Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

wizkid ni mswahili afadhali hata davido.

Ndio uyu mswahili mwenzetu ndiomana kawa artist wa kwanz kutuwish happy indepence day kutoka Nigeria kajielewa kuwa yy n mswahili tu .

Suala la Video ulitaka aweke watu weuc ili Video irushiwe ndizi au
 

aiseeh ht mimi ila kwa matusi aliyotukanwa davido hapana acha tu apige vijembe
jitu linamtukania mama ake ye km ametoka kwenye mdomo vile mi sipendi sana matusi nachukia matusi na mtu akishatukana tuu yaani namuona hana akili nzuri
 
Ndio uyu mswahili mwenzetu ndiomana kawa artist wa kwanz kutuwish happy indepence day kutoka Nigeria kajielewa kuwa yy n mswahili tu .

Suala la Video ulitaka aweke watu weuc ili Video irushiwe ndizi au

swala la video ye kuchagua half ni uamuzi wake ili auze,hebu shuti video kijijini kwenu unafukuzana na mbuzi sijui nani atanunua
 
huyu nae chizi tuu mnafki
anataka umaarufu kupitia davido
aende zake mi ht sijui anachoimba
we unadhani huyo na davido na alikutwa kwenye industry ya mziki?
 
huyu nae chizi tuu mnafki
anataka umaarufu kupitia davido
aende zake mi ht sijui anachoimba

Anataka umarufu kupitia Davido ?? Inaonekana huwa unamckilizaga alafu umuelewi ? Sa kupitia Davido atake umaarufu gani ebu funguka
 

Attachments

  • 1418154334645.jpg
    72 KB · Views: 152
swala la video ye kuchagua half ni uamuzi wake ili auze,hebu shuti video kijijini kwenu unafukuzana na mbuzi sijui nani atanunua

Wao wameshamuona ana roho mbaya ,mbaguzi
 
sijapenda mood kuunganisha yangu na hii.m nlikuwa na picha za tweet za wabongo waliotukana hovyo wakiongozwa na aman michael.bt swez weka nimetendewa isvyo na mood
 
Wizkid from poor family and davido from rich family only dat.......

DAVIDO ain't loyal ....

For naija wizkid talk in town thn davido for now.........

Wizkid bdo huku kwetu haja take it over...but soon mtamwelewaaa....haya ma collaboration anayo yafanya ni noumer sana.....#don 't tel em.........BY JEREMIAH
 

Binafsi Niko twitter. Hivi hujawahi kuona celeb anapost kitu alafu shabiki anaelewa kivyake na anajibu alivyoelewa? Mfano Leo penny amepost mtoto amelala akaweka na caption flani hivi followers wakaanza comment rest in peace
 
Binafsi Niko twitter. Hivi hujawahi kuona celeb anapost kitu alafu shabiki anaelewa kivyake na anajibu alivyoelewa? Mfano Leo penny amepost mtoto amelala akaweka na caption flani hivi followers wakaanza comment rest in peace

Je na penny alisema Ameen au ?
Mana baada ya wanaija kukoment Davido alikua anajibu zile koment zao akionesha dhahir awajafurahishwa
 
sijapenda mood kuunganisha yangu na hii.m nlikuwa na picha za tweet za wabongo waliotukana hovyo wakiongozwa na aman michael.bt swez weka nimetendewa isvyo na mood

Hata mm ninazo za wanaija walizokua wanatutukana
 

we ndo umeandka utumbo hv lol! eti anaposema again anamaansha na chanel 0.yeye katalk about bba karbu miaka 4 naija haishnd bba hata ilyopta walkarbia kushnda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…