Davido atambua mchango wa Tanzania

Yaani nilipigwa ban nikamalizia mb kwenye ku vote yaani kila dakika na vote tuu yaan nikichoka namwambia mdogo wangu abonyeze kwa davido tuu
Kazi unayo, ili mradi tu Diamond asishinde!
 
Ndo maana CCM itaendelea kutawala Tz!
Watz ukiwapa kanga na kofia tu Kwisha habari yao!
Davido ameshtukia ujinga wa watz!
Eti wana hasira na Diamond kwani aliyeliwa si Wema?
Sasa hawa kina mrembo by nature na shadcole sijui kiliwauma nini Wema kuliwa na kuachwa!
 

Davido love Tanzanians, just because Tanzania is a part and parcel of Africa, simply Davido is a real patriotic man.
 

wasi kuumize kichwa hao mambwiga hawana ishu achana nao!
 

Acha makelele vote for Davido
 

Unawazimu ww......ndo unavyojidanganya
 
wasi kuumize kichwa hao mambwiga hawana ishu achana nao!
Hawanisumbui ndugu yangu, mie nimeshawadharau zamani sana manake nafahamu kinachowasumbua ni kutojitambua! Na wasivyoona aibu wanapofanya mambo kwa majigambo as if wanafanya jambo la maana kumbe wanachofanya mbele ya wenye akili zao ni ujinga uliovuka mipaka ya ujinga.
 
Kumbe hapa naongea kenge, umewahi kuona sehem kiba akimtaja huyo dai wako? Wapuuz nyie naona mmeanza kuomba poo, tuanza na nyie kwenye tuzo mlizoziita local na sasa tumewafata hadi huko intaneshino.

Huyo kiba alivyorudi kila interview ni Dai mbaya alinifanyia hivi, diamond nilimwombea arekodiwe, Dai kakalia kiti changu, Dai anafanya muziki sio wakitz. Yeye kama anajiamini afanye kazi ziongee kama mwenzie sio majungu mengi ila mpaka sasa hakuna jipya ni haters za Diamond wamebaki kupiga kelele mitandaoni kumpaisha. Fanya ata show yake mcity tuone hao wshabiki wake, sio kelele wakati wenzie wanajaza viwanja vya mipira sasa.
 
Zaid ya ajabu" ila ni elimu tu ndio solution ujinga bado unatawala sana. Sawa kila mtu anachoice yakuvote bt ukiangalia wanavote kwa davido cz labda Wema aliachwa na mondi au Mondi kuwa juu ya kiba hvo tu. Sasa kama c chuki ni nn

Naona mnaendelea kuomba poo,
 
Nanukuu kutoka insta"This Tanzanians are fools...We Kenyans will vote our Sauti Sol..Davido knows that if he post Kenyans Flag he can't easily change our mind...but because he knows this Tanzanians are fools..he tried out...N he has indeed succeded...Tanzanianians will forever be the last...in education...They are the last the last in East africa...in sports they are the last...and now in music....I thought they will do well....but from the look of things ..they will always be the last....RIP Tanzania
 

Vote for Davido.
 

Kwahiyo mkenye ndiyo kipimo chetu watz? Who is Kenyans by the way?

Vote for Davido.
 

Umeendika nilichokuwa nawaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…