Hawa makondakta wasikuhizi ni wachafu mnoo sijui hawaogi wananuka makwapa, meno ya njano kama wana kula ugoro yaani unakuta kavaa suruali juu ya suruali shati juu ya shati shati imechanika hovyo suruali Haina zipu miguuni ana malapa jamani wamekaa kama vibaka, wanapenda ugomvi na abiria hasa wakike.