Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!


Hivi kwanini una justify tweet ya davido? Unaamini hawezi kukuponda we mtanzania au?

Hukumbuki p-square walivyokuja bongo wakasema eti hawamjui diamond wala hawajawahi msikia. Wakati Obama "the world's president" alivyokuja bongo alimtaja hasheem thabit ambaye ata NBA hafanyi vizuri, just Because ya ustaarabu na kuthamini mchango wa watanzania.

Mimi sio fun wa diamond, but niko hapa kutetea utanzania, siwezi kusema its ok. Wakati najua mtu anajaribu kutudharau.

Sasa we ndugu yangu kama unajaribu kujustify na kutetea ata kwenye kudharauriwa its you (kisa tz nchi ya amani) huu ni upuuzi.

Davido na wenzake wote walilenga kupondea mshindi wa big brother from TZ. Usijustify ujinga.

Angalia insta na tweet zingine za davido, kijana always ana mdomo mchafu wa kujisikia, hana ata ustaarabu. Sijui wewe unatetea nini.
 
Davido alimaanisha tz tumecheat and nothing else..

Ova
 
Kwa kweli tuwaache tu wasolve wenyewe issue zao. Ni watu wazima, so naamini watayamaliza kiutu uzima zaidi. I pray upepo huu usiharibu urafiki wao.

Nchi yetu imeshafeli kama Taifa na mtu mmojammoja hata Membe kwenye sakata la meno ya Tembo amelihutubia bunge kwamba wazungu wanatuonea "gere".

Hivyo usiwashangae wale wa vibundle vya promosheni vya mb50 kumponda Davido without know how.
 
Afu Wanaija wanajiona Wako juu kwenye mziki africa wao kila kitu wanatake over.. nowdays nimeacha kuangalia mtv base maana zikipitia saa 5 bila ngoma 40- 50 za naija basi mtv haijanoga
 
i think na wengine wote mnaomtetea Davido nenden mkaangalie alichopost saiv IG.

Ni upuuz tu anaendeleza ,for sure ile tweet ilikuwa ni diss kwa Diamond, Idriss ,Tz na East Africa kwa ujumla na pia ina back up za MTV vs Channel O.

Hao Watz waliotukana hatuwatetei but siyo wao tu Kuna wanigeria kibao nao walitukana. Na hata sasa kwa post aliyoweka ya kijembe cha Tayo kupewa USD 350000 na papa misifa mmoja zaid hata ya pesa ya idriss Bado watu wamegundua kuwa ni kijembe na wanampa makavu
 
Last edited by a moderator:
Siungi mkono matusi ila nawewe unaemtetea davido sikuelewi kwanza angalia comment za wanaijeria chini ya status ya davido then sema kama wanaijeria walielewa hivyo ulivyo elewa wewe then twende upande mwingine ila status ilipostiwa mda gani then fikiria ni kwa nn watu wote watz na wanaijeria walibase kwenye bba na si kwa CB
 

Watanzania tuache tabia za ushabiki na kueneza chuki za kijinga! Kama ulifikiri Davido hakuwa na nia mbaya kwanini ufikiri Diamond alikuwa na nia mbaya?

Mimi napinga tabia ya watanzania kuendekeza matusi na kudhani matusi ni suluhu! Kama tunakubali hakukuwa na tatizo kwenye statement ya Davido basi tukubali hakukuwa na tatizo kwenye statement ya Diamond!

Huu mchezo wa kupenda kunyenyekea hata ujinga na wajinga ndio unatufanya watu watushushe thamani! Ulitakiwa kuwashambulia waliomtukana Davido na si Diamond! Acheni uchochezi wa kitoto!

Kwanza si kweli matusi yalianza baada ya statement ya Diamond bali Davido alianza kutukanwa huko twitter kabla ya Diamond kupost kuhusu tunzo yake!

Habari za Tunzo ya Diamond zilikuja 30 minutes baada ya ushindi wa Idriss ndio Diamond akapost!

Nawashangaa mnataka Diamond ampigie magoti Davido wakati nyie wenyewe mnasema statement ya Davido ilitafsiriwa vibaya! Sasa mnajuaje kama Diamond alimaanisha vibaya?

Acheni kukuza Mambo!
 
Wapo walo coment pale watanzania wenye akili zao halafu tusijidharau kwamba watanzania tuwe watu wakuwaogopa wengine kifup watanzania wa enzizile si waleo Wanigeria walichonacho nas tunacho, sio watudharau nasi tuwekimya no

Watanzania wanapenda utumwa sana!
 

Je ulifatilia jinc Davido na Wanaija wenzake walivyokua Wanairetweet ile Tweet ya Davido ?

Mi nadhani ww umekurupuka
 
Ni kweli Davido ana mchango kwenye mafanikio ya Diamond!

Lakini unatakiwa kujua Tuzo tatu za juzi zimetoka na My number 1 original!

Mtu akikusaidia maana yake amekusaidia na siyo ugeuke kuwa mtumwa wake na umuogope na kumtetemekea!

Mnajuaje kama Diamond alikuwa hatanii kama alivyo tania Davido?
Kama Davido hakuwa na nia mbaya kwanini muamini Diamond alikuwa na nia mbaya?

Kwanini mnalikuza hili jambo wakati kabla ya Diamond kupost Divido alishaanza kutukanwa? Diamond hakumtuma mtu kumtukana Davido! Kila mtu anajua watanzania wengi kutukana ni asili yao hivyo hakuna sababu ya kumsakama Diamond!

Acheni utumwa!
 
mmmhhhhh mi sielewi chochote watajuana wenyewe ila yule aliyemtukania mama ake davido ni mwehuu
 

na mi simo kwa wapumbavu km wamezaliwa vichochoroni wasio na shukrani wenye mitusi km wanakharamu
 
I think kuna kitu unakosea au kuna ukweli unaupindisha..walichofanya watanzania ni sahihi kabisa..na hapo ndipo unapoona damu ya kizalendo iliyopo ndani yetu..sikupenda kabisa davido alichopost yaani was childship..huwez kupost vile watu wakakuacha salama.hongera sana idris na hongera mpiganaji diamond dangote...asanteni sana watanzania tupeane support siye ni most valued people in this regional and continental..
 
Sipendezwi na aina yyte ya matusi lakin bado namuonea huruma huyu alitokwa povu kumtetea davido kuwa hakumaanisha alichosema, nmetoka IG ss hv kwenye page ya usipojipanga ntakupanga amepost baada ya tayo kupewa usd 350000 na yule tajir wao davido kapost "we do this easy" bado cjaelewa hta huyo tajir kutoa pesa km zawadi zaid ya ya mshind halis ambae ni idris????? Bado naona kuna ukakas wa kisas na kukomoana hapa hawa wa2 sio washamba sana (naijas)
 

you think poorely.
 
Akili hizo diamond anazo basi? Diamond ametoboa ila haimaanishi Ana upeo. Majibu yale ni full udwanzi kwana alitakiwa awasiliane na mgt kabla ya kujibu. Watandale watandale tu

Kweli kabisa lazima kufikiri kabla ya kutenda sometimes ushauri unahitajika Davido kamsaidia sana kujulikana Africa tatizo baadhi Ya watu wanaweka ushabiki maandazi kwenye vitu ukurupukaji na matusi ndio imekua fashion sifa za kijinga mjasiri aachi asili Nigeria bado ni muhimu kwa music ya kibongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…