Davido ambwaga tena Diamond kwenye tuzo za BET



Hongereni kwa Hollywood walk of fame maana hata wajanja kama Kevin Hart , jay z hawajapewa heshima hiyo...mmetisha sana
 
Sio Afrika ni EAST AFRIKA tu

Mkuu hebu tafuta wimbo wa colabo alaofanya Diamond na wasanii wa Africa kama Davido, Sakordie,ect hapo ndo utaamini kauli yangu, humo utaona jinsi Diamond alivyowakimbiza tena Dangote kaimba kiswahili tu japo wenzake wamepiga kwa kimombo.
 
Nasikia alienda na watu mia, nyie ndomo ana wazimu, sasa watu wote hao kitu gani??

Basi wabongo hawapendi watu wa majigambo majigambo,nio maana hata kura hawapigi na watu wa karibu na wasanii wanashindwa kuwaeleza ukweli.Ndomo hata kwa chameleon haon ndani.Acha endeleze kupiga vibuyu madada
 
mnaijuwa Hollywood au mnaisikia tu? ila sishangai hata jina la kingwendu nimeliona.


hahahahaha matola read between the lines bana....unadhani bila kuwasifia hao jamaa si unaitwa hater..mi ningeambiwa hata kapewa MBE na queen Elizabeth itabidi nijichekeleshe
 
Sema ulikuwa humfahamu wewe, sisi tumemjua kitambo tu

Mkuu ndio wengi tulikuwa hatumjui kabisa, hata hao Mafikizolo tumewajua baada ya kuskia wamepambanishwa na mkali wetu Dangote kwenye tuzo za MTV. Over
 
Basi wabongo hawapendi watu wa majigambo majigambo,nio maana hata kura hawapigi na watu wa karibu na wasanii wanashindwa kuwaeleza ukweli.Ndomo hata kwa chameleon haon ndani.Acha endeleze kupiga vibuyu madada

Tatizo wabongo umasikini ndio unaotusumbua, Ally Kiba yupo simple tu mnamponda eti hajiweki kama Star, ahya sasa Diamond anajiweka kama Star napo bado mnaponda, au mnataka awe anavaa ndala kama Juma Nature ndio mumsifie?
 
Nadhani vigezo vya kumpata mshindi vitakuwa ni Kura, na sisi wote tunajua Nigerians ni wengi sana ( takribani 200m), na wana muamko sana kimaisha kuliko nchi yeyote kwa afrika, so you can easily predict the results.

But kama ni ukali wa muziki kati ya diamond, Davido na mafikizolo, I would bet for mafikizolo, diamond and last huyu kanjanja wa ki Nigeria.
 
Mi nampongeza tu Diamond kwa hatu aliyofikia ni hatua kubwa sana kuwa tu nominated ni ushindi tosha kwa kawaida katika mengi mshindi anatakiwa awe mmoja tu ndivyo ilivyotokea kwa Diamond na Davido. kuna wasanii wameanza gemu pengine Diamond bado Chekechea Tandale lakini hawajawahi hata kuchukua hata tuzo za KTMA sasa leo uje ubeze Diamond kupata nafasi ya kuwa nominated kwenye tuzo kubwa kama MTV na BET humtendei haki kabisa sio shabiki wa Diamond lakini kwa hili nampongeza sana
 

Dah! Jamaa kweli DOMO
 
Angalia style ya kuimba,kuvaa,kucheza na shooting ya video davido kamuacha mbali ndomo.Ebu mwambieni aanze kuimba nyimbo za kizungu
 
Wenye roho za kwanini watakuja na post za kuponda na kupondea

Umeona eeh! Mie nadhani hata kuwa 'nominated' kwenye hizo tuzo za BET ni hatua muhimu sana kuelekea kwenye kujitangaza kimataifa. Ni wanamuziki wangapi kutoka Tanzania mpaka sasa ambao wameshinda tuzo hio? Ni wangapi wamekuwa nominated? Kwa nini Diamond ndio awe gumzo?
 
Basi wabongo hawapendi watu wa majigambo majigambo,nio maana hata kura hawapigi na watu wa karibu na wasanii wanashindwa kuwaeleza ukweli.Ndomo hata kwa chameleon haon ndani.Acha endeleze kupiga vibuyu madada

We mpuuz kweli unamfananisha ndomo na chameleone?? Chameleone mataw mengine wewe ana hela chafu ndomo anasubir, unafikir wenzetu wana mda wa kujipendekeza kwa wasanii wa nje ndo watoke? Wenzetu wana simama wenyewe kama wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…