Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

wizkid ni mswahili afadhali hata davido.
wizkid.jpg

Ndio uyu mswahili mwenzetu ndiomana kawa artist wa kwanz kutuwish happy indepence day kutoka Nigeria kajielewa kuwa yy n mswahili tu .

Suala la Video ulitaka aweke watu weuc ili Video irushiwe ndizi au
 
bado niko neutral kwenye hili sakata la davido...but tangu nianze ku mfollow instagram jana nimeanza kumuelewa davido ni mtu wa namna gani...

1.ana utoto flani hivi wa kijinga
2.ana penda malumbano/ligi
3.ana maneno flani hivi ya kidada(sorry ladies sina nia mbaya)
4.ana dharau/ana majivuno
5.Ni limbukeni.

Angalia hizi post zake uta kubaliana na maneno yangu

aiseeh ht mimi ila kwa matusi aliyotukanwa davido hapana acha tu apige vijembe
jitu linamtukania mama ake ye km ametoka kwenye mdomo vile mi sipendi sana matusi nachukia matusi na mtu akishatukana tuu yaani namuona hana akili nzuri
 
Ndio uyu mswahili mwenzetu ndiomana kawa artist wa kwanz kutuwish happy indepence day kutoka Nigeria kajielewa kuwa yy n mswahili tu .

Suala la Video ulitaka aweke watu weuc ili Video irushiwe ndizi au

swala la video ye kuchagua half ni uamuzi wake ili auze,hebu shuti video kijijini kwenu unafukuzana na mbuzi sijui nani atanunua
 
huyu nae chizi tuu mnafki
anataka umaarufu kupitia davido
aende zake mi ht sijui anachoimba

Anataka umarufu kupitia Davido ?? Inaonekana huwa unamckilizaga alafu umuelewi ? Sa kupitia Davido atake umaarufu gani ebu funguka
 

Attachments

  • 1418154334645.jpg
    1418154334645.jpg
    72 KB · Views: 152
sijapenda mood kuunganisha yangu na hii.m nlikuwa na picha za tweet za wabongo waliotukana hovyo wakiongozwa na aman michael.bt swez weka nimetendewa isvyo na mood
 
Wizkid from poor family and davido from rich family only dat.......

DAVIDO ain't loyal ....

For naija wizkid talk in town thn davido for now.........

Wizkid bdo huku kwetu haja take it over...but soon mtamwelewaaa....haya ma collaboration anayo yafanya ni noumer sana.....#don 't tel em.........BY JEREMIAH
 
Achana nao Watz wanashobo Sana Davido ,Davido n nani yy ?

Kwenye ile tweet kuna lijamaa aliiretweet hivi "They didn't gv it to Our Tayo but They gv it to Idr hu don't deserve it " then Davido akajibu " I observe it "
Tatzo linakuja Watz wanaomtetea Davido awajaiona Post ya Twitter ila wameona Screen capture ya iyo Post , kama wangeona Mambo yaliyomo ndani ya post wasingeshangaa Davido alukua anawasapot Ndgu zake .

Ukienda Insta ndio unakuta wanaija wanatuc 👉Amna Elimu ,
Nchi yenu local gvmnt
Wajinga ,mashoga
Sasa watu kama ao ucwatukane unasubili nn ?
Kawida Adui akikupiga ngumi moja ww piga Mbili na Zaidi
Yule aliyemtukana Tuc zito Davido namtfuta nimpe zawadi
She nailed it 🙈Lol in Davido's Voice 🚶🚶🚶

Binafsi Niko twitter. Hivi hujawahi kuona celeb anapost kitu alafu shabiki anaelewa kivyake na anajibu alivyoelewa? Mfano Leo penny amepost mtoto amelala akaweka na caption flani hivi followers wakaanza comment rest in peace
 
Binafsi Niko twitter. Hivi hujawahi kuona celeb anapost kitu alafu shabiki anaelewa kivyake na anajibu alivyoelewa? Mfano Leo penny amepost mtoto amelala akaweka na caption flani hivi followers wakaanza comment rest in peace

Je na penny alisema Ameen au ?
Mana baada ya wanaija kukoment Davido alikua anajibu zile koment zao akionesha dhahir awajafurahishwa
 
sijapenda mood kuunganisha yangu na hii.m nlikuwa na picha za tweet za wabongo waliotukana hovyo wakiongozwa na aman michael.bt swez weka nimetendewa isvyo na mood

Hata mm ninazo za wanaija walizokua wanatutukana
 
kama kwa m-bongo kushinda amecheat (awe BBA au CHO) maana yake hatukustahili kushinda isipokua yeye au wao!!
na akisema ''again'' anarefer tukio,which is obviously la tuzo za chO....SA au nani kama wana mpango wa kuwashusha ni suala lao na SA.Wakishinda tu ndio inakua fair!jibu la chibu ni sahihi kabisa.
na tuzo aliopata domo kule kwao ni jibu mujarabu kwamba hakuna anaewashusha ila ni wakati tu.

kuuhsu kiki mwanzo kabisa wa thread hii kuna mtu anampinga Diamond kujibu vile akiona kwamba domo anatafuta kiki...so that was for him.Hata kama alimaanisha bba na cho wamecheat,kwa ushindi wa hawa watanzania wawili maana yake ni kwamba wapopo wanaona hatustahili kushinda chochote wakiwepo..ASITUZINGUE HAPA!

we ndo umeandka utumbo hv lol! eti anaposema again anamaansha na chanel 0.yeye katalk about bba karbu miaka 4 naija haishnd bba hata ilyopta walkarbia kushnda.
 
Back
Top Bottom