Achana nao Watz wanashobo Sana Davido ,Davido n nani yy ?
Kwenye ile tweet kuna lijamaa aliiretweet hivi "They didn't gv it to Our Tayo but They gv it to Idr hu don't deserve it " then Davido akajibu " I observe it "
Tatzo linakuja Watz wanaomtetea Davido awajaiona Post ya Twitter ila wameona Screen capture ya iyo Post , kama wangeona Mambo yaliyomo ndani ya post wasingeshangaa Davido alukua anawasapot Ndgu zake .
Ukienda Insta ndio unakuta wanaija wanatuc 👉Amna Elimu ,
Nchi yenu local gvmnt
Wajinga ,mashoga
Sasa watu kama ao ucwatukane unasubili nn ?
Kawida Adui akikupiga ngumi moja ww piga Mbili na Zaidi
Yule aliyemtukana Tuc zito Davido namtfuta nimpe zawadi
She nailed it 🙈Lol in Davido's Voice 🚶🚶🚶