Davido atambua mchango wa Tanzania

Davido atambua mchango wa Tanzania

Watanzania wengi ni mbulula wanaleta chuki ambazo hazina msingi wowote diamond ataendelea kuwa juu.RIZIKI HAIPANGWI NA MTU ANAOPANGA NI MUNGU PEKEE.

Amuombe mungu basi ampigie kura, mmezidi kila kitu mnamsingizia Mungu
 
Hii ndio TZ.
Halafu wengine mnashangaa maamuzi ya viongozi wenu wa kisiasa.
Kama unampigia Davido kwa kuwa umeona kipaji chake kipo juu ya Diamond, hiyo ni sahihi.
Ila kama unampigia Davido kwa sababu ya kumkomoa Diamond MTZ mwenzako, hata kama ni maamuzi binafsi ila unaonyesha wivu wa kurudishana nyuma.
Hivi kwani huyo Diamond kawafanya nn!? Kwani ni vibaya kuwa mshabiki wa Diamond na Ally Kiba kwa wakati mmoja!? Badala ya kumsaidia Ally Kiba kwa kumpa changamoto apate mafanikio kama ya mwenzake nyie mmempamba na tuzo ya uongo (mtumbuizaji bora, seriously!?).
Ili nchi iendelee., tuacheni majungu na wivu bali tuchukulie waliofanikiwa zaidi yetu ktk nyanja fulani ni kwamba wanatupa changamoto

ahsante kwa kusema ukweli huku ni kumfisadi msanii ambaye yupo juu,halafu baadaye unalalamika nchi ina mafisadi bora tu wanasiasa watuibie
 
una wivu wa maendeleo ya mtu wa kuzaliwa lazima utakuwa mchawi kama bado utarithishwa sio muda

Nikiwa mchawi wewe inakuhusu nini? Au unataka nikupe na wewe? Maendeleo Ulaya uko kwa akina nelly, bongo ushuzi mtupu mxiuuuu tena usinizoee tobo la mama ako wew
 
Nikiwa mchawi wewe inakuhusu nini? Au unataka nikupe na wewe? Maendeleo Ulaya uko kwa akina nelly, bongo ushuzi mtupu mxiuuuu tena usinizoee tobo la mama ako wew

ha ha ha mama yako hana shimoooooo
 
Nikiwa mchawi wewe inakuhusu nini? Au unataka nikupe na wewe? Maendeleo Ulaya uko kwa akina nelly, bongo ushuzi mtupu mxiuuuu tena usinizoee tobo la mama ako wew

fyatuka tufyatuane hizi ndo nazipendaga
 
na la bibi na babakooo

Nimekuonjesha matusi kidogo tu unachanganyikiwa unaanza kuji quote, nikikutukana kabisa si ndio utaanza kujitia vidole kabisa mxiee, achana na mimi tahira wewe
 
Nimekuonjesha matusi kidogo tu unachanganyikiwa unaanza kuji quote, nikikutukana kabisa si ndio utaanza kujitia vidole kabisa mxiee, achana na mimi tahira wewe

Yani fullu kujiquote aisee!
Naenda kupiga kura kwa Davido.
Mxiu zako binamu ebu mpigie kura na vanessa ni wifi yangu yule.
 
Hahahaaaa jaman wa kukurupuka wamepaniki balaa adi wanajitukana wenyewe. warumi muhurumie jamani
 
Last edited by a moderator:
Oyooooooo pamekucha papireeeeeeeeeeee papiriiiiiiiivote vote vote for davido hutaki jing'ate ulimi
 
Nimekuonjesha matusi kidogo tu unachanganyikiwa unaanza kuji quote, nikikutukana kabisa si ndio utaanza kujitia vidole kabisa mxiee, achana na mimi tahira wewe

Hahahaaa lazm as aji quote na kujitukana mwenyewe maana duuh sio kwa matusi hayo.
 
Hahahaaaa jaman wa kukurupuka wamepaniki balaa adi wanajitukana wenyewe. warumi muhurumie jamani

Namshanga apo nimemshtua kidogo anaanza kupagawa mpaka anaji quote mwenyewe nikianza mvua za matusi si atajinyea kabisa mxiee, mbwa kabisa huyo na akirud ataipat ya moto
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom