Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijawahi kutekeleza mradi hata mmoja ni wimbo tuu.PPP ya Kafulila ni porojo tupu
😄 mimi naona maneno mengi tuKafulila nimzuri wakuongea like a propagandist hebu atupe mifano mizuri iliyofanikiwa kwa hiyo PPP kwa hapa TZ mana kitengo chake kimekua kama chakupanga tu nakutoa taarifa
Ni utapeli tupuHaijawahi kutekeleza mradi hata mmoja ni wimbo tuu.
Kununua mashangingi na kulipana posho nonoKwani kodi za watanzania zinatumikaje mpaka ujenzi wa barabara ni PPP.
Akizungumza mwishoni mwa wiki, kamishna wa Miradi ya PPP bwana David Kafulila amesema kampuni ya COVEC ya China inapanga kutumia zaidi ya Trilioni 2.7 ($1bln) kwaajili ya kujenga Barabara 10 za mzunguko wa Nje Jijini Dar Kwa lengo la kupunguza Msongamano.
Barabara hizo ambazo hazijaainishwa zinajengwa Kwa njia ya Ubia yaani PPP baina ya sekta binafsi na Serikali na zitakuwa ni toll (za kulipia) expressway roads.
View: https://www.instagram.com/p/DBYCIn1K26l/?igsh=MTRrZDFhYThrMGdpaQ==
My Take
Kafulila apunguze kutoa taarifa za mara Kwa mara kama hazijafikia kuanza utekelezaji. Anatangulia kuliko hata wajenzi wenyewe ambao ni TANROAD.
Aliwahi sema ujenzi wa Njia 6 kutoka Kibaha hadi Chalinze utaanza mwezi wa 4 mvua zikiisha akitajwa kampuni za China kushinda tenda hadi Sasa ni mwisho wa mwaka hakuna ujenzi unaendelea ,unaweza kusoma hapa Kampuni 3 za China zapendekezwa kujenga Barabara ya Njia 4 ya kulipia Tozo (Kibaha-Mlandizi-Chalinze)
Bwana Kafulila unakoelekea na kupoteza credibility yako, hold on mambo ikiwa tayari kuliwa ndio weka taarifa kama Wizara na TANROAD wanavyofanya.
View: https://www.instagram.com/p/DBXt1eJoG7f/?igsh=eTF6aGFkYXJoa2tz
Na ikifikia hapo, na Kodi zipungue. Maana tunalipa Kodi kwa ajili ya maendeleo, lakini kama tunajilipia wenyewe maendeleo Kodi ipungue.Barabara hizo ambazo hazijaainishwa zinajengwa Kwa njia ya Ubia yaani PPP baina ya sekta binafsi na Serikali na zitakuwa ni toll (za kulipia) expressway roads.
Ni mbaya sana aisee harafu huko wanakopata shida ndiko Kuna wapiga kura ,hovyo kabisaKuna mikoa inapata tabu sana kila miradi inajazwa Dar
Hivi Ile kazi ya kukata na kubeba Yale mawe kule Dodoma njia ile ya kwenda Mvumi Mission Inaendelea!?Terms zikoje? Kujua terms ni muhimu kuliko kutuambia kuhusu kiasi cha fedha!
Akizungumza mwishoni mwa wiki, kamishna wa Miradi ya PPP bwana David Kafulila amesema kampuni ya COVEC ya China inapanga kutumia zaidi ya Trilioni 2.7 ($1bln) kwaajili ya kujenga Barabara 10 za mzunguko wa Nje Jijini Dar Kwa lengo la kupunguza Msongamano.
Barabara hizo ambazo hazijaainishwa zinajengwa Kwa njia ya Ubia yaani PPP baina ya sekta binafsi na Serikali na zitakuwa ni toll (za kulipia) expressway roads.
View: https://www.instagram.com/p/DBYCIn1K26l/?igsh=MTRrZDFhYThrMGdpaQ==
My Take
Kafulila apunguze kutoa taarifa za mara Kwa mara kama hazijafikia kuanza utekelezaji. Anatangulia kuliko hata wajenzi wenyewe ambao ni TANROAD.
Aliwahi sema ujenzi wa Njia 6 kutoka Kibaha hadi Chalinze utaanza mwezi wa 4 mvua zikiisha akitajwa kampuni za China kushinda tenda hadi Sasa ni mwisho wa mwaka hakuna ujenzi unaendelea ,unaweza kusoma hapa Kampuni 3 za China zapendekezwa kujenga Barabara ya Njia 4 ya kulipia Tozo (Kibaha-Mlandizi-Chalinze)
Bwana Kafulila unakoelekea na kupoteza credibility yako, hold on mambo ikiwa tayari kuliwa ndio weka taarifa kama Wizara na TANROAD wanavyofanya.
View: https://www.instagram.com/p/DBXt1eJoG7f/?igsh=eTF6aGFkYXJoa2tz
Thank you. Iko siku watayakimbia hayo mashangingi na kutapika hizo posho nono.Kununua mashangingi na kulipana posho nono
Haitasaidia sababu tayari walishaumiza watuThank you. Iko siku watayakimbia hayo mashangingi na kutapika hizo posho nono.
Umetukana bure tu, serikali ilifufua nazungumzo upya alipoingia mama Samia. Lakini wanekutana na yaleyale ambayo yalifanya washindane serikali iliyopita. Kilichotokea ni sasa hivi serikali iliamua kujenga yenyewe. Yes tunawezaNani alianza? Serikali ilisema itajengwa yenyewe Kwa pesa zake.View attachment 3131470
Lini?Umetukana bure tu, serikali ilifufua nazungumzo upya alipoingia mama Samia. Lakini wanekutana na yaleyale ambayo yalifanya washindane serikali iliyopita. Kilichotokea ni sasa hivi serikali iliamua kujenga yenyewe. Yes tunaweza
![]()
China Pushes for Implementation of Tanzania’s Bagamoyo Port
China is pushing authorities in Tanzania to kickstart the implementation of the $10 billion Bagamoyo...maritime-executive.com