David Kafulila: Miaka 25 ijayo Serikali itajenga Uchumi wa $700bn. Pato la kila mmoja wetu litafikia TZS 20M

David Kafulila: Miaka 25 ijayo Serikali itajenga Uchumi wa $700bn. Pato la kila mmoja wetu litafikia TZS 20M

View attachment 3199594
===
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchi Tanzània PPPC Mhe David Kafulila amewaeleza Watanzania kuwa lazima wafahamu kesho ya Tanzània lao ni bora sana kama tu hali ya Umoja na mshikamamo itaendelea kuwa ilivyo leo.

David Kafulila anasema, Tanzania kwa kushirikiana na sekta binafsi ( PPP) ya ndani au nje ya Tanzania wataipeleka kwa Kasi Tanzania kwenye Uchumi wa viwango vya juu kama ilivyoainishwa kwenye Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa miaka 25 ijayo ( 2025-2050 )

Mtakumbuka, David Kafulila amekuwa ni Mtendaji na mwanasiasa anayejikita zaidi kwenye kutetea hoja za Serikali yake kwa namba na "fact" zenye kueleweka na watu wa Kada zote kitu kinachomfanya awe ni Mtendaji wa Serikali anayefuatiliwa zaidi mitandaoni kwa sasa.

Mkurugenzi Mtendaji huyu anasema Tanzània mpaka kufikia mwaka 2050 inatarajia kujenga Uchumi wa $700bn ambao ni karibu mara mbili ya Uchumi wote wa Africa ya Kusini ya leo ambayo Leo ni karibu $380bn.

Kafulila anasema si kazi rahisi kujenga Uchumi wa $700bn kutoka Uchumi wa sasa wa Tanzania wa $85bn kazi ambayo kamwe haiwezi ikatekelezwa kwa Kodi na Mikopo pekee hivyo sekta binafsi haepukiki kwenye safari hii ya ujenzi wa Uchumi mkubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 25.

Mkurugenzi Mtendaji huyu anaendelea kwa kusema jambo hili linawezekana bila mashaka yoyote kwani hata nchi ya Vietnam mwaka 1990 ilikuwa na Uchumi wa $6.4bn lakini leo Vietnam wana Uchumi wa zaidi ya $460bn karibu mara themanini (X 80) zaidi.

Kama hivyo ndivyo kwanini Tanzania tusiweze Vietnam wao Wana nini?







View attachment 3196797

====
25 years yeye atakuepo?
 
Shida yetu ni kuishi kwenye dunia ambayo elimu kwetu ni mzaha.

Yaani kiongozi anaweza kwenda kwenye media na kujiropokea tu.

Kama uchumi wa Tanzania leo ni $85 million, ili kufikia $700 million katika muda miaka 25 ijayo. Kwa mantiki hiyo GDP growth inatakiwa roughly 10.5% annually kwa miaka 25 mfulululizo.

GDP growth itatokana na sector zipi, serikali wana dira ya miaka 25 na Kafulila nae anamipango yake PPP (huo uwekezaji wake huko vipi in line na dira ya taifa anajua mwenyewe).

Uchumi wa Tanzania leo unakuwa kwa kiwango cha chini ya 5% na sehemu kubwa ya ukuaji kwenye circular equation ni mikopo ya serikali na sehemu kubwa ya hela watu wamezitafuna (hazijaingia kwenye uchumi).

Achilia mbali ufisadi the mere fact uchumi unakuwa kwa 5% ina maana kuanzia mwaka ujao inabidi uwe unakuwa kwa 10.5% uoni kama hawa watu wanajiropokea tu.

Hata sijui uwa wanaongeaga vitu gani huko nchi zilizoendelea wakikutana na wataalamu wa kweli. Asilimia kubwa ukiwasikiliza wanapwaya sana hawa watu.
Anachoongea kafulila ni futuhi a.k.a kanyaboya
Based on current trend ya economic growth haiwezekani
 
Ungekuja na data kwakuwa jamaa anaongea kwa data
Data zipi ni-lini uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 10 sababu ili uwe na uchumi wa dollar billion 700 mpaka 2050 angalau kwa uchache uchumi ukue kwa asilimia 10.5 na zaidi

kuanzia mwaka ujao wa fedha 2025/2026 uchumi unatakiwa ukue kwa asilimia 10.5 swali ni lini uchumi umekua hata kwa asilimia 8
 
Data zipi ni-lini uchumi wa Tanzania umekua kwa asilimia 10 sababu ili uwe na uchumi wa dollar billion 700 mpaka 2050 angalau kwa uchache uchumi ukue kwa asilimia 10.5 na zaidi

kuanzia mwaka ujao wa fedha 2025/2026 uchumi unatakiwa ukue kwa asilimia 10.5 swali ni lini uchumi umekua hata kwa asilimia 8
Ndio maana wanaelekeza nguvu kwenye sekta binafsi kwakuwa hii utaifanya Serikali itekeleze miradi mbalimbali ya maendeleo nje ya bajeti yake
 
View attachment 3199594
===
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchi Tanzània PPPC Mhe David Kafulila amewaeleza Watanzania kuwa lazima wafahamu kesho ya Tanzània lao ni bora sana kama tu hali ya Umoja na mshikamamo itaendelea kuwa ilivyo leo.

