Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Hivi Songea ni Jiji au halmashauri? Halafu Ccm ndio inaajili watu makenge kama wewe kuja kukesha mitandaoni?

ha ha ha akirudi tena hapa basi atakua na ngozi ngumu kama ya kenge lol.
 
Dimond divido didrisa tupa kule
 
Mi nashangaa tv na radio zinavyopiga nyimbo za nigeria sana najiuliza na wanageria wanapiga za bongo hivyo, ifike wakati tuthamini vya kwetu
 
Kinacho endelea huko instagram jamani ni aibu kwa watanzania tumeonyesha uduni wa mawazo na ufinyu wa akili daah shame aisee
 

Attachments

  • 1418068216459.jpg
    59.9 KB · Views: 365
Khaaa jamani jamani!!!
Hivi kuna watu wanalipwa?? Maana huu ni zaidi ya wehu kabisa. Kule kwa mume wa Zari nako ni full matusi tu......si ustaarabu hata kidogo!!

Hata mtoto wako ukimuacha afanye ujinga mbele yako nawe ukamchekea iko siku atakuumbua mbele ya wageni.
Ova
 
And in fact, si tu kwamba tunahitaji collabo na wa-Naija bali tunaihitaji Nigeria kwa ujumla wake linapokuja suala zima la burudani ikiwa tunataka kuupeleka muziki wetu mbele! Tutake tusitake, Nigeria ndio US ya Africa sasa ni upuuzi kuanza kutengeneza mabifu na mashabiki wa Nigeria.
 
Khaaa jamani jamani!!!
Hivi kuna watu wanalipwa?? Maana huu ni zaidi ya wehu kabisa. Kule kwa mume wa Zari nako ni full matusi tu......si ustaarabu hata kidogo!!
Sasa hao wanaotukana kwa mume Zari wamekumbwa na nini tena... manake juzi tu hapa Team Wema walikuwa wanambembeleza Ivan amgonge Wema... au amewapa makavu live!!!

Nchi ina vituko hii... acha CCM wajitafunie ka nchi ketu manake wenyewe tupo bize kwenye mitandao...
 
Mara ya mwisho kwenda Club ilikuwa graduation ya form four. Club wanaenda watoto wa sekondari. Jitu zima kujichanganya na watoto wa sekondari Club ni aibu sana
Unaona sasa... ndo matatizo ya kuishi Namtumbo haya! Wewe hukwenda Club bali na wenzako mlienda disco!!! Hata huku kwa wajanja hawawezi kwenda Club wakati wa graduation ya form IV, itakuja kuwa huko?! Anyway, "Club" yenu inaitwaje? Maji maji Dancing Club, au?
 
Watz wana (Mimi simo) laana. Haiwezekani utoe hela uweke bundle ili upate nafasi ya kumtukana mtu wakati Huo huo wazee wako kijijini wanakufa njaa, haiwezekani unalia ajira huna wakati mtaji unaweka bundle ya kutukana watu mitandani. Kweli davido amembeba Sana diamond ila diamond anaonekana Hana shukrani. Hakupaswa kujibu. Davido aliandika kuhusu big brother kwani hata last year walidai elikem ndo alishinda ila walidanganya kumpa dillish
 
Karibu sana kwenye jiji la maraha Songea. Ukija huku hautatamani kurudi tena Dar. Kuna mwalimu mmoja wa sekondari alipata uhamisho wa kikazi kutoka Songea kuja huko Dar akajinyonga kwa hasira.
Unasemaje wewe? Hebu subiri ifike April Fools Day halafu muweke tangazo kwamba watumishi wanaotaka kuhamia Dar walete maombi yao sasa uone hata kama Mkuu wa Mkoa mtakuwa nae! By the way, hivi utakuwa unaifahamu April Fools Day kweli wewe??!! Manake ni mambo ya mjini haya....
 
Kinachotokea ni ujinga na ulimbukeni uliopita mipaka na kwa mtu yeyote mwenye akili zake lazima ataonea aibu ujinga huu... na ndio maana hata mimi nilisema kabla kwamba hata kama Diamond alitaka kujibu asingejibu the way alivyojibu as if Davido ame-target wa-Tanzania wakati yeye amewalenga BBA! Na hata ukiangalia mashabiki wa Nigeria walivyaonza Tweet zao, walikuwa moja kwa moja wanai-target BBA...
 

Akili hizo diamond anazo basi? Diamond ametoboa ila haimaanishi Ana upeo. Majibu yale ni full udwanzi kwana alitakiwa awasiliane na mgt kabla ya kujibu. Watandale watandale tu
 
Akili hizo diamond anazo basi? Diamond ametoboa ila haimaanishi Ana upeo. Majibu yale ni full udwanzi kwana alitakiwa awasiliane na mgt kabla ya kujibu. Watandale watandale tu
Sidhani kama kujibu kwake kulitokana na Utandale wake... ninachoona ni kwamba alikosa subira... alivyoona "cheated again..! basi bila shaka akadhani hiyo again inamuhusu yeye kwani wapo wa-Naija ambao pia walilalamikia Davido kukosa tuzo za ChO pamoja na kuwa nominated in 5 categories...! Na busara wala haikuwa kuwauliza management yake especially kama management yenyewe ni hii akina Bab Tale... busara kwa Diamond ingekuwa ni ama kukaa kimya na kama ilimuumiza sana, angem-call Davido na kumuuliza in other way round, kwa mfano ki utani utani, mathalani "vipi, mbona nakuona kama umepanic home boy kuchukua BBA" Hapa Davido angefunguka tu...

Anyway, Diamond ndo kama hivyo ameharibu... lakini mashabiki ndo waliokuja kuharibu zaidi manake ukiangalia kwa makini mtu unaweza kujiuliza hawa kinachowafanya wa-panic hadi kumwaga mitusi ni nini... hupati jibu lakini ukirudi upande wa pili na kuwaangalia mashabiki wetu... and in fact, jinsi baadhi ya Watanzania tulivyo, hapo ndipo unapata jibu manake hata humu huu jaribu kwenda jukwaa la siasa halafu umguse mwanasiasa fulani, hususani kutoka UKAWA uone utakavyoporomoshewa matusi... ni full ushamba!
 
Haya sasa davido yuko Uganda....hii ni aibu kwa wale wote walio kua wanatukana bila kuelewa,cheki maneno ya navio hapa
 

Attachments

  • 1418093916600.jpg
    82.9 KB · Views: 232
Haya sasa davido yuko Uganda....hii ni aibu kwa wale wote walio kua wanatukana bila kuelewa,cheki maneno ya navio hapa

Yaani ni aibu sijui Watanzania tukoje na haya mambo ya kutukana mitandaoni

Halafu yule DJ aliechoka ndio alianza na hiyo kampeni ..... wamenikera wamenikera hao watu
 
Yaani ni aibu sijui Watanzania tukoje na haya mambo ya kutukana mitandaoni

Halafu yule DJ aliechoka ndio alianza na hiyo kampeni ..... wamenikera wamenikera hao watu

Ni aibu kwa kweli tuna onekana wajinga kwa sababu ya mijitu isiyo jitambua...dj choka ana mambo ya kitoto sana nakumbuka alizinguana na "zizzou" kitambo kidogo daah maneno aliyo kua anaongea choka ku mdis zizou nika mtoa akili kabisa mpka leo namuona kubwa jinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…