David Kafulila alitetemesha Bunge na kupokelewa kifalme

Hivi mkuu huyo mama yako akimaliza mda wake , ndio utakuwa mwisho wako wa hizi siasa uchwara?
 
Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo viroja
 
Hivi mkuu huyo mama yako akimaliza mda wake , ndio utakuwa mwisho wako wa hizi siasa uchwara?
Nitaendelea kuwa na Mheshimiwa Rais hata akistaafu hapo 2030 Nitaendelea kumkumbuka alama zake na yale aliyoyafanya kwa Taifa letu,kama ambavyo tunaendelea kumkumbuka Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
 
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Hata ikishinda haina uwezo wa kufikisha 50%, na ndani ya chaguzi 2 ccm itakuwa chama Cha upinzani na kifo Moja kwa Moja. Ukiona haiko tayari kwa tume huru ya uchaguzi, ujue hofu Yao ni kwenye ukweli huu.
 
Vipi umempikia chai Tumbili wako?? Au tayari upo mtaani kuusaka umbea??

Jitahidi kumpikia kabla kabla hajaoa mwingine
Nakusamehe bure kabisa maana naona video hiyo imekuvuruga kabisa akili yako
 
Hata ikishinda haina uwezo wa kufikisha 50%, na ndani ya chaguzi 2 ccm itakuwa chama Cha upinzani na kifo Moja kwa Moja. Ukiona haiko tayari kwa tume huru ya uchaguzi, ujue hofu Yao ni kwenye ukweli huu.
Itashinda kwa zaidi ya 90%
 
Hoja hujibiwa kwa hoja na siyo viroja
Kwasababu ya viroja ndio mana sisiemu inatumia Watu wa kaliba yako kwakuamini bado wananchi wa leo ni wale wa sera za ukomonisti kwenye Arusha declaration jifunzeni kilichowakuta ANC hawakubadilika na mahitaji ya wakati na walishupaza shingo kwakuamini watu wanawakubali, ndio mana hatushangai mnapolalamikia wapinzani ile hali mmekua madarakani zaidi ya miongo sita ila majority ya generation ya uongozi ni koo zile zile mlizozitengeneza na jamii ya wapambe walamba soli wanaoamini kupata nafasi kwakusifia lile tabaka lililojimilikisha nchi sasa bahati mbaya na wewe umeingia kwenye hili tabaka la pili la wapambe lakini unfortunately mnasahau kua generation inayoongozwa saa hii imebadilika kabisa bila ku allign nayo ni suala la muda tu kujizolea aibu.
 
Haitashinda, bali watatangazwa washindi na tume isiyo huru ya uchaguzi.
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
 
Usiifananishe CCM na ANC,kwa kuwa CCM ipo mbele ya wakati na ni chaka kiongozi Barani Afrika na ndio maana vyama vingi sana huja hapa Nchini kwa ajili ya kujifunza masuala mbalimbali ndani ya CCM.
 
Hivi kuna vyuo vinatoa kozi za uchawa? Nahisi we jamaa una PHD kwenye hiyo kozi. Hizi sifa ungekuwa wazitoa kumtukuza Mola wako, basi pepo kwako ingekuwa wazi sana. Unaijua sana kazi yako ya kusifu na kupamba wanadamu. Wanakulipa kiasi gani?
 
Waheshimiwa wabunge wameguswa sana mpaka wengine wameshindwa kuficha hisia zao za upendo kwa Mheshimiwa Kafulila.nakujikuta wakipiga makofi kwa hisia kali sana huku macho yao yakiwa ni kama yanataka kutokwa na Machozi
Teh teh... Kupiga makofi kwa hisia kali!!? Duh.. hiyo kiboko. Umejua kuwasemea wabunge. Yaani umekuwa mbunge wa wabunge [emoji16]
 
Hivi kuna vyuo vinatoa kozi za uchawa? Nahisi we jamaa una PHD kwenye hiyo kozi. Hizi sifa ungekuwa wazitoa kumtukuza Mola wako, basi pepo kwako ingekuwa wazi sana. Unaijua sana kazi yako ya kusifu na kupamba wanadamu. Wanakulipa kiasi gani?
Mimi ni msema kweli na mzalendo kwa Taifa langu na siyo kwamba naandika kwa ajili ya kulipwa chochote kile.
 
Hata ije Tume ya uchaguzi kutoka marekani bado CCM itapita na kushinda kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima.
Haina uwezo huo, ingekuwa na uwezo huo ingekubali tume huru ya uchaguzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…