Jela yoyote ya wanaumeMatakataka anaenda jela gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jela yoyote ya wanaumeMatakataka anaenda jela gani
Aliyeiba simu au kuku mvua ya miaka 7, 15 au 30 maajabu ya sheria!!!Hasara biln 100
Fine mln 8
Duh
Ova
Aliyeiba simu au kuku mvua ya miaka 7, 15 au 30 maajabu ya sheria!!!
Nchi hii ukiwa na hela hufungwiAliyeiba simu au kuku mvua ya miaka 7, 15 au 30 maajabu ya sheria!!!
Hao wengine wakipewa nchi kwani watakuwa wametoka mbunguni ama ni Nini mkuu.Chini ya CCM hakuna MAENDELEO ni kudanganyana tu
Ruge?Nchi hii ukiwa na hela hufungwi
Ova
Kama walishamfanyia confiscation ya baadhi mali zilizotokana na hasara aliyotia hiyo inaweza kuwa adhabu
Vinginevyo hayo ni masihara
Wanao iba kuku na simu Ni wapuuzi ndio maana wengine tunamalizana nao kwa petroli bila kuwasumbua polisiAliyeiba simu au kuku mvua ya miaka 7, 15 au 30 maajabu ya sheria!!!
Hii inaitwa inversily proportional...Hasara biln 100
Fine mln 8
Duh
Ova
Na hapo bado hujamalizia:Hasara biln 100
Fine mln 8
Duh
Ova
Wana katiba bora ukihalibu unawajibishwa.Kama kweli na sisi tunataka kuwa na MAENDELEO basi tuwaige wenzetu.Lakini hapo hiyo hela imepigwa kimfumo lazima wamlinde mwezaiOh chama imara ,serikali imara!! China wamefika mbali kwa kufanya maamuzi Magumu kwelikweli sio unafiki.
Umesema kwa uchungu sana mkuu.Mungu ibariki Tanzania ukipenda
Hasara biln 100
Fine mln 8
Duh
Ova
Hii nchi raha sana.Bosi wa zamani wa ATCL David Mataka amehukumiwa kwenda jela miaka minne ama kulipa faini ya Sh milioni 8 baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya ofisi na kusababishia shirika hasara ya Sh bilioni 100.