David Kafulila ahutubia Dunia kupitia Africa Energy Summit M300

David Kafulila ahutubia Dunia kupitia Africa Energy Summit M300

Mtanzania Tajiri

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2024
Posts
341
Reaction score
319


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.

Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.

Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.

Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.

Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.

Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
 
View attachment 3217060
View attachment 3217061

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema tangu serikali ya Tanzania ifanye marekesho ya sheria na miongozo yake mbalimbali sasa kiwango cha wawekezaji kuja kuwekeza nchini Tanzania kimeongezeka.

Kafulila ameyasema hayo wakati akihitimisha siku ya kwanza ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika unaohusu Nishati unaofanyika kwa siku mbili nchi Tanzania kuanzia Januari 27 na 28, 2025 katika kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Mwl Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.

Aidha Kafulila ameongeza kuwa, serikali ya Tanzania itaendelea kufanya marekebisho ya sheria na miongozo ambayo bado inaleta changamoto kwa wawekezaji na hatimaye kutimiza ajenda M300 ya kuwafikishia nishati ya umeme waafrika milioni 300 ifikapo mwaka 2030.

Mhe Kafulila amesema ni lazima sekta binafsi Africa yote zihusishwe katika mchakato huo kwa sababu ndio wadau wakubwa wa maendeleo ulimwenguni kote.

Ameongeza kuwa ajenda hiyo haipaswi kuwa ya mipango pekee bali iwe ya kiutendaji zaidi na hatimaye iweze kuleta manufaa barani Afrika kwa waafrica.

Ukiacha Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan aliyekuwa mgeni rasmi kuhutubia mkutano huo wa M300 wengine ni Naibu Waziri Mkuu Mhe Dkt Dotto Biteko, Waziri wa Fedha Mhe Dkt Mwigulu Nchemba na Mhe David Kafulila Mkurugenzi wa kituo cha Ubia nchini PPPC.
Safi sana Kafulila,

Mama MITANO TENA
 
Kuhutubia mkutano mkubwa wenye watu wengi unaweza kukwama na kukosa points za kuzungumza hata uambiwe uongee kwa kiswahili au lugha unayoifahamu.

Sasa imagine , kutafuta tu points za kuzungumza kwa kiswahili ni shida halafu unaambiwa hutubia kwa kiingereza, hapo ndipo utabaki kukodoa macho kama umepigwa shoti.

Hizi hotuba wana rehearsal sana kabla ya kuzungumza, hata wanasiasa wa US, EU n.k kuna mikutano wakienda lazima afanye mazoezi ya speech hio kwanza na bado wakati mwingine wanakuwa na kijikaratasi cha kusoma ili kumuongoza.


Anaongea english ya kawaida na kajitahidi.
 
Kuhutubia mkutano mkubwa wenye watu wengi unaweza kukwama na kukosa points za kuzungumza hata uambiwe uongee kwa kiswahili au lugha unayoifahamu.

Sasa imagine , kutafuta tu points za kuzungumza kwa kiswahili ni shida halafu unaambiwa hutubia kwa kiingereza, hapo ndipo utabaki kukodoa macho kama umepigwa shoti.

Hizi hotuba wana rehearsal sana kabla ya kuzungumza, hata wanasiasa wa US, EU n.k kuna mikutano wakienda lazima afanye mazoezi ya speech hio kwanza na bado wakati mwingine wanakuwa na kijikaratasi cha kusoma ili kumuongoza.


Anaongea english ya kawaida na kajitahidi.
Ila Kwakweli kaongea vizuri sana
 
Back
Top Bottom