Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule askari wa Mataa namba yake uliipata wapi? Maana hakuna maelezo kama ulichukua ila maelezo yako tu ulimpigia.Kuna hii tabia ya makondakta na madereva kukatisha safari ,hawafiki mwisho wa safari husasan katika Jiji la dar es salaam.
Jana nilipanda daladala ya kutoka mbagala kwenda muhimbili.nilivyoingia ndani nikamsikia Mzee Moja,miaka yake kama
Ishu ni umoja ni nguvu...nafasi yako ndoimekubeba oelse ungenyanyasika tu kama sisi abiria wengine hii nchi usipokua unamjua mtu mkubwa au wewe kuwa na wadhifa flani utanyanyasika tu
Watanzania wengi ndivyo walivyo.Kuna hii tabia ya makondakta na madereva kukatisha safari ,hawafiki mwisho wa safari husasan katika Jiji la dar es salaam.
Ye mwenyewe kamanda ujasoma comment..?Yule askari wa Mataa namba yake uliipata wapi? Maana hakuna maelezo kama ulichukua ila maelezo yako tu ulimpigia.
Alafu ndiyo wataweza kudai katiba mpyaWengi hawajui kujitetea,uoga na ushamba
Ila hiyo route mmmh!!Jana nilipanda daladala ya kutoka mbagala kwenda muhimbili.nilivyoingia ndani nikamsikia Mzee Moja,miaka yake kama zaidi ya 60 hivi,analalamika kwa nini konda amechukua ela ya abiria alafu anasema hafiki muhimbili
Kwani hujuiagi kama huyu ni Trafik?
Hizi ndio akili za kitanzania.Unauzalendo kamanda kweli kweli ila sisi wengine tutakuvunja mwoyo, mimi naonaga ma konda wengi ni wehu sina mda wao na wachiaga Mungu, na hiyo nauli ya 400 naiona kama Sadaqa
Tatizo abiria sisi ni waoga na wajinga.nafasi yako ndoimekubeba oelse ungenyanyasika tu kama sisi abiria wengine hii nchi usipokua unamjua mtu mkubwa au wewe kuwa na wadhifa flani utanyanyasika tu
Labda katiba ya Vicoba.Alafu ndiyo wataweza kudai katiba mpya
Ova