David Kafulila: Mahitaji ya binadamu ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali kuyafikia kwa kutegemea kodi na mikopo pekee

David Kafulila: Mahitaji ya binadamu ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali kuyafikia kwa kutegemea kodi na mikopo pekee

Mwananchi Huru

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2021
Posts
2,128
Reaction score
1,896
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila amenukuliwa akisema " Sasa mahitaji ya binadamu duniani ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali za dunia kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi kama chanzo pekee Cha mapato Cha Serikali hivyo ni lazima Serikali zetu kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji hayo ya binadamu"

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali yoyote duniani katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



zaidi sana msikilize kwa undani hapa

 
Hili ameligundua Leo.
Hajui kwamba tunapiga kelele ili watu watumie akili na kufikiria nje ya box na hatimaye kutanua uwanja.

Production Iko chini sana, watu wengi ni walaji sio wazarishaji, unahitaji akili iliyoshiba ili kutanua uwanja na kufanya watu wengi katika Taifa kuwa productive maana yake shughuri za uzarishaji mali zitakuwa nyingi na nchi itaexport sana kuliko kuimport na hata kuacha uchuuzi wa bidhaa za China, India nk.
 
Hili ameligundua Leo.
Hajui kwamba tunapiga kelele ili watu watumie akili na kufikiria nje ya box na hatimaye kutanua uwanja.

Production Iko chini sana, watu wengi ni walaji sio wazarishaji, unahitaji akili iliyoshiba ili kutanua uwanja na kufanya watu wengi katika Taifa kuwa productive maana yake shughuri za uzarishaji mali zitakuwa nyingi na nchi itaexport sana kuliko kuimport na hata kuacha uchuuzi wa bidhaa za China, India nk.
Kila kitu kinakwenda hatua kwa hatua
 
Kwanini utafute njia Mbadala ?!! Kama kuna opportunity mtu binafsi atachukue opportunity hio ili apate faida at the same time kutoa mahitaji; Jambo lililo wazi Private entities wanaangalia faida / Profit hawapo pale kutangaza Injili au kutoa Huduma, Lakini hawa wanaochukua Kodi za Mwananchi kuna mambo lazima wahakikishe kuna alternative kwa mlipa Kodi; Afya; Nishati; Elimu n.k.;

Kwahio waache watu Binafsi wajinafasi wala usiwapangie lakini vitu vya Huduma lazima UMMA uwe na alternative na kwa kutumia Kodi zao tuhakikishe Huduma hizo zipo...; Hizi ndoa za PPPs mwisho wa siku ni watu kufuja pesa zetu na kuwa bailed out na Kodi zetu...


 
Minya baba.

Kaza kila angle.

Mpaka Miafrika iite maji mmaaaaaa..
downloadfile-25.jpg
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali zetu kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi pekee ni lazima kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



View attachment 3226930
 

Attachments

  • 1edaac7a3e34dc7dbc36bb899a6e6430_1738702701936.mp4
    5.4 MB
Trump naye kapiga stop mikopo
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia nchini Tanzania PPPC Bw David Kafulila anasema Kwa Sasa mahitaji ya binadamu ni makubwa kuliko uwezo wa Serikali zetu kuyafikia na kuyatatua kwa wakati kwa kutegemea Mikopo na Kodi pekee ni lazima kutafuta njia Mbadala za kuyafikia kwa wakati mahitaji ya binadamu.

Akizungumza kwenye Kipindi Cha DK 45 kinachorushwa na kituo cha utangazaji Cha ITV Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali katika kuwahudumia Wananchi wake umetolewa kwenye majukwaa mbalimbali ya Kiuchumi Duniani likiwemo la Energy Summit iliyofanyika Jiji Dar es salaam.



View attachment 3226930
 
Kafulila amesema msisitizo wa kutumia Sekta binafsi Kama njia ya kuipa unafuu Serikali katika kuwahudumia Wananchi wake
Hapo ndipo kwenye ngonjera hapo.

Tunaona wageni hao ndio wataleta neema wakati wao ni kuchota tyu wanaoneemeka maradufu ya Watanzania.

===

Mh. Tundu Lissu yumo mbioni kubadilisha hayo.

My take, Maendeleo yataletwa na sisi wenyewe. Change your mindset.
 
Hapo ndipo kwenye ngonjera hapo.

Tunaona wageni hao ndio wataleta neema wakati wao ni kuchota tyu wanaoneemeka maradufu ya Watanzania.

===

Mh. Tundu Lissu yumo mbioni kubadilisha hayo.

My take, Maendeleo yataletwa na sisi wenyewe. Change your mindset.

Sasa Tundu Lissu yeye mwenyewe anaishi ugenini anaogopaje Wageni?

Kwa maoni yangu CCM ndio chama chenye sera Bora zaidi ya chama chochote Africa kwa sasa
 
Mpina kazi yake ni kukosoa tu sio kuonesha njia ya wapi kama Taifa tuelekee, Kafulila anatoa shuluhisho la Uchumi wetu na namna Bora ya kufikia Uchumi mkubwa
Kama unaakili sawa huwezi kumfananisha Kafulila na Mpina hata mara moja kwenye hili Taifa, HEKIMA na busara za Kafulila ni kubwa mno,
 
Back
Top Bottom