Wewe na yeye mna tofauti gani ilihali sifa yenu kuu ni kuropoka bila kuwa na ushahidi! Yeye Hana taaluma ya udaktari, atawezaje kujua marehemu kafa kwa sababu zipi? Acheni siasa na kutafuta kick za kijinga kwenye uhai wa wengine!DC Ole sabaya anasema siku hizi hata mtu akifa na ajali wazushi wanadai alikuwa na Corona.
Chadema ndio inatafuta kiki kwenye Corona!Wewe na yeye mna tofauti gani ilihali sifa yenu kuu ni kuropoka bila kuwa na ushahidi! Yeye Hana taaluma ya udaktari, atawezaje kujua marehemu kafa kwa sababu zipi? Acheni siasa na kutafuta kick za kijinga kwenye uhai wa wengine!
Wanyakyusa wa Tukuyu!Kasesela ni kabila la Wasafwa
Utoto unakusumbua!Chadema ndio inatafuta kiki kwenye Corona!
Nenda kapime!Utoto unakusumbua!
Unatetea Hawa maharamia?Mtoa mada hii wapi haki ya kuwa innocent hadi utakapokuwa umesimama kizimbani?why umeiandika jina la mtu wakati bado ni suspect?ona sasa unaanza kusababisha ukoo mzima kuhukumiwa na media,tuanze kuishi maisha ua mujibu wa kisheria tusilaumu serikali tu wakati sisi wenyewe ni wakosefu wakubwa,tangaza jina la suspect once atakapokuwa ameshafunguliwa mashitaka na kusimama mahakamani.
Akina Kasesela sio Wanyakyusa, wao walitokea undali kule ileje na kuja ku-settle Tukuyu, sio Wanyakyusa bali wameishi Unyakyusani!!!Wanyakyusa wa Tukuyu!
Itakuwa umechanganya na wanyiha mkuu...Mwaka 2019 nilitembelea Mbeya, nilipewa historia ya tabia ya Wandali, ni watu katili sana kama hayo yanayosemwa ni kweli