Davet live interview on DJ sepetu show!

Mmh
 
Changamoto gani kubwa inayokukabili katika biashara yako?
Changamoto kubwa inayokabiri biashara yangu mkuu kwanza kabisa biashara yangu ninayoitegemea ipo kariakoo kwahiyo pale gharama za uendeshaji zipo juu sana, pia viongozi wa eneo husika wanapenda sana kutengeneza mazingira ya wao kupata pesa kupitia biashara yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…