David Kasesela kinara wa biashara ya kusafirisha Wahamiaji haramu akamatwa jijini Mwanza

DC Ole sabaya anasema siku hizi hata mtu akifa na ajali wazushi wanadai alikuwa na Corona.
Wewe na yeye mna tofauti gani ilihali sifa yenu kuu ni kuropoka bila kuwa na ushahidi! Yeye Hana taaluma ya udaktari, atawezaje kujua marehemu kafa kwa sababu zipi? Acheni siasa na kutafuta kick za kijinga kwenye uhai wa wengine!
 
Wewe na yeye mna tofauti gani ilihali sifa yenu kuu ni kuropoka bila kuwa na ushahidi! Yeye Hana taaluma ya udaktari, atawezaje kujua marehemu kafa kwa sababu zipi? Acheni siasa na kutafuta kick za kijinga kwenye uhai wa wengine!
Chadema ndio inatafuta kiki kwenye Corona!
 
Unatetea Hawa maharamia?

We una shida wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…