Naona hoja imekuwa nzito kwako mpaka umeshindwa kuelewa namna ya kujibu. Vipi walioanzisha tuzo ya mfanyakazi bora ? Je huyo mfanyakazi anafanya kazi pekee yake? Kwanini kuna tuzo kama vile MO Ibrahim au Nobel? Nipe majibu haraka sana japo najuwa uwezo wako ni mdogo.
Sijatembea maeneo mengi ya nchi hii ila kwa yale machache niliyofika Simiyu ni moja wapo, Simiyu ni sehemu ambayo mkulima wa pamba, mahindi, alizeti, choroko,dengu, mbaazi na mtama mwekundu anahitaji msaada mkubwa sana kwenye swala la bei, wakulima hawa wanalima kwa moyo sana ila linapokuja swala la bei ni huruma tupu hakuna wanachotaka bei niza chini sana. Ushirika inabidi upewe nguvu sana ili mkulima apate bei nzuri,vyama vya ushirika ambavyo vipochini ya chama kikuu vina hali mbaya sana,
Naona hoja imekuwa nzito kwako mpaka umeshindwa kuelewa namna ya kujibu. Vipi walioanzisha tuzo ya mfanyakazi bora ? Je huyo mfanyakazi anafanya kazi pekee yake? Kwanini kuna tuzo kama vile MO Ibrahim au Nobel? Nipe majibu haraka sana japo najuwa uwezo wako ni mdogo.
Mheshimiwa Rais Anaendelea kuimarisha taasisi ,ambapo pia hizo taasisi zinahitaji watu imara, wazalendo, wachapakazi na wasafi aina ya Mheshimiwa David Kafulila.ndio maaja WAZALENDO Tunaendelea kuwaunga mkono wazalendo wetu bure kabisa.
Mheshimiwa Rais Anaendelea kuimarisha taasisi ,ambapo pia hizo taasisi zinahitaji watu imara, wazalendo, wachapakazi na wasafi aina ya Mheshimiwa David Kafulila.ndio maaja WAZALENDO Tunaendelea kuwaunga mkono wazalendo wetu bure kabisa.
BEI YA PAMBA JUU,TOKA TZS 810 FY2020|21 HADI TZS 1,800 FY2021|22,KILA KONA YA NCHI NI SAMIA, SAMIA, SAMIA Bei ya Pamba Tanzania imepanda kutoka Tshs 810/kg FY 2020|21 mpaka Tshs 1,720-1,800/kg FY2021|22 kwa kilo, Hii ni sawa na ongezeko chanya la 125% liicha ya awali bei hiyo kuzinduliwa...
Wewe unakuwa umejawa na.... Maana mwanaume kamili hawezi kuja andika huu upuuzi. Unadandia dandia wanaume siku zote huna cha kufanya ni kujirahisi tu kwao.
Uongozi ni kuacha alama zinazoishi katika Maisha na mioyo ya watu,ni kuacha kitu kitakacho simuliwa vizazi kwa vizazi,ni kuacha rekodi ambayo itaimbwa na kuzungumzwa na watu kwa miaka mingi hata kama wewe utakuwa haupo uongozini au Duniani lakini utaendelea kuishi na watu japo hupo Duniani au madarakani.
Uongozi siyo habari ya umeongoza miaka mingapi au umekaa miaka mingapi. kinachomfanya mtu akakumbukwa na watu ni kazi alizozifanya kwa muda alipokuwa na madaraka au hai na faida ya uhai wake kwa watu na uongozi wake ulivyogusa maisha ya watu.
Ndio maana leo hii viongozi na watu kama John F Kennedy ,Dr Martin Luther King Junior,BoB Marely ,Abraham Lincolin wanaendelea kukumbukwa na watu wengi sana Duniani kwote licha ya kwamba walikufa miaka mingi na waliishi miaka michache Duniani kabla ya kufikia uzee wao. Ndio maana pia viongozi kama Edward Moringe Sokoine wanakumbukwa na Taifa letu japo walikaa madarakani kwa Muda mfupi lakini historia zao na majina yao yameganda na kunasa katika mioyo ya watanzania kutokana na mikono yao na kazi zao kugusa maisha ya watu na kuleta matokeo Chanya.
