johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hapana mkuu.Ana undugu na Kasesera DC wa Iringa?
Richard Kasesela ni mnyakyusa na David Kasesela ni msukuma wa Mwanza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana mkuu.Ana undugu na Kasesera DC wa Iringa?
Huo ushauri kampe mkuu wa idara ya uhamiaji Mwanza na RC siyo mimi.Mtoa mada hii wapi haki ya kuwa innocent hadi utakapokuwa umesimama kizimbani?why umeiandika jina la mtu wakati bado ni suspect?ona sasa unaanza kusababisha ukoo mzima kuhukumiwa na media,tuanze kuishi maisha ua mujibu wa kisheria tusilaumu serikali tu wakati sisi wenyewe ni wakosefu wakubwa,tangaza jina la suspect once atakapokuwa ameshafunguliwa mashitaka na kusimama mahakamani.
Unazubutu kusema alilosema takataka kama Sabaya hapaDC Ole sabaya anasema siku hizi hata mtu akifa na ajali wazushi wanadai alikuwa na Corona.
Akikusikia Freeman atakucheka sana bwashee!Unazubutu kusema alilosema takataka kama Sabaya hapa
Akifa ndugu yake ndio atajua kuwa ni Corona au Ajali Asikose kutusimuliaDC Ole sabaya anasema siku hizi hata mtu akifa na ajali wazushi wanadai alikuwa na Corona.
Bado sijaona tofauti mkuu, maana anapewa fedha kuwaingiza hapa na kuwatoa ni sawa na kuuziwa tu bidhaa that is bad, haifai kuwafanyia binadamu wenzako namna hii, kuna njia nyingi tu za kupata pesa.Anasafirisha sio anawauza.
Bado sijaona tofauti mkuu, maana anapewa fedha kuwaingiza hapa na kuwatoa ni sawa na kuuziwa tu bidhaa that is bad, haifai kuwafanyia binadamu wenzako namna hii, kuna njia nyingi tu za kupata pesa.
Hayo ni mauzo ya binadamu hiyo ni modern slave trade.Nebo Sahihi ni anawasafirisha.
Anawatoa point A anawapeleka point B.
Hayo ni makubaliano.
Usemacho ni sahihi, kuna bwana mmoja ametajirika kwa biashara hii ingawa alikamatwa na kufukuzwa kazi.Biashara inalipa kishenzi hii.Afu wahamiaji wenyew hawana shida na Tanzania wao wanapita njia tu kwenda south.
Hakuna akina Kasesela Wasukuma. Akina Kasesela wanapatikana Mbeya, nafikili ni Waandali hawa!!!!Hapana mkuu.
Richard Kasesela ni mnyakyusa na David Kasesela ni msukuma wa Mwanza!
Kama ni mtu na kaka yake huo ni mtihani mzito kwa Richard Kasesela, why?.....kuna kiongozi mmoja kwenye mojawapo ya dola zilizokuwa Kushi, alijiuzulu mamlakani bada ya kusikia mdogo mtu wa tumbo moja amekamatwa kwa uizi!!!!....sijui kitu kama hiki kinaweza kutokea kwenye Africa ya leo😆😆😆😆Ni MTU na kakake
Ni Waandali kutoka Mbeya!!!Jina KASESELA haliishiwagi vituko, kabila gani hawa?
Mwaka 2019 nilitembelea Mbeya, nilipewa historia ya tabia ya Wandali, ni watu katili sana kama hayo yanayosemwa ni kweliNi Waandali kutoka Mbeya!!!
Huyo siyo mdogo wa Richard!Kama ni mtu na kaka yake huo ni mtihani mzito kwa Richard Kasesela, why?.....kuna kiongozi mmoja kwenye mojawapo ya dola zilizokuwa Kushi, alijiuzulu mamlakani bada ya kusikia mdogo mtu wa tumbo moja amekamatwa kwa uizi!!!!....sijui kitu kama hiki kinaweza kutokea kwenye Africa ya leo😆😆😆😆
Ukisikia majina ya ukoo ya akina; Kamwela, Kasiririka, Kasesela n.k ujue ni Waandali!!Kasesela ni kabila la Wasafwa