Daudi Kanyau alimtajirisha Eric Shigongo na magazeti yake ya udaku

Daudi Kanyau alimtajirisha Eric Shigongo na magazeti yake ya udaku

Eric siku hiz kashtuka anaongeza elim kidogo Hayo mambo alikuwa anafanya Hana shule
 
Unaonekana una taarifa nyingi sana ila wewe sio muandishi mzuri sasa hebu mtafute msagasumu, shunie, mzigua09 au yeyote yule then msimulie ili yeye ndio aiandike
Mimi kuandika vitu virefu nina tatizo navyo mkuu. Shunie anafaa zaidi hapo.
 
Yani mi nikimuonaga Kanyau nakumbuka tu ile voice note ya wadada wa mjini wakisimuliana kukimbia gegedo lake kwa jinsi lilivyo kubwa.
 
Nyie mmezaliwa juzi.Shigongo alikuwa anatumia gazeti la KIU kwa makubaliano baada ya mmiliki wake kushindwa kuliendesha vyema.Baada ya gazeti kufufuka,jamaa akadai gazeti lake toka kwa Eric,ndiyo chanzo cha gazeti la IJUMAA muibuka
Ni kweli hawa wa juzi hawajui! Huyu bwana, alianza na gazeti la Uwazi, akilichapishia Mwanza, baada ya kuwa linafanya vizuri, akahamishia "Tanzania",yaani Dar.
Hata Risasi na Amani hayakuwa yake, aliyanunua kwa MASHAKA MATONGO, "Abiora"!
 
Yani mi nikimuonaga Kanyau nakumbuka tu ile voice note ya wadada wa mjini wakisimuliana kukimbia gegedo lake kwa jinsi lilivyo kubwa.
Yaani hili analiweza Chuchunge maana mwili unasupport kujiviringisha vya kutosha
 
Ni kweli hawa wa juzi hawajui! Huyu bwana, alianza na gazeti la Uwazi, akilichapishia Mwanza, baada ya kuwa linafanya vizuri, akahamishia "Tanzania",yaani Dar.
Hata Risasi na Amani hayakuwa yake, aliyanunua kwa MASHAKA MATONGO, "Abiora"!
Tulimfaidi Shigongo ulikuwa ukipeleka habari na picha unasimulia kila kitu yeye anaweka majonjo kama vile aliona yeye aiseee.
 
Yaani hili analiweza Chuchunge maana mwili unasupport kujiviringisha vya kutosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ni balaa eti hamna anelimudu zaidi ya Bi Saida ndo maana hawaachani. Wengine wanaachaga mpaka hela wanaondoka maana halivumiliki.
 
Hukuelewa Daudi Kanyau alikuwa Kaputi kwani alitoka kifungoni mke akakuta ashachukuliwa mtoto wa Rais mstaafu Abas Mwinyi, enzi hizo ndio walikuwa kwenye chati. Shigongo alikuwa mnufaika kwani habari na picha za ugomvi watu walipenda kuziona. Kipindi hicho wenye simu walikuwa laki sita tu. Enzi za tritel na mobitel.
Hakuna smartfone hizo simu ilikua ni kupiga kupigiwa tu hamna udaku insta.
 
Tulimfaidi Shigongo ulikuwa ukipeleka habari na picha unasimulia kila kitu yeye anaweka majonjo kama vile aliona yeye aiseee.
Wasanii njaa alikua anawafata anatunga skendo wanamlipa msanii laki 2 hivi kumpooza wanauza gazeti.
 
Kumbe hata watoto wa Mzee Mwinyi nao wanauza dawa za kulewesha!!!!
Abas sijui kapotelea wapi,Huyu alikua ngunguri muuzaji
. Na hela jamaa alikua nayo,
Vijana wa Kino tunamjua alikua na demu kota pale nyuma MK Bar
 
Back
Top Bottom