Pre GE2025 David Kafulila Waziri Mkuu Novemba 2025

Pre GE2025 David Kafulila Waziri Mkuu Novemba 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ndoa tu ya kusimamia mke mmoja tu Jesca Kishoa imemshinda ikavunjika ndio ataweza kusimamia taifa?

Kwenye Biblia Kikristo tuna kipimo cha akili ya mtu mwanaume yaani IQ test

Biblia imeagiza kuwa wanaume waishi na wanawake kwa akili

Mwanaume asiye na akili hawezi ishi na mke kwenye ndoa itamshinda

Kafulila akili hana ndoa na mkewe mbunge Jesca Kishoa ilivunjika sababu akili hana alishindwa kuishi naye kwenye shida na raha kama alivyoapa kanisani.

Mwanaume asiye na akili ndoa hauwezi dumu muda mrefu mfano ni ya Kafulila

Akili zero hajui kuishi na mke kwenye shida atataweza kuishi na watanzania kwenye shida,
Halafu huyo anayetaka kuchukua nafasi yake ndiye aliyempora mke.🤣🤣🤣
 
Rais mama samia nakusalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, pole na majukumu mazito ya kufanya mamuzi katika taifa letu hili pendwa.

Mambo ni mengi mda ni mchache sana, bila shaka itakuwa unauumiza kichwa juu ya uchanguzi mkuu wa mwakani unafikilia nani awe kampeni meneja mkuu wako? Nani awe makamu wako? Nani awe WAZIRI MKUU wako? Hata hivyo hauwelewi.

Kwa sbb ndani ya ccm kuna vikundi vingi vya 'KIHUNI " ni wachache sana unao waamini. Ni kweli upo sahihi. Wengi wanaccm ni ndumila kuwili, mchana upo nao usiku wapo kwingine.

Nakuomba kwa unyenyekevu kwa imani yako omba dua sana kwa Allah akupe watu sahihi wa kukusaidia kazi, watu wenye hofu ya Mungu, watu wenye hekima ya Mungu, watu wanyenyekevu, watu wenye akili ya Mungu.

Nafasi ya WAZIRI MKUU ukishinda mpe "DAVID KAFULILA"sbb nitazitoa badae, nitaendelea kukusaidia kuweka watu sahihi kwako kadili Mungu anipapo nafsi, kwa hizo Nafasi za juuu.

Uzi huu ni endelevu.

..Kafulila aliwahi kuwa mpinzani. Sio rahisi kuaminiwa na Ccm na kuteuliwa kuwa WM. Kumbuka kwamba Waziri Mkuu anaweza kukaimu nafasi ya Rais.
 
Rais mama samia nakusalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, pole na majukumu mazito ya kufanya mamuzi katika taifa letu hili pendwa.

Mambo ni mengi mda ni mchache sana, bila shaka itakuwa unauumiza kichwa juu ya uchanguzi mkuu wa mwakani unafikilia nani awe kampeni meneja mkuu wako? Nani awe makamu wako? Nani awe WAZIRI MKUU wako? Hata hivyo hauwelewi.

Kwa sbb ndani ya ccm kuna vikundi vingi vya 'KIHUNI " ni wachache sana unao waamini. Ni kweli upo sahihi. Wengi wanaccm ni ndumila kuwili, mchana upo nao usiku wapo kwingine.

Nakuomba kwa unyenyekevu kwa imani yako omba dua sana kwa Allah akupe watu sahihi wa kukusaidia kazi, watu wenye hofu ya Mungu, watu wenye hekima ya Mungu, watu wanyenyekevu, watu wenye akili ya Mungu.

Nafasi ya WAZIRI MKUU ukishinda mpe "DAVID KAFULILA"sbb nitazitoa badae, nitaendelea kukusaidia kuweka watu sahihi kwako kadili Mungu anipapo nafsi, kwa hizo Nafasi za juuu.

Uzi huu ni endelevu.
Ndiyo umemmaliza sasa.
 
..Kafulila aliwahi kuwa mpinzani. Sio rahisi kuaminiwa na Ccm na kuteuliwa kuwa WM. Kumbuka kwamba Waziri Mkuu anaweza kukaimu nafasi ya Rais.
Sidhani ila wanaoweza kukaimu nafasi hiyo ni Jaji Mkuu na Spika wa Bunge.
 
Moderators embu mada kama hizi pelekeni jukwaa la habari.

Nina hakika sio mimi kuna watiifu wengi wa jukwaa la siasa tukiona kichwa cha habari ‘Kafulila tunachefukwa’.

Inatosha sasa
 
Rais mama samia nakusalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, pole na majukumu mazito ya kufanya mamuzi katika taifa letu hili pendwa.

Mambo ni mengi mda ni mchache sana, bila shaka itakuwa unauumiza kichwa juu ya uchanguzi mkuu wa mwakani unafikilia nani awe kampeni meneja mkuu wako? Nani awe makamu wako? Nani awe WAZIRI MKUU wako? Hata hivyo hauwelewi.

Kwa sbb ndani ya ccm kuna vikundi vingi vya 'KIHUNI " ni wachache sana unao waamini. Ni kweli upo sahihi. Wengi wanaccm ni ndumila kuwili, mchana upo nao usiku wapo kwingine.

Nakuomba kwa unyenyekevu kwa imani yako omba dua sana kwa Allah akupe watu sahihi wa kukusaidia kazi, watu wenye hofu ya Mungu, watu wenye hekima ya Mungu, watu wanyenyekevu, watu wenye akili ya Mungu.

Nafasi ya WAZIRI MKUU ukishinda mpe "DAVID KAFULILA"sbb nitazitoa badae, nitaendelea kukusaidia kuweka watu sahihi kwako kadili Mungu anipapo nafsi, kwa hizo Nafasi za juuu.

Uzi huu ni endelevu.
Wewe ndo kafulila mwenyewe?
 
Rais mama samia nakusalimia kwa jina la jamuhuri wa Muungano wa Tanzania, pole na majukumu mazito ya kufanya mamuzi katika taifa letu hili pendwa.

Mambo ni mengi mda ni mchache sana, bila shaka itakuwa unauumiza kichwa juu ya uchanguzi mkuu wa mwakani unafikilia nani awe kampeni meneja mkuu wako? Nani awe makamu wako? Nani awe WAZIRI MKUU wako? Hata hivyo hauwelewi.

Kwa sbb ndani ya ccm kuna vikundi vingi vya 'KIHUNI " ni wachache sana unao waamini. Ni kweli upo sahihi. Wengi wanaccm ni ndumila kuwili, mchana upo nao usiku wapo kwingine.

Nakuomba kwa unyenyekevu kwa imani yako omba dua sana kwa Allah akupe watu sahihi wa kukusaidia kazi, watu wenye hofu ya Mungu, watu wenye hekima ya Mungu, watu wanyenyekevu, watu wenye akili ya Mungu.

Nafasi ya WAZIRI MKUU ukishinda mpe "DAVID KAFULILA"sbb nitazitoa badae, nitaendelea kukusaidia kuweka watu sahihi kwako kadili Mungu anipapo nafsi, kwa hizo Nafasi za juuu.

Uzi huu ni endelevu.
Kafulila deserves better but apunguze uchawa
 
Back
Top Bottom