Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
Tunaweza kuzipata na sisi
New Partnership Aims to Connect 300 million to electricity by 2030
WASHINGTON, April 17, 2024 – The World Bank Group and African Development Bank Group are partnering on an ambitious effort to provide at least 300 million people in Africa with electricity access by 2030.
Mission 300 is Powering Africa
Mission 300 - The World Bank Group and partners’ initiative to scale up electrification in Sub-Saharan Africa – because no economy can grow in the dark
Like serious unawezaje kufuatilia planned event and comment on it bila ya kufanya simple research on what’s its all about.
Hizi sio info za kuombana JF, kila mtu alitakiwa kutafuta theme ya mkutano kabla ya kuchangia.
Kuwa na rough idea kitu gani serikali itapeleka huko👇
Ushiriki wa Maprofesa wetu katika Africa Energy Summit
Frida Amani simpati ila nadhani nae angefaa Ni mdada Moja hivi mtangazaji/msanii anafanya(ga) kipindi na Millard Ayo
Hata kama awakupeleka hayo mambo juu kama yalivyo kwenye sera luluki zilizipo tayaru. For the most hiyo proposal waliyoinadi huko (Tanzania energy compact) msingi wake ni existing policies za serikali na Tesco growth strategies.
As a forum our stance was to argue on the merit of strategies viability kwa uelewa wa maswala energy security, uchumi and so forth.
Maswali mengine unaulizwa, na wewe unajiuliza ifs even worth replying to.