Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!


Usimislead....Davido ni zaidi ya wizkid within Nigeria, america, ulaya na hata Africa. Kinachofanya Davido achukiwe na waniger ni dharau tu. Sina maana wizkid ni chini Sana ila ukimlinganisha na davido davido is far better
 

Umeona eeehh me nikiongea na mataifa mengine wanaonesha kumjua diamond through davido
 
Usimislead....Davido ni zaidi ya wizkid within Nigeria, america, ulaya na hata Africa. Kinachofanya Davido achukiwe na waniger ni dharau tu. Sina maana wizkid ni chini Sana ila ukimlinganisha na davido davido is far better

Wizkid is far from Davido kuanzia mauzo na kila kitu. Alichomzidi Wizkid ni yeye kutokea familia ya kitajiri tu. Wanaija wanampenda zaidi Wizkid, nenda kwenye forums zao utaona
 

Wanaija wengi wana dharau za kijinga sana kujiona wao ni wao tu wanaweza no one else than them hata huyo Tayo alikua ana tabia chafu huko mjengoni mwa Bba walizoea kujiona bora sana Africa sasa hyo kauli ya Tayo kupewa pesa inahusu nini Ya Idriss ndo ya heshima kiukweli wa Nigeria wanajiona bora na itazidi Ku wa cost
 

That doesn't mean akikudharau bado umnyenyekee tu... That project was win win to both
 

Ndomana sishangai wakimtukana
 
Dimondi amekuwa karibu na huyo Davido na anamjua kuliko sisi tunavyomjua.. Yawezekana anadeserve kujibiwa hivo, who knows?? Kaonesha chuki na dharau ya wazi kwa Watanzania kwanini tumchekee?? Lakini pia si busara kumtukana, watu wangemu ignore tu

Je alimtaja diamond kwenye ile twit? Aliitaja Tz? Mbona mnajibu Kama mko old stone age?? Meen hii ni karne ya 21 hatupaswi kuendeshwa na hisia.
Assume alimlenga diamond....so mtu akikufanyia vibaya na wewe unamjibu kwa ubaya ndo mnavyofundiswa?? Diamond anafanya kazi ya fasihi ambayo inatakiwa ielimishe na iburudishe..... Ndo maana wanaitwa vioo vya jamii kwamba waioneshe jamii wapi pa kurekebisha kwa kuonesha njia. Msanii anatakiwa aiishi kazi yake.

Though ni kweli davido ana dharau lakini kwa hili mmejistukia
 
Usimislead....Davido ni zaidi ya wizkid within Nigeria, america, ulaya na hata Africa. Kinachofanya Davido achukiwe na waniger ni dharau tu. Sina maana wizkid ni chini Sana ila ukimlinganisha na davido davido is far better

Ww umekalili et Davido yupo mbali than Wizzykid !! Lol🙈 in davido's voice
 

Kwahiyo we ulidhani amelengwa nani?? Twende taratibu haina haja ya kuhamaki. Kwanini alivyokua anatukanwa hakuweka clear what he meant?? Kwanini bado ameendelea kupost vitu vile vile mpaka leo?? Hiyo picha anamaanisha nini??
 

Attachments

  • 1418127304096.jpg
    47.8 KB · Views: 149

Ile mituzo imechukuliwa kwa Wimbo Wa No one official
Na hata co RmX Dada
 
Ww umekalili et Davido yupo mbali than Wizzykid !! Lol🙈 in davido's voice

Hahahaha kuwa juu ni subjective... Je umeangalia vigezo gani? Haha hata Tz iko juu ya marekani Kama utaangalia natural resources km gas, mafuta, mbuga, madini na mengine meeengi. Hope umenielewa
 
That doesn't mean akikudharau bado umnyenyekee tu... That project was win win to both

Hyo ya kushirikiana ni kweli ili boost domo hilo hicho si kigezo cha kutudharau kuwa kila kitu hatuwezi Wa Nigeria ndo zao kujiona wao ndo wao waishie huko wame ni bore hata ukiangalia forum zao wana diss balaa kuwa wameonewa na madharau yao
 
Wana dharau sana hiyo miziki yao watakua wanaskiliza wenyewe ndo mana big brother hata madhindano mengine hawatashinda wanajiona best Sana in Africa

Wemesahau cku hizi Tecno zimezagaa kitaani uku hata watoto wa chekechekea Wanazo Tunavote tu hata Sitti mtemvu angeenda Miss world tungevote tu ili aje na Crown kwa Nyerere poor Davido Poor naija
 
All in all,mie siungi mkono matusi lakini nawashangaa watanzania kwa unafiki wenu!Wageni na watu wa mataifa wengine mnawaona bora kuliko nyie!!Davido hakufanya poa,mi sio shabiki wa dai ila dai ni mtz mwenzangu!Hell no we didn't cheat!so to speak alivo retweet dai ni sawa tu!!Matusi ya wanaija mmeyaona!wanavoponda mmeona?tukemee matusi sio kupindisha tweet ya davido!!Ha we can do better pia!!Go! Go! Tz...hata bila Davido Nassib angefanya poa!!Sipendi urafiki wao uishe ila rafiki yako akikuzingua kisa ni rafiki utakaa kimya kama kondoo?no unampa makavu na urafiki unasonga na adabu ndo inakuwepo sasa!
 
Hahahaha kuwa juu ni subjective... Je umeangalia vigezo gani? Haha hata Tz iko juu ya marekani Kama utaangalia natural resources km gas, mafuta, mbuga, madini na mengine meeengi. Hope umenielewa

Vigezo vyote nimeangalia ila wamekosana kimoja tu Davido kaja Tanzania yule Bado ajakuja Tanzania kufanya Show
 

Kuna watu wanatetea ujinga mpaka nashangaa... Yani kusoma huwezi basi hata picha unashindwa kuitafsiri??
 
Wemesahau cku hizi Tecno zimezagaa kitaani uku hata watoto wa chekechekea Wanazo Tunavote tu hata Sitti mtemvu angeenda Miss world tungevote tu ili aje na Crown kwa Nyerere poor Davido Poor naija

Wana dharau hao siku Niko na wawest Africa wakawa wana shangaa simu yangu eti na wewe Una simu nzuri tunajua Nyie ni maskini walinikeraje wanatujua kuwa si ni choka mbaya wangejua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…