David Kafulila ahutubia Dunia kupitia Africa Energy Summit M300

VIVA CCM VIVA
 
Mbona kiko broken sana? Panapotakiwa plural mbona anasema in a singular form? Kama hicho unakisifu bado utakuwa hujui Kiingereza!
 
Wi nidi to alaini gavmenti, lendaz endi praivati sekta! Sio mbaya kibongobongo
Mbongo piga kiingereza, wape statistics, na maneno magumu magumu kidogo ya kiingereza maana hakuna atakayekwenda kuverify kwamba hizo statistics ni za kweli na hayo maneno magumu yanamaanisha nini. Ukifanikiwa hapo basi utakuwa msomi na mwenye akili na hazina kwa watanzania.
 
Nilivyoona heading nilidhani uzi utakuwa ni wa Lucas Mwashambwa
 
Wana vibao wanasoma kama hujui ,kuhutubia ni kipaji kama yule pastor Tonny ana kipaji... Viongozi wengi hawana hicho kipaji ila sio kesi.

Wazungu Wana vibao wanasoma hata umuone anaangalia mbele.
 
Mbona ni kile kile cha Hi school ! My morning speech is about Government , Government is group of the people by the people for the people
Kiingereza chake kibovu
Align align kibao ameshindwa kutengeneza sentence au paragraph iliyonyooka yenye align moja tu na subtitles zinazohusu align bila kurudia rudia align

Kingereza zero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…