Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,497
- 3,823
Huyu dogo muda mfupi ameishaaanza kufikiri kiccm ( kijinga)Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Nitatangaza nia muda sio mrefu ila sio jimbo la silindeMkuu kachukue Jimbo la Silinde!!
Yes chama cha Spika.Labda ndio msimamo wa chama!
Niliamini huyu dogo anaakili ila kwa leo ameniangusha.Sasa ukiwaongezea tozo za Transit na port charges ni kumpiga teke chura Bandari ya Beira inagharama nafuu kuliko Dar na unaenda kuiua sekta ya usafirishaji nchini na wengi watahamia Mozambique aluta continua.
Beira ni karibu zaidi, ninadhani wao kutumia bandari ya Dar ni sababu za ki diplomasia zaidi ambazo tunaziharibu.I had two customers last two years from Zambia.. Hawa jamaa waliniambia DSM port ina bureaucracy sana.
Hivyo walihamia bandari Beira nadhani sio mbali sana na kwao.
Hivyo waache tu wajisahau watabaki na mizigo ya DRC na mdugu yao Kagame.
sent using Simenzi mayai
Daaa hizo akili matopeeeee!!!Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Dah! Ama kweli mtu akihamia CCM tu akili yake inagota. Hivi hujui Zambia inaweza kupitisha mizigo yao yote kupitia bandari ya Beira? Ama hujui Uganda na Rwanda wanaweza kupitisha mizigo yao yote bandari ya Mombasa? Nina hakika hamtathubutu kufanya ujinga huo, la sivyomtadoda na bandari yenu!Zambia wasubirie dawa yao iko jikoni
Na Zambia akiamua kufunga kabisa njia ya kwenda Congo mtafanyaje?
Too low of thinking.Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Haaaaa huyu naye... Kwan sikuna MTU Jana kasema Zambia haijafunga mpaka ??Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Sasa hapo anapigania au anaharibu zaidi.silinde hongera kwa kupigania wapiga kura wako ambao biashara zao zimefungwa maduka yao upande wa zambia hawawezi kwenda.Jimbo lake linapakana na Zambia ambako maelfu ya wafanyabiashara wa Tanzania hawawezi fanya biashara zambia ambako ndio tegemeo lake kubwa
Silinde haongelei tu hewani anaongelea wapiga kura wa jimbo lake la Momba
KOsa la pili chadema wanafanya kumzomea mbunge asiongelee maslahi ya wapiga kura wake wanaoumia kwa mpaka wa zambia kufungwa
Chadema kweli akili hamnaSilinde akili zishamruka tayari michango yake imekuwaa yakiCCM tu
Sent using Jamii Forums mobile app
anapigania mahusiano ya kimataifa principle ni scratch my back I scratch yours yuko sahihi mia kwa miaSasa hapo anapigania au anaharibu zaidi.
umesahau magaidi wa kiislamu factor wanaoua kama kuku msumbiji na wamekalia hizo route wanateka magari na maeneo kama wehu .JWTZ imemeleka jeshi kulinda upande wetu hali ya msumbiji mbayaKwa msaada wa mtandao,
Dar es salaam to Lusaka= 1936km
Beira to Lusaka. =1045 km.
Regardless of other factors.
Waache upumba, Zambia wana haki ya kujilinda na kuwalinda wananchi wao, usianzishe vita na anaejilinda,Mbunge wa Chadema mh Silinde ameitaka serikali kuiongezea Tozo mizigo ya Zambia iliyoko bandarini kama majibu kwa wao kutufungia mpaka.
Silinde amesema hayo wakati akichangia hotuba ya makadirio ya wizara ya mambo ya nje na kutoa mfano kuwa hata Marekani na China hulipana visasi kwenye vita vya kiuchumi.
Hata hivyo waziri Kabudi alimshushua kwa kumwambia kwamba mpaka haujafungwa.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!