Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mazungumzo yalifanyika 2022 tukashindana nao, japo sababu za kushindana hazikuwekwa waziLini?
Cde Choices VariablesAkizungumza mwishoni mwa wiki, kamishna wa Miradi ya PPP bwana David Kafulila amesema kampuni ya COVEC ya China inapanga kutumia zaidi ya Trilioni 2.7 ($1bln) kwaajili ya kujenga Barabara 10 za mzunguko wa Nje Jijini Dar Kwa lengo la kupunguza Msongamano.
Barabara hizo ambazo hazijaainishwa zinajengwa Kwa njia ya Ubia yaani PPP baina ya sekta binafsi na Serikali na zitakuwa ni toll (za kulipia) expressway roads.
View: https://www.instagram.com/p/DBYCIn1K26l/?igsh=MTRrZDFhYThrMGdpaQ==
My Take
Kafulila apunguze kutoa taarifa za mara Kwa mara kama hazijafikia kuanza utekelezaji. Anatangulia kuliko hata wajenzi wenyewe ambao ni TANROAD.
Aliwahi sema ujenzi wa Njia 6 kutoka Kibaha hadi Chalinze utaanza mwezi wa 4 mvua zikiisha akitajwa kampuni za China kushinda tenda hadi Sasa ni mwisho wa mwaka hakuna ujenzi unaendelea ,unaweza kusoma hapa Kampuni 3 za China zapendekezwa kujenga Barabara ya Njia 4 ya kulipia Tozo (Kibaha-Mlandizi-Chalinze)
Bwana Kafulila unakoelekea na kupoteza credibility yako, hold on mambo ikiwa tayari kuliwa ndio weka taarifa kama Wizara na TANROAD wanavyofanya.
View: https://www.instagram.com/p/DBXt1eJoG7f/?igsh=eTF6aGFkYXJoa2tz
Mwendokasi ya gongo la mboto na tabata zikiisha na foleni inaisha,maana njia ya buguruni,tabata,vingunguti gari nyingi mno barabara finyuHuu mji utajengwa na kubomolewa Kila siku mpaka mwisho wa Dunia na hizi foleni hazitoisha.
Mipango ya zimamoto haiwezi kumaliza tatizo zaidi ya kupooza tu, bila mikakati madhubutu ya muda mrefu na dhamira ya dhati tutaendelea kupiga mark time tu.
Title na habari haviendaniAkizungumza mwishoni mwa wiki, kamishna wa Miradi ya PPP bwana David Kafulila amesema kampuni ya COVEC ya China inapanga kutumia zaidi ya Trilioni 2.7 ($1bln) kwaajili ya kujenga Barabara 10 za mzunguko wa Nje Jijini Dar Kwa lengo la kupunguza Msongamano.
Barabara hizo ambazo hazijaainishwa zinajengwa Kwa njia ya Ubia yaani PPP baina ya sekta binafsi na Serikali na zitakuwa ni toll (za kulipia) expressway roads.
View: https://www.instagram.com/p/DBYCIn1K26l/?igsh=MTRrZDFhYThrMGdpaQ==
My Take
Kafulila apunguze kutoa taarifa za mara Kwa mara kama hazijafikia kuanza utekelezaji. Anatangulia kuliko hata wajenzi wenyewe ambao ni TANROAD.
Aliwahi sema ujenzi wa Njia 6 kutoka Kibaha hadi Chalinze utaanza mwezi wa 4 mvua zikiisha akitajwa kampuni za China kushinda tenda hadi Sasa ni mwisho wa mwaka hakuna ujenzi unaendelea ,unaweza kusoma hapa Kampuni 3 za China zapendekezwa kujenga Barabara ya Njia 4 ya kulipia Tozo (Kibaha-Mlandizi-Chalinze)
Bwana Kafulila unakoelekea na kupoteza credibility yako, hold on mambo ikiwa tayari kuliwa ndio weka taarifa kama Wizara na TANROAD wanavyofanya.
View: https://www.instagram.com/p/DBXt1eJoG7f/?igsh=eTF6aGFkYXJoa2tz
THANK YOUCde Choices Variables
Hivi unaijua vizuri Sheria ya PPP?
Sheria ya ppp inataka uwazi ktk hatua zote za mradi ili umma ujue tangu mwanzo .
Kenya waliibuka tu na mkataba wa Airport umma ukauliza mlianza lini
Nadhani Kafulila na Bashungwa wote ni wateule wa Rais na wote wanafanya kazi ya kumsaidia Rais,
Usiwachonganishe
Kutakua na road tollUpewe trillion 2 bure bure ni uongo wanapewa nini
Mwendokasi ya gongo la mboto na tabata zikiisha na foleni inaisha,maana njia ya buguruni,tabata,vingunguti gari nyingi mno barabara finyu
Daladala ndiyo zinatia foleni,ondoa daladala za pugu road na tabata,mbagala mwendokasi,tegeta mwendokasi,kule moro road zinaongezwa barabara nne,hakuna foleni hapoShida ya Dar es salaam ni ufinyu wa Barabara, wingi wa magari na watu, idadi ya watu inayokuwa, ukuaji wa population usioendana na ukubwa na ukubwa wa miundombinu, kushindwa kupangilia mji nk.
Muunganiko wa matatizo mengi ndio chanzo cha foleni, kuiondoa inabidi ufanye set-up ya uhakika kwenye shida zote hizo.
Wakati miaka ya 90 tunajenga morogoro road tuliamini tumemamaliza foleni, wakati tunajenga Mandela road nk tuliamini hivyohivyo, wakati tunajenga fylover ubungo na brt morogoro road tuliamini hivyohivyo.
Ile barabara ya Tabata kuja Mbezi kupitia kinyerezi ilikuwa vumbi wakati tunajenga tuliamini tatizo limeisha, tabu Iko pakepale.
Tusipofikiri vizuri Kuna hatari kuwa tunajenga dar es salaam mpaka mwisho wa Dunia.
Kafulila ni dalaliAkizungumza mwishoni mwa wiki, kamishna wa Miradi ya PPP bwana David Kafulila amesema kampuni ya COVEC ya China inapanga kutumia zaidi ya Trilioni 2.7 ($1bln) kwaajili ya kujenga Barabara 10 za mzunguko wa Nje Jijini Dar Kwa lengo la kupunguza Msongamano.
Barabara hizo ambazo hazijaainishwa zinajengwa Kwa njia ya Ubia yaani PPP baina ya sekta binafsi na Serikali na zitakuwa ni toll (za kulipia) expressway roads.
View: https://www.instagram.com/p/DBYCIn1K26l/?igsh=MTRrZDFhYThrMGdpaQ==
My Take
Kafulila apunguze kutoa taarifa za mara Kwa mara kama hazijafikia kuanza utekelezaji. Anatangulia kuliko hata wajenzi wenyewe ambao ni TANROAD.
Aliwahi sema ujenzi wa Njia 6 kutoka Kibaha hadi Chalinze utaanza mwezi wa 4 mvua zikiisha akitajwa kampuni za China kushinda tenda hadi Sasa ni mwisho wa mwaka hakuna ujenzi unaendelea ,unaweza kusoma hapa Kampuni 3 za China zapendekezwa kujenga Barabara ya Njia 4 ya kulipia Tozo (Kibaha-Mlandizi-Chalinze)
Bwana Kafulila unakoelekea na kupoteza credibility yako, hold on mambo ikiwa tayari kuliwa ndio weka taarifa kama Wizara na TANROAD wanavyofanya.
View: https://www.instagram.com/p/DBXt1eJoG7f/?igsh=eTF6aGFkYXJoa2tz
Kafulila bn Ngedere muongo balaaInatoa ardhi
Huyu asipokuwa bilionea basi tutamuweka kwenye kundi la wazalendo wa nchi hii.Kafulila ni dalali
ππ€£ππ€£Anapiga Porojo Tu Maneno Anayatupa TuKafulila bn Ngedere muongo balaa
Ni kweli ila nao kwenye hizo kurupushani,wataumia ile mbaya.Haitasaidia sababu tayari walishaumiza watu
Mafisadi yamenogewa. Mfano mzuri ni daraja la KigamboniHawapewi Wachina wanawekeza,hizo ni Barabara za kulipia
ππ€£ππ€£Anapiga Porojo Tu Maneno Anayatupa Tu
Kama Millions 50 Kila Kijiji
apunguze ujinga nani anataka.kulipia wakati kuna kodi zetu humuAkizungumza mwishoni mwa wiki, kamishna wa Miradi ya PPP bwana David Kafulila amesema kampuni ya COVEC ya China inapanga kutumia zaidi ya Trilioni 2.7 ($1bln) kwaajili ya kujenga Barabara 10 za mzunguko wa Nje Jijini Dar Kwa lengo la kupunguza Msongamano.
Barabara hizo ambazo hazijaainishwa zinajengwa Kwa njia ya Ubia yaani PPP baina ya sekta binafsi na Serikali na zitakuwa ni toll (za kulipia) expressway roads.
View: https://www.instagram.com/p/DBYCIn1K26l/?igsh=MTRrZDFhYThrMGdpaQ==
My Take
Kafulila apunguze kutoa taarifa za mara Kwa mara kama hazijafikia kuanza utekelezaji. Anatangulia kuliko hata wajenzi wenyewe ambao ni TANROAD.
Aliwahi sema ujenzi wa Njia 6 kutoka Kibaha hadi Chalinze utaanza mwezi wa 4 mvua zikiisha akitajwa kampuni za China kushinda tenda hadi Sasa ni mwisho wa mwaka hakuna ujenzi unaendelea ,unaweza kusoma hapa Kampuni 3 za China zapendekezwa kujenga Barabara ya Njia 4 ya kulipia Tozo (Kibaha-Mlandizi-Chalinze)
Bwana Kafulila unakoelekea na kupoteza credibility yako, hold on mambo ikiwa tayari kuliwa ndio weka taarifa kama Wizara na TANROAD wanavyofanya.
View: https://www.instagram.com/p/DBXt1eJoG7f/?igsh=eTF6aGFkYXJoa2tz