Davido atambua mchango wa Tanzania

mkatae mkubali huo ni ufoolish..

Eshy mushi kama nakuwa foolish KwaZulu kuexpress my love kwa yule ninayemfeel well and good. Lazima mheshimu maamuzi ya wenzenu hata kama yanawaumiza. Kwanini watanzania hampendi utofauti?? Bila kutofautiana hakuna maendeleo na jamii isiyo na tofauti haijawahi kutokea (as per Carl max). Huoni sasa dai anajitahidi coz anajua kuna wapinzani, kiba nae the same....kutofautiana ni kawaida
 
huyo alopostiwa na who is the boss ndio dougie kweli?
 

all is well, diamond apate tuzo au asipate but he is still the best... na siku akifa ndo mtajua mchango wake kwenye bongo flavor..
 
huyo alopostiwa na who is the boss ndio dougie kweli?

Huyo alishasemwagwa zamani wakakana sana sana na ilikuwa lemutuz kama kawa alikazania na wakamtukana sana kujibu. Ila dogi wa sasa anajua anajulikana tayari.

Mie nakumbuka enzi namsomaga alisemaga kitu ...yeye mwarabu wa singida/sinyanga sijui nini...

Wakati wema anaenda mwz few wks ago, kuna mtu akacomment asubuhi yake mahala sikumbuki wapi kuwa wema anaenda mwz na dogi.

Ok later picha kwa wema na wengine waliposti only acc ya janety ikatoa picha zenye mwarabu wema hakurusha hizo kabisa hata wanaedai ni janety...sijui kama janety bado anazo...kwa idris aliwarusha wema na wengine pia.

Wanaodai ni janety wanaomrusha kila kona hii picha walipiga bday ya wema




Hizi za walipoenda mwz early May.






Hawa wawili hawa chini mmmhhhh



Na idriss





Picha toka instagram public acc
 
Hivi ikatokea let say Diamond akabeba hizo tuzo za MTv base hawa watanzania team ushuzi watajificha wapi?
 
Hahahaha mmeanza kuomba poooo!

Wewe unaona ni mashindano haya au upuuzi uliopitiliza. Mimi siku zote uwa nasema Kiba hana mashabiki ila ana haters wa Diamond inabidi amuheshimu sana Dai. Ona sasa leo wamekuwa mashabiki wa Davido. Tafuteni maisha amshangai kwa nini supporters wakubwa wa Dai ni watu na maisha yao.
 
Hivi ikatokea let say Diamond akabeba hizo tuzo za MTv base hawa watanzania team ushuzi watajificha wapi?

Watatafuta lingine kumshusha labda akate naniliii yake na ulimi asiimbe.
 

Think big Comrade matumbo , Kiba ni legend wa mziki wa bongo flavor, Dai kamkuta Kiba tayari ana fanbase kubwa tena ile die hard fans, ndiomana itaona mpaka leo Kiba bado kasimama, mbali na ukimya wake wa muda mrefu lakini still mashabiki wa Kiba wameendelea kuwa naye, Tuzo za watu na Kill ni fundisho tosha kuwa kuna watu wengine hapa nchini ni untouchable, ni sawa na Juma Nature mbali na ukimya wake lakini tayari fanbase yake ni kubwa kuliko,
 
Last edited by a moderator:

Hahaha huyu dougiemasta ni loud speaker ya Wema neno lake ni neno la Wema. Wema akishakula unga wake anamtext tu tukana Zari leo.

Ila atashughulikiwa kwa sasa sio good timing, na Wema hii itamcost sana sana na yule mjinga wa kariakoo aliojiingiza kwenye huu ujinga kichwa kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…