brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
binadamu hawana jema, ukwanini mwingi sana.. huyo h baba anamatatizo yake na huko instagram ndio anazngua kinoma yani na mashabiki wasivyo na adabu wanampa makavu mpaka ameweka private, me alisha nipaga block long time
Amefanya nini huko instagram huyo jamaa tupe habari mkuu