Davido athibitisha kuwa hana bifu na Diamond

binadamu hawana jema, ukwanini mwingi sana.. huyo h baba anamatatizo yake na huko instagram ndio anazngua kinoma yani na mashabiki wasivyo na adabu wanampa makavu mpaka ameweka private, me alisha nipaga block long time

Amefanya nini huko instagram huyo jamaa tupe habari mkuu
 
Amefanya nini huko instagram huyo jamaa tupe habari mkuu

nasoma tu comments, amezingua ila alisha ni block so nashindwa kuelewa nini haswa amesema ila watu wanamtukana tukana tu....
 
Yaani mojawapo ya sababu zinazofanya nimpende diamond ni hiyooooo ya kutopenda bifu na wasanii wenzie!!!ukiona msanii anabifu na diamond basi ujue huyo msanii ndio msharii!!

Mkuu anayetafuta bifu na Diamond Sio mshari tu, bifu linamnufaisha pia hivyo analing'ang'ania apate maslahi..!
 
Mkuu anayetafuta bifu na Diamond Sio mshari tu, bifu linamnufaisha pia hivyo analing'ang'ania apate maslahi..!

Hakika bifu linamnufaisha sana ndio maana haachi kumuongelea diamond!
 
Haya Asante mpwa wa Heaven on Earth. Japo sina uhakika kama nacheketuwa hapa.

Cheketuwa tu usiogope, mimi ukipanda mkweche wangu kwenye flash yangu kuna nyimbo mbili za Diamond nazipenda, ya kwanza kesho nikupeleke nyumbani na my number remix na Davido.

Sina mtimanyongo miye.
 
Last edited by a moderator:
kulipa kisasi ni haki kwa uadilifu kama alikutenga na wewe mtenge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…