David Silinde: Ili kuwakomesha Zambia kwa kutufungia mpaka, Serikali yetu iwaongezee Tozo kwenye mizigo yao iliyopo bandarini Dsm

Juzi nilipita pale kisimani sikuamini wale watu wanaoshika maburungutu ya hela hawapo
 
Niliamini huyu dogo anaakili ila kwa leo ameniangusha.
chadema mnatuangusha kwa hiyo atetee zambia aache kutetea watu wa jimbo lake linalopakana na zambia? yeye ni mbunge wa Zambia au Tanzania? chadema ni chama cha kutetea watanzania au wazambia?

Kila hoja zikija nyie kazi yenu kusimama na watu wa nje madereva wakigoma kuingia nchi fulani ninyi kazi yenu kutetea hizo nchi zingine iwe uganda,rwanda,kenya au zambia!!!

nawauliza CHADEMA HICHO CHAMA NI CHA WATANZANIA AU WAGENI? MJITATHMINI WENYEWE

Silinde yuko sahihi hundred percent anasimama na nchi yake Tanzania na wapiga kura wake wa Momba
 
Juzi nilipita pale kisimani sikuamini wale watu wanaoshika maburungutu ya hela hawapo
Hela hamna mzunguko wa fedha hamna kabisa, wananchi wanasubiria mikakati ya serikali kwa pamoja ili maisha yaendelee kama kawaida hata maumivu yatakuepo yasiwe makubwa sana.
 
Amekua tutusa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo hoja Silinde hakuna alipowatetea Watanzania, zaidi amewakandamiza na kuwaumiza zaidi.

Halafu Wazambia hawajafunga mpaka kuwakomoa Watanzania, Bali kufanya tathimini kwa eneo dogo tu la Nakonde kwa wananchi wake.

Tatizo hata wakifanya tathimini haiwezi saidia sana bila kushirikiana na serikali ya Tanzania maana muingiliano wa Nakonde na Tunduma ni mkubwa sana.

Asilimia 90 ya bidhaa za Tunduma tunategema soko toka Zambia,Congo,Malawi na Zimbambwe kidogo.ila mteja mkubwa na kuaminika ni Zambia.

Nenda leo hata kariakoo kumepoa balaa, maana Tunduma ndio hua inachangamsha soko la Kariakoo kwa bidhaa zoote.

Kama umezaliwa Tandale na kukulia Tandale huwezi kuelewa hiki ninachokielezea.

Na huwezi kujua umhumu wa mahusiano na nchi jirani
 
Tangu ayanuwe maji ya mbogamboga amekuwa nyambafu kabisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kifupi CHADEMA ni chama cha kutetea watu wa nje sio watanzania.Pitia nyuzi zote hadi matamko ya viongozi kwenye issue yeyote inayohusu Tanzania na nchi zingine CHADEMA Mara zote husimama upande wa hizo nchi zingine Kukiwa na issue yeyote kati ya Tanzania na nchi zingine

Watanzania tuna haki ya kukipiga chini hata kuiba kura kikishinda sababu ni chama cha foreigners watetea foreigners
 
Kijana mwenye miaka 35 anapokua na mawazo kama haya jua taifa limepata hasara sana ku-invest kwake.
 
Kweli wewe akili huna
Uyo ni mbunge wa Ndugai

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namsema Silinde sababu anaijua Tunduma nje ndani, alipaswa kushauli kidiplomasia na sio jino kwa jino kama anavyotaka.

Maana mpaka sasa wanachi wake hapa Tunduma wanapumulia mipira. Hali mbaya kila kitu kimesimama.

Wanakesha usiku na mchana Zambia iachie mpaka maisha yaendelee kama siku zote.
 
Ndugai constituent at work! A new constituent whose chair is Jiwe and vice chair Ndugai
 
Kashawekewa tui la nazi kichwani
 
Zambia wasubirie dawa yao iko jikoni
Msichokijua Kwa sasa kuna barabara inatengenezwa Kwa kiwango cha lami pia reli kutoka Beira Hadi Lusaka via Malawi so hivi karibuni watakua na option pia km pungufu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…