Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Ufafanuzi wangu hauzungumzii comments mkuu. Nazungumzia tweet ya Davido. Na wote walio comment tofauti huenda nao wameelewa vibaya kama Nassib na baadhi ya Watanzania wengine.
Ndio maana nikasema, hiyo Tweet ya Davido imekuwa kama ujumbe wa muziki (hasa Taarab) kwa anayesikiliza kuhisi kaimbwa yeye wakati mtunzi wala hamjui.
So usiunganishe maudhuhi ya tweet na comments za watu wengine, Kwani wewe hiyo comment yako inaendana na kilicholetwa na mleta uzi huu?!
Labda ungesema wagomvi wetu ni wale waandika comments kwenye tweet ya Davido, lakini kuwaacha hao na kumng'ang'ania Davido naona nasi tunakuwa hatujaelewa tweet.
Halafu hayo mawazo ya anayekutukana nawe mtukane unayatoa wapi? Yaani kutukana watu mtandaoni ndio solution ya tatizo kwa Watanzania?!
Kiukweli tumewazidi sana busara Wanaija, ukiishi nao japo kidogo utaelewa nachokisema. Kwa linaloendelea mtandaoni ni sawa na kujiweka kapu moja na vichaa.
Ova

Hivi kwanini una justify tweet ya davido? Unaamini hawezi kukuponda we mtanzania au?

Hukumbuki p-square walivyokuja bongo wakasema eti hawamjui diamond wala hawajawahi msikia. Wakati Obama "the world's president" alivyokuja bongo alimtaja hasheem thabit ambaye ata NBA hafanyi vizuri, just Because ya ustaarabu na kuthamini mchango wa watanzania.

Mimi sio fun wa diamond, but niko hapa kutetea utanzania, siwezi kusema its ok. Wakati najua mtu anajaribu kutudharau.

Sasa we ndugu yangu kama unajaribu kujustify na kutetea ata kwenye kudharauriwa its you (kisa tz nchi ya amani) huu ni upuuzi.

Davido na wenzake wote walilenga kupondea mshindi wa big brother from TZ. Usijustify ujinga.

Angalia insta na tweet zingine za davido, kijana always ana mdomo mchafu wa kujisikia, hana ata ustaarabu. Sijui wewe unatetea nini.
 
Davido alimaanisha tz tumecheat and nothing else..

Ova
 
Kwa kweli tuwaache tu wasolve wenyewe issue zao. Ni watu wazima, so naamini watayamaliza kiutu uzima zaidi. I pray upepo huu usiharibu urafiki wao.

Nchi yetu imeshafeli kama Taifa na mtu mmojammoja hata Membe kwenye sakata la meno ya Tembo amelihutubia bunge kwamba wazungu wanatuonea "gere".

Hivyo usiwashangae wale wa vibundle vya promosheni vya mb50 kumponda Davido without know how.
 
Afu Wanaija wanajiona Wako juu kwenye mziki africa wao kila kitu wanatake over.. nowdays nimeacha kuangalia mtv base maana zikipitia saa 5 bila ngoma 40- 50 za naija basi mtv haijanoga
 
i think na wengine wote mnaomtetea Davido nenden mkaangalie alichopost saiv IG.

Ni upuuz tu anaendeleza ,for sure ile tweet ilikuwa ni diss kwa Diamond, Idriss ,Tz na East Africa kwa ujumla na pia ina back up za MTV vs Channel O.

Hao Watz waliotukana hatuwatetei but siyo wao tu Kuna wanigeria kibao nao walitukana. Na hata sasa kwa post aliyoweka ya kijembe cha Tayo kupewa USD 350000 na papa misifa mmoja zaid hata ya pesa ya idriss Bado watu wamegundua kuwa ni kijembe na wanampa makavu
 
Last edited by a moderator:
Siungi mkono matusi ila nawewe unaemtetea davido sikuelewi kwanza angalia comment za wanaijeria chini ya status ya davido then sema kama wanaijeria walielewa hivyo ulivyo elewa wewe then twende upande mwingine ila status ilipostiwa mda gani then fikiria ni kwa nn watu wote watz na wanaijeria walibase kwenye bba na si kwa CB
 
Status ya Davido aliyoandka ''N they cheat again lol!'' imetafsiriwa vibaya na watanzania na kuonesha kipaji chao cha matusi WAKAMTUSI MAMA YAKE.

Diamond ndie mtu wa kwanza anatakiwa kulaumiwa kwani alikurupuka baada ya kuandika ''Yeah we cheat again same night'' Yeye ndiye aliyewafanya watu wamshambulie DAVIDO kuwa alimaanisha sisi tumecheat kupata tuzo.

