Mkuu hapa kuna somo kubwa la kujifunza hata sisi Tanzania. Nahofia tunaweza kuwa tunafanya kosa kama la Kenya kujenga SGR kwa manufaa makubwa ya nchi jirani kuliko ya kwetu.Wachina wana akili sana. Usipokuwa makini wanakumimba mchana kweupeeeee tena hadharani.
MK254 pole sana.
Majigambo na majivuno yote kumbe reli kwa gharama zenu mmewajengea Waganda. Tena mnawalipa zaidi ya Billion ishirini na mbili za TZS wachina kwa kuiendesha hiyo reli Kila mwezi.
Poleni sana wajuvuni na wajuaji
Mkuu kutoka Dar-Mwanza hiyo rail itapita kata, vijiji, wilaya, miji na mikoa mingi sana. Kanda ya ziwa inachangia sana kwenye uchumi wa nchi. Ukubwa wa ile kanda ni nchi tosha uki tizama kwa jicho hilo itakusaidia kuondoa shaka. Kama kweli tuna lenga kufikia uchumi wa kati reli ya uhakika ni lazima kwa nchi kubwa kama Tanzania. Hii reli ni game changer, mimi binafsi sipendi mikopo ila kwa hili tukope tuimalize tu hii reli. Manufaa yake ni mengi mnoo.Mkuu hapa kuna somo kubwa la kujifunza hata sisi Tanzania. Nahofia tunaweza kuwa tunafanya kosa kama la Kenya kujenga SGR kwa manufaa makubwa ya nchi jirani kuliko ya kwetu.
LABDA HOFU YANGU TU, SGR YETU ITAKUWA KWA MANUFAA YETU TZ.
13,000 km minus 7500km thats is hardly 1 in 5 is it? What's funny is to have a country presenting huge budget and yet its people cross over to the lower budget country just to get aspirin or panadol. Something must not be right.
13,000 km minus 7500km thats is hardly 1 in 5 is it? What's funny is to have a country presenting huge budget and yet its people cross over to the lower budget country just to get aspirin or panadol. Something must not be right.
Travel a bit don't hide in that little strip from Mombasa to Kisumu known as Kenya. Tanzania is twice the size of Kenya and if you to take the desert in the north out of equation, Tanzania will be five times bigger than Kenya. With enormous size, we've managed to build 80% of our roads with internally sourced funds. Who funds Kenyan road? China I guess. But all in all, road is one part of the budget, you haven't convince me that the budget you presents lion share goes into development rather than Debt repayment.We spend more on roads a year than you do in 5 years.
It's not only a matter of kilometres. Some of our roads, especially in cities, are few kilometres, but they are up to 6 lanes with many overpasses.
Kenya national statistics have those numbers. 44 flight a week, who do you think board those flights, goats and chicken. How many passenger vehicle cross over day, in fact go and count trucks in Nairobi - Namangan road. Punguzeni ujinga.Keep dreaming.
As we have informed you time and again, the average Kenyan has never tasted, eaten or seen anything from Tanzania.
Keep dreaming.
As we have informed you time and again, the average Kenyan has never tasted, eaten or seen anything from Tanzania.
Kenya national statistics have those numbers. 44 flight a week, who do you think board those flights, goats and chicken. How many passenger vehicle cross over day, in fact go and count trucks in Nairobi - Namangan road. Punguzeni ujinga.
Travel a bit don't hide in that little strip from Mombasa to Kisumu known as Kenya. Tanzania is twice the size of Kenya and if you to take the desert in the north out of equation, Tanzania will be five times bigger than Kenya. With enormous size, we've managed to build 80% of our roads with internally sourced funds. Who funds Kenyan road? China I guess. But all in all, road is one part of the budget, you haven't convince me that the budget you presents lion share goes into development rather than Debt repayment.
Mtabaki FUKARA wa MAFUKARA with this type of mindset. Mutaambiwa mara ngapi we borrow coz a country like us we've got the capacity to do so? Nyinyi hata hamuwezi omba kwa sababu mnajulikana hamujiwezi na hamuwezani kulipa deni
Can you guys manage to raise a bond at the London Stock Exchange? NO you can't. Kwa hivyo deni haifai kukufanya ukose usingizi mzee! Hii ni Kenya, sio LDC ndugu
Since independence, there has never been any Tanzanian product in our shops or supermarkets.
Only last year did I start seeing some Azam juices, which now appear to have disappeared.
Now ask yourself how many Kenyan products, services or companies you've interacted with since you were born.
You have borrow to pay the interest of another loans, not even paying the debt but paying interest. This has been going on for past five year. I heard some of your MPs have gone to enjoy world cup on taxpayer expense. And here you are lying to your teeth that your building roads and bridges which half of time they end up being washed away.Lion's share goes to recurrent. Paying salaries, police etc.
A Kenyan teacher earns more than triple what a Tanzanian teacher earns.
That's why we need a big budget.
When you talk about 'debt repayment', you forget that this debt went into development in the first place. It's not like China will take the roads with them when they leave.
When it comes to loans, the only loss Kenya makes is on the interest, not on the principal.
We don't borrow to pay salaries. We borrow to build things.
Some of Kenyan product they've 50% of Tanzania raw material. I've asked you to look for Tanzania tracks off loading cargo in Nairobi Namanga road.Since independence, there has never been any Tanzanian product in our shops or supermarkets.
Only last year did I start seeing some Azam juices, which now appear to have disappeared.
Now ask yourself how many Kenyan products, services or companies you've interacted with since you were born.
Wacha uzalendo wa kushabikia.. Sema ukweliTravel a bit don't hide in that little strip from Mombasa to Kisumu known as Kenya. Tanzania is twice the size of Kenya and if you to take the desert in the north out of equation, Tanzania will be five times bigger than Kenya. With enormous size, we've managed to build 80% of our roads with internally sourced funds. Who funds Kenyan road? China I guess. But all in all, road is one part of the budget, you haven't convince me that the budget you presents lion share goes into development rather than Debt repayment.
Kazi kuhamisha magoli baada ya SGR vyuma kukazaππππNimaoni mazuri ila kumbuka sisi hatufanyi kutafuta sifa kama wenzetu
Tupo makini ndio maana Saivi Reli toka Tanga kwenfa Arusha inaboresha mwaka huu itakamilika
Which you sell to us at peanuts.πππSome of Kenyan product they've 50% of Tanzania raw material. I've asked you to look for Tanzania tracks off loading cargo in Nairobi Namanga road.
You have borrow to pay the interest of another loans, not even paying the debt but paying interest. This has been going on for past five year. I heard some of your MPs have gone to enjoy world cup on taxpayer expense. And here you are lying to your teeth that your building roads and bridges which half of time they end up being washed away.
Zile t-shirts mlizovaa kwenye UZINGUZI wa SGR YENYU zilitoka wapi?
Msikilize vizuri Ndii, haumii maneno anayosema? feasibility study, funderiser, construction and now operational under contractor and you pay for it and now you have already paid 8B KSH my God. Huoni uchungu!!!! unashangilia ujinga? Mwacheni Magufuli aitwe Magufuli maana aliwakataa hawa jamaa Kwa haraka sana na hata bandari ya Bagamoyo walitaka kufanya hivyo hivyo?SGR Nairobi to Naivasha sasa 70% mtaumia sana, ndio msemo naona wana Lumumba mnatumia dhidi ya wanaokosoa ndege ya Magufuli.