Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Davido hajamsaidia Diamond.. Wamesaidiana, Davido through that remix imeongeza soko lake La East Africa. Ndio maana unamwona hata huyo Davido alienda South kwa Mafikizolo. Sio kwamba he is bigger its just strategy ya kuongeza soko. Wizkid is way better than Davido lakini hujiulizi why davido anapata show Africa zaidi ya Wizkid?? Yeye kafanya colabo kila pande ya Africa

Usimislead....Davido ni zaidi ya wizkid within Nigeria, america, ulaya na hata Africa. Kinachofanya Davido achukiwe na waniger ni dharau tu. Sina maana wizkid ni chini Sana ila ukimlinganisha na davido davido is far better
 
Kamsaidia sana penye ukweli tuseme hata nchi nyingine wakiulizwa diamond mpaka wam refer yule aliyeimba na Davido ndo imemsaidia sana akajulikana almost Africa nzima kwenye collabo lazima tu appreciate collaboration yao imewasaidia wote hasa hasa kwa daimond

Umeona eeehh me nikiongea na mataifa mengine wanaonesha kumjua diamond through davido
 
Usimislead....Davido ni zaidi ya wizkid within Nigeria, america, ulaya na hata Africa. Kinachofanya Davido achukiwe na waniger ni dharau tu. Sina maana wizkid ni chini Sana ila ukimlinganisha na davido davido is far better

Wizkid is far from Davido kuanzia mauzo na kila kitu. Alichomzidi Wizkid ni yeye kutokea familia ya kitajiri tu. Wanaija wanampenda zaidi Wizkid, nenda kwenye forums zao utaona
 
Ww unamtetea Davido saana !! Wakati ujui tabia zake
Alishawahi kutweet ujinga kuhusu weezy kid
After CHOAMVA akasema "kuna watu wanafurahia ushindi lakini awakustahili"
After BBA akatweet "N they cheat again 🙈lol "
Mukamtetea na munaendelea kumtetea !!

Sasa kapost tena " Tayo kazawadiwa Pesa nyingi na billionare wa kinaija ambazo ni pesa nyingi kuliko Pesa alizoshinda Idris "

Hivi unapataje nguvu ya kumtetea Mtu kama uyo ?
Penden vya kwenu na mtetee vinavyowahusu .
Davido alimaanisha alichoandika🚶🚶🚶🚶

Wanaija wengi wana dharau za kijinga sana kujiona wao ni wao tu wanaweza no one else than them hata huyo Tayo alikua ana tabia chafu huko mjengoni mwa Bba walizoea kujiona bora sana Africa sasa hyo kauli ya Tayo kupewa pesa inahusu nini Ya Idriss ndo ya heshima kiukweli wa Nigeria wanajiona bora na itazidi Ku wa cost
 
Kamsaidia sana penye ukweli tuseme hata nchi nyingine wakiulizwa diamond mpaka wam refer yule aliyeimba na Davido ndo imemsaidia sana akajulikana almost Africa nzima kwenye collabo lazima tu appreciate collaboration yao imewasaidia wote hasa hasa kwa daimond

That doesn't mean akikudharau bado umnyenyekee tu... That project was win win to both
 
Wanaija wengi wana dharau za kijinga sana kujiona wao ni wao tu wanaweza no one else than them hata huyo Tayo alikua ana tabia chafu huko mjengoni mwa Bba walizoea kujiona bora sana Africa sasa hyo kauli ya Tayo kupewa pesa inahusu nini Ya Idriss ndo ya heshima kiukweli wa Nigeria wanajiona bora na itazidi Ku wa cost

Ndomana sishangai wakimtukana
 
Dimondi amekuwa karibu na huyo Davido na anamjua kuliko sisi tunavyomjua.. Yawezekana anadeserve kujibiwa hivo, who knows?? Kaonesha chuki na dharau ya wazi kwa Watanzania kwanini tumchekee?? Lakini pia si busara kumtukana, watu wangemu ignore tu

Je alimtaja diamond kwenye ile twit? Aliitaja Tz? Mbona mnajibu Kama mko old stone age?? Meen hii ni karne ya 21 hatupaswi kuendeshwa na hisia.
Assume alimlenga diamond....so mtu akikufanyia vibaya na wewe unamjibu kwa ubaya ndo mnavyofundiswa?? Diamond anafanya kazi ya fasihi ambayo inatakiwa ielimishe na iburudishe..... Ndo maana wanaitwa vioo vya jamii kwamba waioneshe jamii wapi pa kurekebisha kwa kuonesha njia. Msanii anatakiwa aiishi kazi yake.

Though ni kweli davido ana dharau lakini kwa hili mmejistukia
 
Usimislead....Davido ni zaidi ya wizkid within Nigeria, america, ulaya na hata Africa. Kinachofanya Davido achukiwe na waniger ni dharau tu. Sina maana wizkid ni chini Sana ila ukimlinganisha na davido davido is far better

Ww umekalili et Davido yupo mbali than Wizzykid !! Lol🙈 in davido's voice
 
Je alimtaja diamond kwenye ile twit? Aliitaja Tz? Mbona mnajibu Kama mko old stone age?? Meen hii ni karne ya 21 hatupaswi kuendeshwa na hisia.
Assume alimlenga diamond....so mtu akikufanyia vibaya na wewe unamjibu kwa ubaya ndo mnavyofundiswa?? Diamond anafanya kazi ya fasihi ambayo inatakiwa ielimishe na iburudishe..... Ndo maana wanaitwa vioo vya jamii kwamba waioneshe jamii wapi pa kurekebisha kwa kuonesha njia. Msanii anatakiwa aiishi kazi yake.