UKWELI NI HUU, Davido aliandka vile juu ya tukio la CRIS BROWN NA mpenzi wake KARUUCHE ambao walidanganya duniani wameachana na kusameheana.

DAVIDO aliona kama drama! akaona wametudanganya tena kwani si mara ya kwanza kutengana kama wana bifu na kurudiana.

Ukifuatilia twiter utaona BROWN na KARUUCHE wakitukanana juu ya ishu ya DRAKE huku still wanapendana na bado wapenzi.

PILI sisi hatutoi tuzo wala hatupangi big brother kama Davido mnasema aliongelea juu ya ushindi wa big brother basi haiwahusu ninyi inawahusu big brother ambao ndio wanaendesha mchakato wa mshndi.

NDIO MAANA KASEMA THEY CHEAT AGAIN wao BBA si nyie Nigeria wamekosa ushindi karibu miaka 5 mfululzo.DIAMOND JIFUNZE MAISHA NI WATU.

Watanzania tuache tabia za ushabiki na kueneza chuki za kijinga! Kama ulifikiri Davido hakuwa na nia mbaya kwanini ufikiri Diamond alikuwa na nia mbaya?

Mimi napinga tabia ya watanzania kuendekeza matusi na kudhani matusi ni suluhu! Kama tunakubali hakukuwa na tatizo kwenye statement ya Davido basi tukubali hakukuwa na tatizo kwenye statement ya Diamond!

Huu mchezo wa kupenda kunyenyekea hata ujinga na wajinga ndio unatufanya watu watushushe thamani! Ulitakiwa kuwashambulia waliomtukana Davido na si Diamond! Acheni uchochezi wa kitoto!

Kwanza si kweli matusi yalianza baada ya statement ya Diamond bali Davido alianza kutukanwa huko twitter kabla ya Diamond kupost kuhusu tunzo yake!

Habari za Tunzo ya Diamond zilikuja 30 minutes baada ya ushindi wa Idriss ndio Diamond akapost!

Nawashangaa mnataka Diamond ampigie magoti Davido wakati nyie wenyewe mnasema statement ya Davido ilitafsiriwa vibaya! Sasa mnajuaje kama Diamond alimaanisha vibaya?

Acheni kukuza Mambo!
 
Wapo walo coment pale watanzania wenye akili zao halafu tusijidharau kwamba watanzania tuwe watu wakuwaogopa wengine kifup watanzania wa enzizile si waleo Wanigeria walichonacho nas tunacho, sio watudharau nasi tuwekimya no

Watanzania wanapenda utumwa sana!
 
Status ya Davido aliyoandka ''N they cheat again lol!'' imetafsiriwa vibaya na watanzania na kuonesha kipaji chao cha matusi WAKAMTUSI MAMA YAKE.

Diamond ndie mtu wa kwanza anatakiwa kulaumiwa kwani alikurupuka baada ya kuandika ''Yeah we cheat again same night'' Yeye ndiye aliyewafanya watu wamshambulie DAVIDO kuwa alimaanisha sisi tumecheat kupata tuzo.

UKWELI NI HUU, Davido aliandka vile juu ya tukio la CRIS BROWN NA mpenzi wake KARUUCHE ambao walidanganya duniani wameachana na kusameheana.

DAVIDO aliona kama drama! akaona wametudanganya tena kwani si mara ya kwanza kutengana kama wana bifu na kurudiana.

Ukifuatilia twiter utaona BROWN na KARUUCHE wakitukanana juu ya ishu ya DRAKE huku still wanapendana na bado wapenzi.

PILI sisi hatutoi tuzo wala hatupangi big brother kama Davido mnasema aliongelea juu ya ushindi wa big brother basi haiwahusu ninyi inawahusu big brother ambao ndio wanaendesha mchakato wa mshndi.

NDIO MAANA KASEMA THEY CHEAT AGAIN wao BBA si nyie Nigeria wamekosa ushindi karibu miaka 5 mfululzo.DIAMOND JIFUNZE MAISHA NI WATU.

Je ulifatilia jinc Davido na Wanaija wenzake walivyokua Wanairetweet ile Tweet ya Davido ?

Mi nadhani ww umekurupuka
 
Davido ni msanii peke mkubwa wa kwanza kumpongeza diamond baada ya kupata tuzo 3 chanel o.

Mpaka kesho diamond anapata mafanikio kwa wimbo mmoja tu wa number 1 remix ambapo uwepo wa davido ndo umesababsh yote haya.

Diamond alitakiwa atulie azungumze na watu wakarbu lakin kakurupuka davdo katukanwa wakat stil hamchukii dimond.
Ni kweli Davido ana mchango kwenye mafanikio ya Diamond!

