Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Ni aibu kwa kweli tuna onekana wajinga kwa sababu ya mijitu isiyo jitambua...dj choka ana mambo ya kitoto sana nakumbuka alizinguana na "zizzou" kitambo kidogo daah maneno aliyo kua anaongea choka ku mdis zizou nika mtoa akili kabisa mpka leo namuona kubwa jinga.
Yaani tunaonekana wapumbavu... kutukana kiswahili utadhani anaelewa... sijui https://jamii.app/JFUserGuide your mother na mama ake keshafariki....
Huyo Choka kumbe ndio tabia yake