David Kafulila anasema, Tanzania kwa kushirikiana na sekta binafsi ( PPP) ya ndani au nje ya Tanzania wataipeleka kwa Kasi Tanzania kwenye Uchumi wa viwango vya juu kama ilivyoainishwa kwenye Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa miaka 25 ijayo ( 2025-2050 )

Mtakumbuka, David Kafulila amekuwa ni Mtendaji na mwanasiasa anayejikita zaidi kwenye kutetea hoja za Serikali yake kwa namba na "fact" zenye kueleweka na watu wa Kada zote kitu kinachomfanya awe ni Mtendaji wa Serikali anayefuatiliwa zaidi mitandaoni kwa sasa.

Mkurugenzi Mtendaji huyu anasema Tanzània mpaka kufikia mwaka 2050 inatarajia kujenga Uchumi wa $700bn ambao ni karibu mara mbili ya Uchumi wote wa Africa ya Kusini ya leo ambayo Leo ni karibu $380bn.

Kafulila anasema si kazi rahisi kujenga Uchumi wa $700bn kutoka Uchumi wa sasa wa Tanzania wa $85bn kazi ambayo kamwe haiwezi ikatekelezwa kwa Kodi na Mikopo pekee hivyo sekta binafsi haepukiki kwenye safari hii ya ujenzi wa Uchumi mkubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 25.

Mkurugenzi Mtendaji huyu anaendelea kwa kusema jambo hili linawezekana bila mashaka yoyote kwani hata nchi ya Vietnam mwaka 1990 ilikuwa na Uchumi wa $6.4bn lakini leo Vietnam wana Uchumi wa zaidi ya $460bn karibu mara themanini (X 80) zaidi.

Kama hivyo ndivyo kwanini Tanzania tusiweze Vietnam wao Wana nini?







View attachment 3196797

====
Mwamba Yuko so smart
 
Ndio maana tunasema chini ya CCM hii nchi itakuwa kama USA by 2050
 
View attachment 3199594
===
Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchi Tanzània PPPC Mhe David Kafulila amewaeleza Watanzania lazima wafahamu kesho ya Tanzània yao ni bora kama tu hali ya Umoja na mshikamamo iliyopo Sasa itaendelea kuwa ilivyo leo.

David Kafulila anasema, Tanzania kwa kushirikiana na sekta binafsi ( PPP) toka ndani au nje ya Tanzania wataipeleka kwa Kasi Tanzania kwenye Uchumi wa viwango vya juu kama ilivyoainishwa kwenye Dira ya Taifa ya Maendeleo kwa miaka 25 ijayo ( 2025-2050 )

Mtakumbuka, David Kafulila amekuwa ni Mtendaji na mwanasiasa anayejikita zaidi kwenye kutetea hoja za Serikali yake kwa namba|takwimu na "fact" zenye kueleweka na watu wa Kada zote kitu kinachomfanya awe ni Mtendaji wa Serikali anayefuatiliwa zaidi mitandaoni na. Wananchi kwa sasa.

Mkurugenzi Mtendaji huyu anasema Tanzània mpaka kufikia mwaka 2050 kwa kushirikiana na PPP inatarajia kujenga Uchumi mkubwa zaidi wa $700bn ambazo ni zaidi ya TZS 1,750 Trilioni ambao ni karibu mara mbili ya Uchumi wote wa Africa ya Kusini ya leo ambao unafikia i karibu $380bn.

Kafulila anasema si kazi rahisi kujenga Uchumi wa $700bn kutoka Uchumi wa sasa wa Tanzania wa $85bn kwani ni kazi ambayo kamwe haiwezi ikatekelezwa kwa Kodi na Mikopo pekee hivyo sekta binafsi haiepukiki kwenye safari hii ya ujenzi wa Uchumi mkubwa kwa kipindi kifupi cha miaka 25.

Mkurugenzi Mtendaji huyu anaendelea kwa kusema jambo hili linawezekana bila mashaka yoyote kwani hata nchi ya Vietnam mwaka 1990 ilikuwa na Uchumi wa $6.4bn lakini leo Vietnam wana Uchumi wa zaidi ya $460bn sawa na ukuaji wa karibu mara themanini (X 80) zaidi.

HITIMISHO, Kama hivyo ndivyo ilivyo kwanini Tanzania tusiweze wakati Vietnam wao wameweza kwani wao Wana nini?







View attachment 3196797

====
Kwa maandiko haya watu lazima wapige kelele,😂
 
Back
Top Bottom