Lakini unatakiwa kujua Tuzo tatu za juzi zimetoka na My number 1 original!

Mtu akikusaidia maana yake amekusaidia na siyo ugeuke kuwa mtumwa wake na umuogope na kumtetemekea!

Mnajuaje kama Diamond alikuwa hatanii kama alivyo tania Davido?
Kama Davido hakuwa na nia mbaya kwanini muamini Diamond alikuwa na nia mbaya?

Kwanini mnalikuza hili jambo wakati kabla ya Diamond kupost Divido alishaanza kutukanwa? Diamond hakumtuma mtu kumtukana Davido! Kila mtu anajua watanzania wengi kutukana ni asili yao hivyo hakuna sababu ya kumsakama Diamond!

Acheni utumwa!
 
mmmhhhhh mi sielewi chochote watajuana wenyewe ila yule aliyemtukania mama ake davido ni mwehuu
 
Watz wana (Mimi simo) laana. Haiwezekani utoe hela uweke bundle ili upate nafasi ya kumtukana mtu wakati Huo huo wazee wako kijijini wanakufa njaa, haiwezekani unalia ajira huna wakati mtaji unaweka bundle ya kutukana watu mitandani. Kweli davido amembeba Sana diamond ila diamond anaonekana Hana shukrani. Hakupaswa kujibu. Davido aliandika kuhusu big brother kwani hata last year walidai elikem ndo alishinda ila walidanganya kumpa dillish

na mi simo kwa wapumbavu km wamezaliwa vichochoroni wasio na shukrani wenye mitusi km wanakharamu
 
I think kuna kitu unakosea au kuna ukweli unaupindisha..walichofanya watanzania ni sahihi kabisa..na hapo ndipo unapoona damu ya kizalendo iliyopo ndani yetu..sikupenda kabisa davido alichopost yaani was childship..huwez kupost vile watu wakakuacha salama.hongera sana idris na hongera mpiganaji diamond dangote...asanteni sana watanzania tupeane support siye ni most valued people in this regional and continental..
 
Sipendezwi na aina yyte ya matusi lakin bado namuonea huruma huyu alitokwa povu kumtetea davido kuwa hakumaanisha alichosema, nmetoka IG ss hv kwenye page ya usipojipanga ntakupanga amepost baada ya tayo kupewa usd 350000 na yule tajir wao davido kapost "we do this easy" bado cjaelewa hta huyo tajir kutoa pesa km zawadi zaid ya ya mshind halis ambae ni idris????? Bado naona kuna ukakas wa kisas na kukomoana hapa hawa wa2 sio washamba sana (naijas)
 
Status ya Davido aliyoandka ''N they cheat again lol!'' imetafsiriwa vibaya na watanzania na kuonesha kipaji chao cha matusi WAKAMTUSI MAMA YAKE.

Diamond ndie mtu wa kwanza anatakiwa kulaumiwa kwani alikurupuka baada ya kuandika ''Yeah we cheat again same night'' Yeye ndiye aliyewafanya watu wamshambulie DAVIDO kuwa alimaanisha sisi tumecheat kupata tuzo.

UKWELI NI HUU, Davido aliandka vile juu ya tukio la CRIS BROWN NA mpenzi wake KARUUCHE ambao walidanganya duniani wameachana na kusameheana.

DAVIDO aliona kama drama! akaona wametudanganya tena kwani si mara ya kwanza kutengana kama wana bifu na kurudiana.

Ukifuatilia twiter utaona BROWN na KARUUCHE wakitukanana juu ya ishu ya DRAKE huku still wanapendana na bado wapenzi.

PILI sisi hatutoi tuzo wala hatupangi big brother kama Davido mnasema aliongelea juu ya ushindi wa big brother basi haiwahusu ninyi inawahusu big brother ambao ndio wanaendesha mchakato wa mshndi.

NDIO MAANA KASEMA THEY CHEAT AGAIN wao BBA si nyie Nigeria wamekosa ushindi karibu miaka 5 mfululzo.DIAMOND JIFUNZE MAISHA NI WATU.

you think poorely.
 
Akili hizo diamond anazo basi? Diamond ametoboa ila haimaanishi Ana upeo. Majibu yale ni full udwanzi kwana alitakiwa awasiliane na mgt kabla ya kujibu. Watandale watandale tu

Kweli kabisa lazima kufikiri kabla ya kutenda sometimes ushauri unahitajika Davido kamsaidia sana kujulikana Africa tatizo baadhi Ya watu wanaweka ushabiki maandazi kwenye vitu ukurupukaji na matusi ndio imekua fashion sifa za kijinga mjasiri aachi asili Nigeria bado ni muhimu kwa music ya kibongo
 
Back
Top Bottom