Hii maana yake nini? Unaweza kuongoza kwa miaka mingi,kukaa madarakani au kwenye cheo fulani kwa miaka mingi na bado usikumbukwe na yeyote yule pale ambapo utaondoka leo.unaweza kuondoka leo kwenye ukuu wa mkoa au uwaziri au uwaziri mkuu au uspika au ukurugenzi wa taasisi fulani halafu kesho watu wakasahau kabisa kama ulikuwepo kwenye nafasi fulani.kwanini? Kwa sababu uongozi wako na uwepo wako kwenye kiti haukugusa wala kubadilisha maisha ya watu au mtu yeyote yule.kwa hiyo ulikuwa kama mvuke au moshi tu ambao umekuja na kupita.
Mheshimiwa David Kafulila licha ya kukaa katika nafasi ya Ukuu wa mkoa Wa Simiyu kwa muda mfupi lakini bado anaendelea kukumbukwa na wana Simiyu kama mkuu wa mkoa aliyeleta tabasamu,furaha, matumaini na kuwainua kiuchumi kwa kupaisha Bei ya pamba yao ambayo kwa karibu 70% ya pamba yote Tanzania inatokea Simiyu kufikia bei ya 2200 kwa kilo, bei ambayo haikuwa kutokea tangia Nchi yetu ipate uhuru.leo anakumbukwa na kusemwa kuwa hapa Simiyu kilipita na kulipita CHUMA David Kafulila aliyeleta Nuru kwa wakulima na maendeleo kwa kaya za wanasimiyu.
Jiulize wewe kiongozi uliyepo kwenye cheo fulani au wadhifa fulani ukiondoka leo kwenye nafasi uliyopo watu watakukumbuka kwa lipi? Umegusa maisha ya watu wangapi? Umeleta tabasamu kwa kaya ngapi? Wangapi wamepata nuru kutoka gizani? wangapi wamepata matumaini kupitia mikono yako? Wangapi wanatamani urejee au urudishwe au uongezewe muda au kukuombea dua na maombi mema ya kurejea au kupata cheo kikubwa au nafasi fulani? Utakumbukwa kwa lipi ndugu yangu? Au unaisha na kufanya kazi ilimradi tu watoto wako wapate ugali mezani? Umebadilisha maisha ya wangapi?
Wangapi wanaona uwepo wako hapo ulipo ni baraka na mlango wa wao kutokea kimaisha na kuinuka kiuchumi? Wangapi wanakukumbuka kwa mema?
Gusa maisha ya watu, Leta tabasamu kwa watu,washa taa kwenye mioyo ya watu,inua watu,shika mikono ya watu uwainue juu,wape matumaini watu ili siku moja Ukumbukwe kama ilivyo kwa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere,Nelson Mandela,kwame Nkrumah, Keneth Kaunda, Winnie Mandela na wengine wengi sana. Lakini pia ukifanya vyema utaungwa mkono ukiwa bado hai kama ilivyo kwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha uongo wako wewe. Ameuaje kilimo mtu na kiongozi aliyepaisha bei ya pamba kufikia 2200 kwa kilo? Kwa hiyo kuinua kilimo cha pamba ni kumpa mkulima bei ya chini? Kuinua pamba ni kukopa pamba ya mkulima bila malipo na kuchelewesha malipo? Nenda uwaambie huo ujinga wana Simiyu uone watakavyo kujibu kwa hasira. Wana Simiyu na wakulima wa pamba wanahitaji bei nzuri ya pamba yao.
Mimi ninakuuliza unakijua kilimo cha Pamba?
Wewe unajua bei ya Pamba namna inavyopatikana?
Kafulila amekaa Simiyu kwa muda gani?
Kwanini mama Samia alimtumbua kwa hasira Kafulila kule Simiyu?
Kwanini wananchi wa Simiyu wanamchukia mnoo Kafulila?
Kwanini wananchi wa Simiyu mpaka leo hii wanamkumbuka na kumhitaji mnoo Anthony Mtaka?
Mimi ninakuuliza unakijua kilimo cha Pamba?
Wewe unajua bei ya Pamba namna inavyopatikana?
Kafulila amekaa Simiyu kwa muda gani?
Kwanini mama Samia alimtumbua kwa hasira Kafulila kule Simiyu?
Kwanini wananchi wa Simiyu wanamchukia mnoo Kafulila?
Kwanini wananchi wa Simiyu mpaka leo hii wanamkumbuka na kumhitaji mnoo Anthony Mtaka?
Embu acha porojo zako wewe .nani alikwambia kuwa alitumbuliwa kwa hasira? Kwanini alipewa tena uteuzi? Unajuwa Mhessimiwa Rais anaweza kukutoa mahali popote pale na kukupeleka mahali popote pale kwa wakati wowote na muda wowote ule?
