kambitza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2013
- 2,045
- 1,320
Naomba unitajie baadhi ya hivyo vitu tafadhali!
Siku nyingine nikiwa na muda wa kutosha nitalifungulia Uzi wake maana kwaajili ya umuhimu wake nadhani siyo busara kuliweka kama Comment kwenye uzi unaozungumzia jambo jingine.