Wewe na yeye mna tofauti gani ilihali sifa yenu kuu ni kuropoka bila kuwa na ushahidi! Yeye Hana taaluma ya udaktari, atawezaje kujua marehemu kafa kwa sababu zipi? Acheni siasa na kutafuta kick za kijinga kwenye uhai wa wengine!DC Ole sabaya anasema siku hizi hata mtu akifa na ajali wazushi wanadai alikuwa na Corona.