David Beckham atua Tanzania. Utalii Tanzania unapaa

David Beckham atua Tanzania. Utalii Tanzania unapaa

Sasa list ya watu 4000 list hapo....iyo ni research ilifanywa na Tanzania was includef
Wewe jamaa huna exposure, unataka kutafuta umaarufu kupitia JF.
Yaani kati ya watu ambao nimewahesabu kichwani zero wewe ni namba 1. Unamambo ya kitoto sana.
 
Are we still on induvidual visitors?? Smh....sai ni 2017

Beckham isnt even a billionaire......

Mnakaa watoto.....sasa kitua Tanzania alitumia pesa ngapi?

Probably stayed for a week spending 2000-8000$ a day which isnt the case probabky spent less than 50000$ for the whole trip sleeping food and travels ....na akarudi...now 5mn itasaidia nani?
Pamoja Na hayo ila huyu jamaa ni maarufu anaviongezea nguvu vivutio vyetu vya kitalii
 
Kwetu billionaires r dinning n winning in the Serengeti n the Selou all year round
 
Sisi anatuhusu nini???

Au anakuja kujiunga uvccm???
Utawehuka siyo munda mrefu. Ukiendelea hivyo ubongo wako utakuwa na matege. Wanasaiolojia wanasema ukifanya jambo kwa kulirudia siku saba inakuwa tabia yako.
 
Bashite atamsaka kwa hali na Mali nawambieni......[HASHTAG]#jokes[/HASHTAG]
 
Itabaki historia Victoria na David Beckham walitembelea Tanzania kabla ya Kenya [emoji38]
 
Back
Top Bottom