Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
Ni aibu kwa kweli tuna onekana wajinga kwa sababu ya mijitu isiyo jitambua...dj choka ana mambo ya kitoto sana nakumbuka alizinguana na "zizzou" kitambo kidogo daah maneno aliyo kua anaongea choka ku mdis zizou nika mtoa akili kabisa mpka leo namuona kubwa jinga.
Nimeipenda hii post ya Navio... peace & love.Haya sasa davido yuko Uganda....hii ni aibu kwa wale wote walio kua wanatukana bila kuelewa,cheki maneno ya navio hapa
Halafu mtu bila aibu anaendelea eti "fuc'k your dead mother...!" Nitamuona Chibu muungwana akiomba radhi kwa niaba ya hawa mashabiki maandazi...Yaani tunaonekana wapumbavu... kutukana kiswahili utadhani anaelewa... sijui https://jamii.app/JFUserGuide your mother na mama ake keshafariki....
Huyo Choka kumbe ndio tabia yake
Akili hizo diamond anazo basi? Diamond ametoboa ila haimaanishi Ana upeo. Majibu yale ni full udwanzi kwana alitakiwa awasiliane na mgt kabla ya kujibu. Watandale watandale tu
WHAAAAAAT? DJ Choka huyu huyu ndio alianzisha huu upumbavu? Huyu jamaa na sifa sifa zake za kupenda kujiweka karibu na wasanii zinamfanya awe mpumba'vu.Ni aibu kwa kweli tuna onekana wajinga kwa sababu ya mijitu isiyo jitambua...dj choka ana mambo ya kitoto sana nakumbuka alizinguana na "zizzou" kitambo kidogo daah maneno aliyo kua anaongea choka ku mdis zizou nika mtoa akili kabisa mpka leo namuona kubwa jinga.
Kauli ya Davido haikuwa na cha kukijua vizuri Kiingereza wala nini... hata kama ni mtalaamu wa Kiingereza namna gani, bado usipofahamu what's behind Davido's mind huwezi kuja na jibu sahihi hata kidogo! Sentence was blank clear, "cheated again..!" kwahiyo mtu ni lazima ufahamu ni nini kilichokuwa cheated again... sina shaka ya ni nani... moja kwa moja aliwalenga BBA.Huwa bado nina mashaka makubwa kama Diamond ndio huwa anapost status zote kwenye hizo account zake, maana ninavyojuwa mimi Domo Kingereza kafundishwa na Wema je Domo ana uwezo wa kusoma kingereza na kupata tafsiri sahihi? Na mbaya zaidi mashabiki zake wanampeleka shimoni kwa nguvu kubwa.
WHAAAAAAT? DJ Choka huyu huyu ndio alianzisha huu upumbavu? Huyu jamaa na sifa sifa zake za kupenda kujiweka karibu na wasanii zinamfanya awe mpumba'vu.
Huwa bado nina mashaka makubwa kama Diamond ndio huwa anapost status zote kwenye hizo account zake, maana ninavyojuwa mimi Domo Kingereza kafundishwa na Wema je Domo ana uwezo wa kusoma kingereza na kupata tafsiri sahihi? Na mbaya zaidi mashabiki zake wanampeleka shimoni kwa nguvu kubwa.
Nimeipenda hii post ya Navio... peace & love.
Kama hauna cha kufanya tafadhali usifanye humu,ficha upumbav wako kwa kusoma ya wenzio tu inatosha.
Matola that's too much bana.....
Kwa hiyo vile anavyoongea katika interview huwa inakuwaje??...
Paula bhana... kwani mtu akishika box la maji ya Azam ndo anakuwa mshamba? Au ni kutokana na ule ukweli kwamba ukiwa wa hapa hapa town kufanya baadhi ya biashara inakuwa sio!!! Unanikumbusha nilipomaliza form four... mwenyewe nikajifanya mjasiria mali na kuanza kuuza juicy lakini viwanja vyangu vilikuwa mbali kishenzi na mitaa ya home... lakini hata huko mbali unakaa kwa machale, wana wasije wakakushtukia kwamba unauza juicy!alichokisema laki si pesa ni kweli tupu, wanaoishi dar wote wanajiona wazawa kama wazaramo na wajanja kuliko kumbe wote wakuja tu na mbio za mwenge, binafsi niliishawahi kushuhudia pale mbezi gari toka arusha likizomewa eti washamba karibuni mjini. anaezomea kashikilia box la maji ya azam.
Yule jamaa sijui atakua lini...Ni yeye ndio alianza hiyo kampeni...... akaona kwenye akaunti yake haitoshi akawa anaenda ku comment na kwenye page za watu wengine wafanye hiyo campaign
Karibu nyumbani idris, ngoja nikupe yaliyo jiri while ulikuwa uko mjengoni
1. Wema kaachana na chibu, chibu kajiegesha kwa zari "the boss lady".
2. Kuna ugonjwa mpya wa "tezi dume", unatibiwa marekani tu na unawapata sana sana viongozi wakubwa wa nchi
3. Kama una account Mkombozi ukifika kacheki, unaweza kuwa umepata gawio la escrow. Wengine wamepata mara tatu ya ulioshinda
Welcome back home