David Beckham atua Tanzania. Utalii Tanzania unapaa

Itabaki historia Victoria na David Beckham walitembelea Tanzania kabla ya Kenya [emoji38]

Ndugu, Victoria Beckham na watoto wake walikuwa Kenya last year. (You can Google that).
But hizi habari zimeacha kuwa kubwa sana Kenya.
Julia Roberts, Demi Lovato, Madonna, Aaron Ramsey, Pep Guardiola na wengine sikumbuki saa hii, wamekuwa safari Kenya in the last few months.

Sana sana hizi habari hazifiki Jamiiforums kwa sababu si habari kubwa sana Kenya.
Idadi ya English Royalty inayofika Laikipia peke yake kila mwaka haijawai onekana Tanzania karne hii.

Ata King wa Holland juzi alikuwa rubani wa ndege za Kenya Wildlife Service.
 
Infact hadi Jose mourinho amewai fika
 
kaja vacation wenzetu akienda celebrity kama yeye anaenda kufanya jambo ambalo atanufaika nalo hata mkaazi wa kibera
 
Ooh dar slum naskia mko na kila kitu hadi gorofa refu duniani but wazungu huwarank nyuma ya Nairobi. Iyo ni chuki ama
nadhani hapa kunalugha gongana ungeelewa kwenye comment yangu yakwana usingekuwa unapayuka kijinga kiasi hiki tatizo kiswahili hukijui
 
Check video
Mafanikio ya Tanzania ni mafanikio yetu. Lakini majirani zetu wakenya acheni wivu.

Utalii haupai kwa watu maarufu kutembelea nchi, Bali kwa mazingira rafiki katika miundombinu, mahoteli yenye hadhi kwa kila kada ya uwezo, matangazo na usafiri toka kwetu kwenda kwenye masoko huko wanakotoka, haya ni baadhi.
 
nadhani hapa kunalugha gongana ungeelewa kwenye comment yangu yakwana usingekuwa unapayuka kijinga kiasi hiki tatizo kiswahili hukijui
Ooh kiswahili ata tufanye mtihani na wewe na kushinda....any way no need to give you a lugubrious day...I have fastidiously noticed that we can talk nothing with fools like you from bongolala
 

Mbali na kuongea
Hata mwandiko wake tu
Utajua ni MKENYA[emoji3]
 
Ooh kiswahili ata tufanye mtihani na wewe na kushinda....any way no need to give you a lugubrious day...I have fastidiously noticed that we can talk nothing with fools like you from bongolala
kuongea kimagharibi katika mazungumzo ya kiswahili nao ni ujinga vilevile,mihemko yanini wakati nachokizungumza kikowazi rudia kusoma nilichokiandika mwanzo usiuvae mkenge kama hayawani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…