Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,210
I AM BEGINING TO THINK he was a fool kukubali kuja kufanya kazi Tanzania, kama angebaki kulekule US huenda mauti yasingemkuta mapema namna hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afariki Ijumaa, mpaka Jumanne hata nyumbani kwake hakuna hata dalili ya msiba? Mimi jamani siamini hili, hapa tunadanganywa.
Jiandaeni kutoa rambirambi kwenye gogo.
Huyu mkewe ana nguvu ya kutoa taarifa Ikulu na BOT lakini hakuna taarifa hata kwa familia yake Iringa.
Jamani nisaidieni, ni mimi tu ambaye naona kuna jmambo sio sawa?
Mkuu ES, mimi nakubaliana na data zako.
I AM BEGINING TO THINK he was a fool kukubali kuja kufanya kazi Tanzania, kama angebaki kulekule US huenda mauti yasingemkuta mapema namna hii.
Afariki Ijumaa, mpaka Jumanne hata nyumbani kwake hakuna hata dalili ya msiba? Mimi jamani siamini hili, hapa tunadanganywa.
Jiandaeni kutoa rambirambi kwenye gogo.
Huyu mkewe ana nguvu ya kutoa taarifa Ikulu na BOT lakini hakuna taarifa hata kwa familia yake Iringa.
Jamani nisaidieni, ni mimi tu ambaye naona kuna mambo sio sawa?
Mkuu ES, mimi nakubaliana na data zako, hapa tunadanganywa.
Mkuu,
Je mtu akifa inakuwaje? Hapa issue sio kuumwa na badala yake ni kifo, je sheria inasemaje?
Kama info inaweza kupatikana, basi tusaidie kututafutia hapo, tujue kama tumefungwa magoli na tujiandae kuzika gogo.
Bubu.. yaani unaenda kwa Michuzi kuthibitisha habari za JF... we are the first in news.. others will always follow. Umeniangusha mzee.
Jamani Balali alifariki siku ya Ijumaa tarehe 16; ibada ya mazishi ni siku ya Ijumaa saa nne hapo Washington DC.
Mkuu usikose kwenda hiyo ibada ya mazisha, na wengine wote mtakaoweza
Afariki Ijumaa, mpaka Jumanne hata nyumbani kwake hakuna hata dalili ya msiba? Mimi jamani siamini hili, hapa tunadanganywa.
Jiandaeni kutoa rambirambi kwenye gogo.
Huyu mkewe ana nguvu ya kutoa taarifa Ikulu na BOT lakini hakuna taarifa hata kwa familia yake Iringa.
Jamani nisaidieni, ni mimi tu ambaye naona kuna mambo sio sawa?
Mkuu ES, mimi nakubaliana na data zako, hapa tunadanganywa.
Angalia updates kwenye KLHN... I'm out..