johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #21
Alikuwa anajibu swali la mtangazaji na amesema hilo ni takwa la kikatiba!huyu hopeless kabisa, kwa hiyo hata kujenga chama yeye hataki? anafikiri chama kinajengwa na mawe nini[emoji23][emoji23]
yupo karibu na eneo la uteuzi wa unaibu waziri 2021 inshallah.Kwani saa hivi yuko wapi
Jamaa ni mstaarabu sana!
Siasa ni sayansi..huyu alichanga karata zake vibaya.
..angejisalimisha kwa ccm mapema.
..vilevile alitakiwa awe mwehu-mwehu na ajilipue kama wenzake wakina Waitara na Mollel.
..huo upole unamponza.
Bwashee usikariri mifano ya zamani toa ya hivi karibuni ya akina Mwita Waitara na Dr Mollel!Amuulize shibuda alikoishia na mpendazoe
Mbunge wa Momba mh David Silinde yuko mubashara Star tv katika kipindi cha medani za siasa akizungumzia sintofahamu ya uanachama wake ndani ya Chadema.
Up dates;
Silinde amesema yeye siyo mwanaharakati hata Mbowe analijua hilo na kwamba yeye na Zitto ni marafiki lakini baadhi ya viongozi hawalipendi hili.
Silinde anahoji Halima Mdee amekuwa na urafiki na Ester Bulaya tangu mwaka 2010 wakati huo Bulaya akiwa CCM na wamekuwa wakiishi nyumba moja wakati wote huo wawapo bungeni lakini hakuna aliyehoji. Kwahiyo Silinde anasema mambo ya kuchaguliana marafiki yamepitwa na wakati na kwamba yeye ana marafiki wengi CCM kama ambavyo wabunge wengi tu wa Chadema wana marafiki wengi.
Silinde anasema kwa sasa yeye ni mtu huru na wiki mbili zijazo atatoa msimamo wake kwamba anakwenda wapi.
Anasisitiza kuwa Mbowe ni kama mfalme pale Chadema na hataki kupingwa kwa lolote na ukijaribu kumpinga utaitwa ni msaliti.
Silinde anasema wabunge wa kuchaguliwa wanakatwa 10% ya mshahara wao kuchangia ujenzi wa chama na wabunge wa viti maalumu wanachangia 30% ya mishahara yao.
Silinde anasisitiza kuwa atagombea tena ubunge mwezi October kupitia chama atakachohamia!
Silinde amemalizia kwa kuishauri Chadema ijitahidi kuiheshimu katiba yake maana Mbowe anakanyaga katiba ya chama sasa kwa tabia hii wakiingia Ikulu Mbowe na genge lake wataisigina katiba kabisa. Fikiria alivyolazimisha wabunge kwenda karantini wakati hawajacontact na mgonjwa yoyote wa Corona sasa huu kama siyo udikteta ni nini?
Maendeleo hayana vyama!
Politics is social science not science!Siasa ni sayansi
Huu ndio wakati muafaka na barua yake ya kujiunga CCM aliileta kitambo yeye na Mnyika!
Sisi makada wazoefu tunaumia sana.Bwashee usikariri mifano ya zamani toa ya hivi karibuni ya akina Mwita Waitara na Dr Mollel!
Kwa hiyo Heche na Esther Matiku walipoenda Star Tv ni CCM?Ukishakuwa anti- Chadema utakuwa unapigishwa jaramba za kutimba TBC, Channel ten na Star tv mpaka utakapochoka. Wanakuona mwenzao na hoja utakazotoa huko ni za mule mule.
Wakati walikuwa wanazurura mtaani?hivi kwanini Mbowe atoze ushuru wabunge CHADEMA?Silinde hajui karantini ilikuwa ni kwa ajili ya kucheki afya zao?
Hajui karantini ni ushauri unaotolewa na wataalamu wa afya?
Wamekaririshwa kumshambulia Mbowe wote wanaimbishwa wimbo wa dikteta kama kasuku, nao wanaitikia tu, sijui hata kama wanajua maana ya dikteta.
Analakamika kukatwa mshahara kuchangia chama, leo ndio amejua hilo ni tatizo? siku zote alikuwa wapi kulisemea hilo? au sababu alikuwa bado hajatongozwa na CCM/NCCR!
Anazungumzia kuchaguliwa marafiki, hii sababu ya kitoto sijui kaitoa wapi, yaani hajui mpaka leo kilichomfanya akaondolewa CDM? au anataka kuwadanganya wajinga!.
Kama hawezi kukubaliana na mawazo ya wenzake anaamua kupita njia zake bora akatafute panapomfaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo taratibu zipo kabla hata mtu ajagombea chadema, Kama mtu hakubaliani nazo anagombea kupitia chama kingineWakati walikuwa wanazurura mtaani?hivi kwanini Mbowe atoze ushuru wabunge CHADEMA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kosa liko wapi acha ujinga, hao ambao wako lockdown baada ya lockdown si wanarudi mazingira Yale Yale, Kama ulikua huendi kazin baada ya lockdown unarudi kazini dunia kote ndo hivyo wanafanya ama kweli ujinga ni mzigoKituko cha Mwaka,unajilockdown na kujiunlock mwenyewe,halafu unarudi mazingira yaleyale