Ushauri wake sio mzuri, serikali ikiongeza tozo itawapoteza baadhi ya watejaMbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Spika ni kiongozi wa Chadema?!Muulize Spika
Kabudi - mpaka haujafungwaMbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Wabunge wa Chadema wanakurupuka sana!
Leo unamkana mbunge wenu!!Kumbe Chadema wanaonaga mbali sana. Takataka kama hiz zikae na vichaa wenzao huko Lumumba. Hayo ndio mawazo eti ya Mbunge wa ccm mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
... na watakuwa wameipoteza Zambia kama mteja wa Dar Port jumla labda hadi marais waliopo madarakani watakapoondoka ndipo jitihada za kufufua mahusiano zinaweza kuanza tena kwa gharama kubwa.Ubabe hauleti suluhu, wanaweza kuamua kutumia bandari ya Beira
Silinde kahamia ccm lini?Wakiendaga ccm wanakuwa wajinga ghafla sijui kwa nini?
Teyari ameshakuwa CHIZI.....kwanza cyo mbunge na ameshafukuzwa CDM...cjui anaongea kwa tiketi ya chama gani.. Hope.. natafuta huruma ya CCM... Mungu ammpe hekima SPIKA.. Haya ya leo ni aibu kesho!Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Kabudi yuko sahihi huyo mbunge wa Chadema amekurupuka!Kabudi - mpaka haujafungwa
Silinde - mpaka umefungwa !
Huyu mbona ameanza kuwa na akili za kiccm ccm,ukiwazuia dar watatumia Mozambique,Angola,South Africa.wanatumia ya dar kwa heshima ya Nyerere na kaunda.Labda Kama ajasoma geographiaMbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
... ajabu sana!Silinde tayari huyo. Yaani nchi inalinda raia wake, wewe unachukia na kupanga kukomoa!
Sio wanaweza beira mpaka Lusaka ni karibu km 1066, huku Lusaka mpaka day km 1900+Ubabe hauleti suluhu, wanaweza kuamua kutumia bandari ya Beira
Kukomoa ni falsafa za wajamaa ( kumnyoosha, kusomesha namba,kukaza vyuma,kuishi kishetani)Silinde tayari huyo. Yaani nchi inalinda raia wake, wewe unachukia na kupanga kukomoa!
Hivi utajisikiaje ukisikia Silinde bado n8 mbunge kupitia chadema alafu wewe umemwita takataka?Kumbe Chadema wanaonaga mbali sana. Takataka kama hiz zikae na vichaa wenzao huko Lumumba. Hayo ndio mawazo eti ya Mbunge wa ccm mzalendo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule bwana aliyejificha anaweza akaupokea ushauri huoSasa ukiwaongezea tozo za Transit na port charges ni kumpiga teke chura Bandari ya Beira inagharama nafuu kuliko Dar na unaenda kuiua sekta ya usafirishaji nchini na wengi watahamia Mozambique aluta continua.