Unafahamu mbinu alizotumia Mhessimiwa Kafulila kupandisha bei ya pamba mkoani Simiyu?
Mimi ninakuuliza unakijua kilimo cha Pamba?
Wewe unajua bei ya Pamba namna inavyopatikana?
Kafulila amekaa Simiyu kwa muda gani?
Kwanini mama Samia alimtumbua kwa hasira Kafulila kule Simiyu?
Kwanini wananchi wa Simiyu wanamchukia mnoo Kafulila?
Kwanini wananchi wa Simiyu mpaka leo hii wanamkumbuka na kumhitaji mnoo Anthony Mtaka?
1. Unasema Wananchi wa Simiyu wanamchukia Samia kwa sababu ya Kafulila fine,
Swali,
a). Kama Kafulila na Rais Samia waliwapa bei ya TZS 2,200 na wanamchukia Rais Samia kama unavyosemaga humu fine,
Vipi kabla na baada ya Kafulila walipopewa bei ya TZS 1,000 wamempenda zaidi Rais au RC aliyeko au huyo Mtakatifu Unayemtaja taja hapa?
Wewe huna akili,
Wananchi wamchukiaeje Kafulila aliyewapa bei NoNo ya 2,200 waje wampende wa 1,000,???!!!
Sikia Crde ,
Hakuna kipindi Rais Samia na Serikali yake na Chama chetu tulifurahiwa na Wanasimiyu kama wakati wa Kafulila achana na majungu ya hao Watakatifu unaowataja taja hapa.
Kafulila aliingia Simiyu 2021 na akauza Pamba yake 2022 kwa TZS 2,200.
Then akaondolewa kwa hasira kama unavyosema wewe.
Kumbe hasira hizi mlizichochea ninyi kwa masilahi yenu.
Simiyu huwezi kuzungumzia Pamba ya TZS 2,200 bila kumtaja Kafulila na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan.
Mwisho niweke sawa hili.
Mkoa wa Simiyu tunampenda sana Rais Dkt Samia Suluhu Hassan hata kama kura ikipigwa Leo atapata kura zaidi ya 85% so wait and see 2025.
Crde najua wewe ni mwanachama mwenzangu ila unaungomvi binafsi na Kafulila ila plz soma hapa polepole.
👇👇👇
Kafulila alianzisha kitu kinaitwa "Simiyu model" .
Nia ya hii Model ni kutaka Ushirika kushindana na watu binafsi katika ununuzi wa Pamba.
Lakini pia Kafulila alianzisha kamati za pamba kudhibiti Kila hujuma ya walanguzi wa Pamba.
Matokeo ndio hayo bei ikafika mpaka 2200 wakati miaka yote bei ya pamba haijawahi kuzidi 1,200 kwa mkulima.
Ndio Wapo watu kama wewe mnaoweza kusema sababu ni kupanda kwa bei ya pamba katika soko la dunia dine,
Ukweli ni kwamba haukuwa mwaka wa kwanza bei kupanda katika soko la dunia na bado bei haikuzidi 1200/.
Mfano wa miaka ambayo Pamba ilipanda sana katika Soko la dunia ni Mwaka 2011, 2012, 2018 katika miaka hii bei ya pamba katika soko la dunia ilipanda na bado mkulima hakupata zaidi ya 1200/=.
Sasa huyu Kafulila alidhibiti chain ya wapigaji eneo la pamba ndani ya Mkoa mpaka kwenye mfumo wa wanunuzi.
Mimi naombeni watu wakafanye utafiti alichofanya Kafulila na kilichotokea kwenye bei ya pamba ili kitumike kama mwongozo wa Serikali Kwa manufaa ya Sasa na kizazi kijacho.
Ukiongea na wazee wa pamba hapa Simiyu au mchambuzi wa miaka kama Mzee Joseph Mihangwa watakwambia yule kijana alikata mtandao wote wanaokula jasho la mkulima wa pamba.
Tunaweza kuzungumza mengi lakini Kafulila bado ni mtu mwenye uthubutu na ujasiri mkubwa wa kiuongozi.
Mimi sikufahamu kumbe kulikuwa na juhudi za hadi watu kujitoa Uhai
Sina ugomvi na Kafulila Kwa Uadilifu wake.
Japo Siasa za bongo hazihitaji mtu honest sana.
Kama huna nyumba utachekwa kwamba huna akili za kuiba wewe na kujenga nyumba nzuri kama wenzako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.