikataa kata kata na jeshi halikuweza kupinga. So, hii ishu ni strictly for the family !
 
Nimecheka sana kuona wapinzani wanataka kuona mwili !

That "mwili issue" stays within the family and not the government. Hapa inaonyesha ni jinsi gani viongozi wetu hawapo makini. Suala hili ingekuwa vizuri watoe "ombi" na sio "amri".

Nakumbuka marehemu baba yangu mkubwa, alikuwa na mdogo wake ambae alikuwa kwenye cheo kikubwa jeshini miaka ya 80, na walitaka kumzika kijeshi na magwanda, dingi mkubwa alikataa kata kata na jeshi halikuweza kupinga. So, hii ishu ni strictly for the family !

Kwani baba yako naye alikwiba mapesa ya watanzania kama Balali?
 
afe mara ngapi ? hizi frustrations zako mimi hazinihusu in any way ! keep that sh*tty a*ss to ya bu*tty self boy !

naona frustrations zimekuzidi hadi unabadili lugha sasa. wewe mama unaweza kuchagua kutetea ufisadi na ukapata baraka za mola.
 
Wewe nawe kwa vitisho sikuwezi.

Maneno mengi lakini vitendo butu..... longolongo kama wasanii kina Kikwete

Mimi namtisha nani?
We mi nakuachia Kada adili na wewe!
We ni mmojawapo wa wapambe wao na unajua sina time!
UPINZANI WENU NYINYI KINA MGAYA NA WENZENU UNA MASWALI!
Hivyo mwache kada aseme anayotaka kwasababu mpaka sasa wao ndio washindi!
Ila zamu ya wazalendo halisi inakuja!
 
Halafu wandugu kuna swali moja la kuhusu dini ya Bw Balali!
Je ni Moslem ama mkristo?
Kwasababu kama ni Msilam then hakuna uwezekano wa kuonyeshwa sura wakati wa heshima za mwisho!
Na pia kama ni Muislam kwanini apelekwe Kanisani?
 
Mimi namtisha nani?
We mi nakuachia Kada adili na wewe!
We ni mmojawapo wa wapambe wao na unajua sina time!
UPINZANI WENU NYINYI KINA MGAYA NA WENZENU UNA MASWALI!
Hivyo mwache kada aseme anayotaka kwasababu mpaka sasa wao ndio washindi!
Ila zamu ya wazalendo halisi inakuja!

Asante mushi kwa maneno matupu yasiyo na vitendo. Nasubiria kuona vitendo
 
aliyesema anataka kuifunga JF nani ? nipo hapa wakati wewe butty boy unafundishwa kucheza tennis chuo kikuu, upo hapo binti ?

Wewe ni fisadi tu na nitahakisha kila memba wa JF amekujua kama fisadi kila wakati utakapokuwa unatetea ufisadi hapa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom