Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila amenukuliwa akisema " Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu"
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani hapa
Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.
zaidi sana msikilize kwa undani hapa