Davido ni msanii peke mkubwa wa kwanza kumpongeza diamond baada ya kupata tuzo 3 chanel o.
Mpaka kesho diamond anapata mafanikio kwa wimbo mmoja tu wa number 1 remix ambapo uwepo wa davido ndo umesababsh yote haya.
Diamond alitakiwa atulie azungumze na watu wakarbu lakin kakurupuka davdo katukanwa wakat stil hamchukii dimond.
so kwanini a-direct kwa Diamond ujumbe huo? na mbona huwa afanyi hivyo kabla? Usitufanye sisi punguani kwa taarifa yako tunawajua Wanigeria kuliko wewe unavyowafahamu! BTW Diamond amejibu vizuri na kiustaha namsifu na ukizingatia katika ile remix walisema lagos will make Tanzania famous unfortunately not to know at what extent! That is over run even the master himself oyooooo :A S-rap:Status ya davido aliyoandka N they cheat again lol! imetafsiriwa vbaya na watanzania na kuonyesha kipaj chao cha matusi WAKAMTUSI MAMA YAKE.
Diamond ndie mtu wa kwanza anatakiwa kulaumiwa kwan alkurupuka baada ya kuandika yeah we cheat again same night..yeye ndie aliyewafanya watu wamshambulie DAVIDO kuwa alimansha sisi tumecheat kupata tuzo.
UKWELI NI HUU.Davido aliandka vile juu ya tukio la CRIS BROWN NA mpenz wake KARUUCHE ambao walidanganya duniani wameachana na kusameheana.
DAVIDO aliona kama drama! akaona wametudanganya tena kwan si mara ya kwanza kutengana kama wana bifu na kurudiana.Ukifuatilia twter utaona BROWN na KARUUCHE waktukanana juu ishu ya DRAKE huku still wanapendana na bado wapenz.
PILI sisi hatutoi tuzo wala hatupang bg brother kama davdo mnasema aliongelea juu ya ushnd wa big brother bas haiwahusu nyiny inawahus big brother ambao ndio wanaendesha mchakato wa mshnd.
NDO MANA KASEMA THEY CHEAT AGAIN wao bba si nyie nigeria wamekosa ushnd karbu miaka 5 mfululzo.DIAMOND JIFUNZE MAISHA NI WATU
Matola that's too much bana.....
Kwa hiyo vile anavyoongea katika interview huwa inakuwaje??...
Na Wewe mmoja ya waliomtukania marehemu mama ake?
hahahahaaa na mimi ndio najiuliza hapa labda huwa anakuwa amemeza memory card iliyorekodiwa majibu,
mtu akiamua kukuchukia bana!!!
Haya ni maneno ya kila siku tumeshayazoea nimchukie Diamond kwa lipi? Mtu ambaye hanijui wala mimi simjui na sijawahi kumuona popote zaidi ya kwenye media.
Kama chuki au wivu tungewaonea kina Bakhresa zawadi aliyoshinda huyo Idrisa BBA Bakhresa anaspend kununuwa gari moja tu la kumpeleka ofisini, achilia mbali mikwaju ya watoto wake.
usipende kujumuisha mambo ina watz hatuna dharau.tatzo n kukurupuka katutukanaje hebu nipe maana ya
na wametudanganya tena lol! Wewe au watz ndo waandaaj wa tuzo na mmedanganya vp status haituhusu
Davido ni msanii peke mkubwa wa kwanza kumpongeza diamond baada ya kupata tuzo 3 chanel o.
Mpaka kesho diamond anapata mafanikio kwa wimbo mmoja tu wa number 1 remix ambapo uwepo wa davido ndo umesababsh yote haya.
Diamond alitakiwa atulie azungumze na watu wakarbu lakin kakurupuka davdo katukanwa wakat stil hamchukii dimond.
huyo mtoa mada na yeye kakurupuka au labda ni mfuasi wa stori za vijiweni,Ile tweet moja kwa moja ilikuwa inawalenga bba na wala sio chris brown na malaya wake ila alichokikosea diamond ni kuitafsiri kwa haraka zaidi matokeo akakurupuka akapost dongo akihisi kama alilengwa na yeye...mwisho wa siku huyo davido bado boya tu iweje ye ablame kwamba naija wanaonewa ina maana we ddnt deserve it?
huyo mtoa mada na yeye kakurupuka au labda ni mfuasi wa stori za vijiweni,Ile tweet moja kwa moja ilikuwa inawalenga bba na wala sio chris brown na malaya wake ila alichokikosea diamond ni kuitafsiri kwa haraka zaidi matokeo akakurupuka akapost dongo akihisi kama alilengwa na yeye...mwisho wa siku huyo davido bado boya tu iweje ye ablame kwamba naija wanaonewa ina maana we ddnt deserve it?
Haya ni maneno ya kila siku tumeshayazoea nimchukie Diamond kwa lipi? Mtu ambaye hanijui wala mimi simjui na sijawahi kumuona popote zaidi ya kwenye media.
Kama chuki au wivu tungewaonea kina Bakhresa zawadi aliyoshinda huyo Idrisa BBA Bakhresa anaspend kununuwa gari moja tu la kumpeleka ofisini, achilia mbali mikwaju ya watoto wake.
Lakini tweet yake ilianza na neno 'X', ambalo ndilo jina la album Mpya ya Chris Brown. Na tweet hiyo ameitoa katikati ya mgogoro wa kimapenzi wa Chris Brown na Karrueche Tran.
Ukitafakari kwa kina tweet ya Davido unaweza ukaona imelenga sana kwenye mgogoro wa Chris na Karrueche kwa sababu ya lile neno 'X'.
Pia, Chris na Karrueche wamekuwa wakiachana na kurudiana mara kwa mara, na safari hii inaweza kuwa mara ya tano au sita.
Kwa sababu hiyo watu wengi wamekuwa wakidai kwamba huwa wanadanganya kuachana. Sasa ni rahisi kwa Davido kuwa amezungumzia jambo hilo.
Pia, Davido ana sababu ya ziada ya kuzungumzia na kucheka kuhusu drama za Chris Brown, kutokana na kuimba na hasimu wake Wizkid, na kama unakumbuka naye Davido ametangaza kujiandaa kufanya collabo na Aubrey Graham Drake, ambaye ni hasimu wa Chris.
Kwa hiyo kabla ya yote waweza kutumia muda wako kutafakari hiyo tweet yenye fumbo, ambayo kama ulivyo ujumbe wa muziki, kila mtu anaweza kujidhani inamhusu yeye.
Ova
Acha kutetea ujinga wa kutojiamini na kujifariji . wewe Mtanzani na jamaa amekuponda. Angalia hiyo tweet na comments zake below. Kuweni realistic acheni kutetea wageni na kuwaogopa ata akikutukana
http://viroba.blogspot.com/2014/12/davido-david-adedeji-adeleki-they.html?