Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
BAMAGA alishaondoka kitambo sana,sasa hiv yupo kwenye ghorofa yake Sinza Vatican..Okay Mtaa wa Aggrey Sasa Yupo BAMAGA.....Kumbe KACAT kaanza Kuuza BWIMBWI KITAMBO SANA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BAMAGA alishaondoka kitambo sana,sasa hiv yupo kwenye ghorofa yake Sinza Vatican..Okay Mtaa wa Aggrey Sasa Yupo BAMAGA.....Kumbe KACAT kaanza Kuuza BWIMBWI KITAMBO SANA.
aliwahi kulimiliki kwa muda , likamletea kelele sana, Ikabidi awarudishie wenye nalo. (Mke wa yule jamaa wa je wajua).Kwanza Kiu halijawahi kuwa gazeti la Shigongo!
Yupo hapa Tz ni rubani wa precissionNa abbas yuko wapi
Wewe ulicho comment kiko wapi? Tuliza mshono wewe.kama huna cha kucomment si ukae kimya? kwanini nisome huo upuuzi wako
aisee amejitahidi sana kutoka kuwa muuza mafuta ya petrol shinyanga mpaka kuwa billinaire sio mchezo, akika ukifika dar tu tayari form sixEric siku hiz kashtuka anaongeza elim kidogo Hayo mambo alikuwa anafanya Hana shule
Du SHIGONGO kumbe ana ghorofa sinza? Nilijua Hotel tu basi kumbe hadi Mghorofa? Sasa Kama ana mali kiasi icho ilikuwaje akaenda kulia kwa Zakhia Meghi? "KUNYWA MAJI MWANANGU".BAMAGA alishaondoka kitambo sana,sasa hiv yupo kwenye ghorofa yake Sinza Vatican..
Nyie mmezaliwa juzi.Shigongo alikuwa anatumia gazeti la KIU kwa makubaliano baada ya mmiliki wake kushindwa kuliendesha vyema.Baada ya gazeti kufufuka,jamaa akadai gazeti lake toka kwa Eric,ndiyo chanzo cha gazeti la IJUMAA kuibukaKwanza Kiu halijawahi kuwa gazeti la Shigongo!
Hahahaa nadhani ile hotel yke ndo kaamua kuifanya ofisiDu SHIGONGO kumbe ana ghorofa sinza? Nilijua Hotel tu basi kumbe hadi Mghorofa? Sasa Kama ana mali kiasi icho ilikuwaje akaenda kulia kwa Zakhia Meghi? "KUNYWA MAJI MWANANGU".
Mjini chuo kikuu mkuu.aisee amejitahidi sana kutoka kuwa muuza mafuta ya petrol shinyanga mpaka kuwa billinaire sio mchezo, akika ukifika dar tu tayari form six
Ni kweli hawa wa juzi hawajui! Huyu bwana, alianza na gazeti la Uwazi, akilichapishia Mwanza, baada ya kuwa linafanya vizuri, akahamishia "Tanzania",yaani Dar.Nyie mmezaliwa juzi.Shigongo alikuwa anatumia gazeti la KIU kwa makubaliano baada ya mmiliki wake kushindwa kuliendesha vyema.Baada ya gazeti kufufuka,jamaa akadai gazeti lake toka kwa Eric,ndiyo chanzo cha gazeti la IJUMAA muibuka
Yaani hili analiweza Chuchunge maana mwili unasupport kujiviringisha vya kutoshaYani mi nikimuonaga Kanyau nakumbuka tu ile voice note ya wadada wa mjini wakisimuliana kukimbia gegedo lake kwa jinsi lilivyo kubwa.
Tulimfaidi Shigongo ulikuwa ukipeleka habari na picha unasimulia kila kitu yeye anaweka majonjo kama vile aliona yeye aiseee.Ni kweli hawa wa juzi hawajui! Huyu bwana, alianza na gazeti la Uwazi, akilichapishia Mwanza, baada ya kuwa linafanya vizuri, akahamishia "Tanzania",yaani Dar.
Hata Risasi na Amani hayakuwa yake, aliyanunua kwa MASHAKA MATONGO, "Abiora"!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Ni balaa eti hamna anelimudu zaidi ya Bi Saida ndo maana hawaachani. Wengine wanaachaga mpaka hela wanaondoka maana halivumiliki.Yaani hili analiweza Chuchunge maana mwili unasupport kujiviringisha vya kutosha
Hakuna smartfone hizo simu ilikua ni kupiga kupigiwa tu hamna udaku insta.Hukuelewa Daudi Kanyau alikuwa Kaputi kwani alitoka kifungoni mke akakuta ashachukuliwa mtoto wa Rais mstaafu Abas Mwinyi, enzi hizo ndio walikuwa kwenye chati. Shigongo alikuwa mnufaika kwani habari na picha za ugomvi watu walipenda kuziona. Kipindi hicho wenye simu walikuwa laki sita tu. Enzi za tritel na mobitel.
Wasanii njaa alikua anawafata anatunga skendo wanamlipa msanii laki 2 hivi kumpooza wanauza gazeti.Tulimfaidi Shigongo ulikuwa ukipeleka habari na picha unasimulia kila kitu yeye anaweka majonjo kama vile aliona yeye aiseee.
Abas sijui kapotelea wapi,Huyu alikua ngunguri muuzajiKumbe hata watoto wa Mzee Mwinyi nao wanauza dawa za kulewesha!!!!