Kwani mtambo huwa unaharibika ukifukua sana mitaroUnataka apelekwe akafukue mitaro?
Mtambo umeshaharibika hydraulic system, hauwezi tena kuzama mtaroni.
Labda kama unataka akamwagwe oil.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mtambo huwa unaharibika ukifukua sana mitaroUnataka apelekwe akafukue mitaro?
Mtambo umeshaharibika hydraulic system, hauwezi tena kuzama mtaroni.
Labda kama unataka akamwagwe oil.
Unawajua Defao, Madilu ......?Anakula watu ndogo?
Hasara biln 100
Fine mln 8
Duh
Ova
Jela kufanya nini? Kaiba 100bn, faini ni 8mln.Matakataka anaenda jela gani
Yeah, ule mtambo mtaani mnauita "kijiko", ili uweze kuinuka na kuzama mtaroni kuibua tope, unahitaji mtambo uwe mzima mifumo yake. Kuna mfumo wa hydraulic ndio mambo yote, halafu kuna mfumo wa umeme, gear n.k. Lakini kuna kipindi kikifika hata starter inagoma, ina maana hata kusogea karibu tu na mtaro haiwezekani.Kwani mtambo huwa unaharibika ukifukua sana mitaro
Defao kaliwa tako Sana tu.Walinzi wa kimasai waliokua Wanalinda pale kwake kawatatua rindaz kwa Sana tu.Unawajua Defao, Madilu ......?
Wengine wanasema Macheni
Bongo majungu nje nje
Tumia akili.Aliyeiba simu au kuku mvua ya miaka 7, 15 au 30 maajabu ya sheria!!!
Haya ni maskhara kwenye utaniBosi wa zamani wa ATCL David Mataka amehukumiwa kwenda jela miaka minne ama kulipa faini ya Sh milioni 8 baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya ofisi na kusababishia shirika hasara ya Sh bilioni 100.
Hahahaha[emoji23]Somo: Tujitahidi kutia hasara kubwa zaidi ili tulipe fine ndogo zaidi siku yakitukuta
Muulize yule aliyekuwa wanaendesha nae baiskeli London ama Defao aliyezibuliwa mpaka kuumwa. Unamjua yule mchezaji wa Ureno Juan Pinto?Bosi wa zamani wa ATCL David Mataka amehukumiwa kwenda jela miaka minne ama kulipa faini ya Sh milioni 8 baada ya kukutwa na hatia ya matumizi mabaya ya ofisi na kusababishia shirika hasara ya Sh bilioni 100...
Ndio ishapita hyoHaya ni maskhara kwenye utani
Hata manyoya hatujaambuliaNdio ishapita hyo
Katozwa tozo ya uzalendo tu ata VAT wameisahauHata manyoya hatujaambulia
Zile stori za Defao kushonwa kumbe huyu bwana ndiyr alitembeza motoUnawajua Defao, Madilu ......?
Wengine wanasema Macheni
Bongo majungu nje nje
Magufuli alianza kuwafunga.kelele kibao, anaua uchumi, anafukuza wawekezaji!Nchi hii ukiwa na hela hufungwi
Ova
Halafu tunakatwa tozo kufidia ujinga wa wateule wao! Kilangila.Hasara biln 100
Fine mln 8
Duh
Ova