Silinde hajui karantini ilikuwa ni kwa ajili ya kucheki afya zao?
Hajui karantini ni ushauri unaotolewa na wataalamu wa afya?
Wamekaririshwa kumshambulia Mbowe wote wanaimbishwa wimbo wa dikteta kama kasuku, nao wanaitikia tu, sijui hata kama wanajua maana ya dikteta.
Analakamika kukatwa mshahara kuchangia chama, leo ndio amejua hilo ni tatizo? siku zote alikuwa wapi kulisemea hilo? au sababu alikuwa bado hajatongozwa na CCM/NCCR!
Anazungumzia kuchaguliwa marafiki, hii sababu ya kitoto sijui kaitoa wapi, yaani hajui mpaka leo kilichomfanya akaondolewa CDM? au anataka kuwadanganya wajinga!.
Kama hawezi kukubaliana na mawazo ya wenzake anaamua kupita njia zake bora akatafute panapomfaa.
Sent using
Jamii Forums mobile app