Kwahiyo we ulidhani amelengwa nani?? Twende taratibu haina haja ya kuhamaki. Kwanini alivyokua anatukanwa hakuweka clear what he meant?? Kwanini bado ameendelea kupost vitu vile vile mpaka leo?? Hiyo picha anamaanisha nini??
 

Attachments

  • 1418127304096.jpg
    1418127304096.jpg
    47.8 KB · Views: 149
Yani siku tususiwe na ngololo yetu ndo tutapata akili. Nyimbo za diamond kibao zilikuwepo why ile collabo na davido ndo ishinde tuzo kibaoooo nje ya Tz??? Watu watumie common sense ili mwisho wajue kuweka heshima kwa waliowainua (Mungu pamoja na wanadamu).

Ni aibu Sana mijitu Kama Monica (anayeaminika kipanga hapa mjini) eti nae alijibu hii movement. Nimempuuza bureeee

Ile mituzo imechukuliwa kwa Wimbo Wa No one official
Na hata co RmX Dada
 
Ww umekalili et Davido yupo mbali than Wizzykid !! Lol🙈 in davido's voice

Hahahaha kuwa juu ni subjective... Je umeangalia vigezo gani? Haha hata Tz iko juu ya marekani Kama utaangalia natural resources km gas, mafuta, mbuga, madini na mengine meeengi. Hope umenielewa
 
That doesn't mean akikudharau bado umnyenyekee tu... That project was win win to both

Hyo ya kushirikiana ni kweli ili boost domo hilo hicho si kigezo cha kutudharau kuwa kila kitu hatuwezi Wa Nigeria ndo zao kujiona wao ndo wao waishie huko wame ni bore hata ukiangalia forum zao wana diss balaa kuwa wameonewa na madharau yao
 
Wana dharau sana hiyo miziki yao watakua wanaskiliza wenyewe ndo mana big brother hata madhindano mengine hawatashinda wanajiona best Sana in Africa

Wemesahau cku hizi Tecno zimezagaa kitaani uku hata watoto wa chekechekea Wanazo Tunavote tu hata Sitti mtemvu angeenda Miss world tungevote tu ili aje na Crown kwa Nyerere poor Davido Poor naija
 
All in all,mie siungi mkono matusi lakini nawashangaa watanzania kwa unafiki wenu!Wageni na watu wa mataifa wengine mnawaona bora kuliko nyie!!Davido hakufanya poa,mi sio shabiki wa dai ila dai ni mtz mwenzangu!Hell no we didn't cheat!so to speak alivo retweet dai ni sawa tu!!Matusi ya wanaija mmeyaona!wanavoponda mmeona?tukemee matusi sio kupindisha tweet ya davido!!Ha we can do better pia!!Go! Go! Tz...hata bila Davido Nassib angefanya poa!!Sipendi urafiki wao uishe ila rafiki yako akikuzingua kisa ni rafiki utakaa kimya kama kondoo?no unampa makavu na urafiki unasonga na adabu ndo inakuwepo sasa!
 
Hahahaha kuwa juu ni subjective... Je umeangalia vigezo gani? Haha hata Tz iko juu ya marekani Kama utaangalia natural resources km gas, mafuta, mbuga, madini na mengine meeengi. Hope umenielewa

Vigezo vyote nimeangalia ila wamekosana kimoja tu Davido kaja Tanzania yule Bado ajakuja Tanzania kufanya Show
 
All in all,mie siungi mkono matusi lakini nawashangaa watanzania kwa unafiki wenu!Wageni na watu wa mataifa wengine mnawaona bora kuliko nyie!!Davido hakufanya poa,mi sio shabiki wa dai ila dai ni mtz mwenzangu!Hell no we didn't cheat!so to speak alivo retweet dai ni sawa tu!!Matusi ya wanaija mmeyaona!wanavoponda mmeona?tukemee matusi sio kupindisha tweet ya davido!!Ha we can do better pia!!Go! Go! Tz...hata bila Davido Nassib angefanya poa!!Sipendi urafiki wao uishe ila rafiki yako akikuzingua kisa ni rafiki utakaa kimya kama kondoo?no unampa makavu na urafiki unasonga na adabu ndo inakuwepo sasa!

Kuna watu wanatetea ujinga mpaka nashangaa... Yani kusoma huwezi basi hata picha unashindwa kuitafsiri??
 
Wemesahau cku hizi Tecno zimezagaa kitaani uku hata watoto wa chekechekea Wanazo Tunavote tu hata Sitti mtemvu angeenda Miss world tungevote tu ili aje na Crown kwa Nyerere poor Davido Poor naija

Wana dharau hao siku Niko na wawest Africa wakawa wana shangaa simu yangu eti na wewe Una simu nzuri tunajua Nyie ni maskini walinikeraje wanatujua kuwa si ni choka mbaya wangejua
 
Back
Top Bottom