Naomba unitajie baadhi ya hivyo vitu tafadhali!
kwa nini hao kina mwanaFA wasijikusanye wakafanya shoo yao wenyewe wakajilipa wenyewe? Hii ndio tabu ya wabongo. mwanaFA ana masters, tena ya mamtoni, yule Nikki sijui ana masters na nasikia anataka kutafuta PhD,....Hivi akili hizi zote hawana ujanja wa kufanya shoo zao bila Clouds ya kina kibonde? Bakhresa kaishia la saba.....
Huwezi jua biashara ya watu inawezekana Davido kawavutia wateja wakapata zaidi ya hapo,sasa mnalalamika nini wakati inajulikana wasanii wa bongo hamna mvuto kwa mashabiki
MwanaFa ana masters ya mambo ya finance, kutoka Coventry univ.
Ktk music hatumii masters yake, bali anatumia div zero yake ya pcm na ile certificate yake ya IT kutoka ifm!
nimecheka hadi bas
ngoja nkwambie wanaleta msanii kutoka nje ili kuvuta fans wapane zote watoto wa uswazi(wengi ndo wasikilizaji wa bongo fleva)na wa ushuani wao ndo wengi wanawafatilia wasanii wa nje na madstv
hilo ndo lengo kuna watoto wa kishua hajui ht chorus ya msanii ht mmoja bongo ila mwambie ashushe mistari ya pharrel weee!!
ndo lengo lao bwana
MwanaFa ana masters ya mambo ya finance, kutoka Coventry univ.
Ktk music hatumii masters yake, bali anatumia div zero yake ya pcm na ile certificate yake ya IT kutoka ifm!
Huwezi jua biashara ya watu inawezekana Davido kawavutia wateja wakapata zaidi ya hapo,sasa mnalalamika nini wakati inajulikana wasanii wa bongo hamna mvuto kwa mashabiki
Halafu jitu unalisikia ooooooh sitaki kazi ila natafuta wanaotafuta kazi Nicki ni mtoto ambaye inabidi aput his money where his mouth is na sio kujifanya critical thinker kama PLATO.POSkwa nini hao kina mwanaFA wasijikusanye wakafanya shoo yao wenyewe wakajilipa wenyewe? Hii ndio tabu ya wabongo. mwanaFA ana masters, tena ya mamtoni, yule Nikki sijui ana masters na nasikia anataka kutafuta PhD,....Hivi akili hizi zote hawana ujanja wa kufanya shoo zao bila Clouds ya kina kibonde? Bakhresa kaishia la saba.....
Kwanza nasikia Davido alionekana anashangaa Big Screen wakati Weusi wanavyo floor nakuwapandisha watu mizuka na akauliza hawa jamaa ni nani akaambiwa ndio Miamba ya Kaskazini!