Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

Davido (David Adedeji Adeleki): They cheated again! (as Idris wins)!

esc343

JF-Expert Member
Joined
Apr 17, 2014
Posts
354
Reaction score
581
Nigerians think kwamba matokeo yamechakachuliwa, wanahisi South Africans na nchi zote za SADC zimeungana kuwa toa kwenye entertainment Industry.

Tokea tuzo za Channel O last weekend na leo BBA

attachment.php


Diamond's response:

attachment.php


B4R4skICUAI13iG.jpg:medium
 

Attachments

  • Screen Shot 2014-12-07 at 22.52.36.png
    Screen Shot 2014-12-07 at 22.52.36.png
    36.3 KB · Views: 32,304
  • Screen Shot 2014-12-08 at 00.20.15.png
    Screen Shot 2014-12-08 at 00.20.15.png
    62.2 KB · Views: 31,102
Davido ana roho ya kwanini ma bifu maana amekosa tuzo channel O amehisi kaonewa
 
this is bullshit, kwani wao wana nini mpaka washinde kila kitu??? poor them
 
Karibu nyumbani idris, ngoja nikupe yaliyo jiri while ulikuwa uko mjengoni
1. Wema kaachana na chibu, chibu kajiegesha kwa zari "the boss lady".
2. Kuna ugonjwa mpya wa "tezi dume", unatibiwa marekani tu na unawapata sana sana viongozi wakubwa wa nchi
3. Kama una account Mkombozi ukifika kacheki, unaweza kuwa umepata gawio la escrow. Wengine wamepata mara tatu ya ulioshinda

Welcome back home
 
wabongo kwa kuunganisha stori....wakaonganisha na tuzo za channel O
 
Ila i don think kama Davido was serious,kwenye tweet yake kuna ka icon ka kuonea Aibu anachokisema....i believe he wasn't serious

Ukitaka kujua alikuwa serious au lah aungalia maongezi yao! hata Mimi nilifikiri hivyo! Diamond kanifurahisha kwa statement yake ya kijasiri baada ya kuchukua tunzo nyingine kwao
 

Attachments

  • 1417987526314.jpg
    1417987526314.jpg
    52.9 KB · Views: 2,833
Karibu nyumbani idris, ngoja nikupe yaliyo jiri while ulikuwa uko mjengoni
1. Wema kaachana na chibu, chibu kajiegesha kwa zari "the boss lady".
2. Kuna ugonjwa mpya wa "tezi dume", unatibiwa marekani tu na unawapata sana sana viongozi wakubwa wa nchi
3. Kama una account Mkombozi ukifika kacheki, unaweza kuwa umepata gawio la escrow. Wengine wamepata mara tatu ya ulioshinda

Welcome back home

Sijapenda but nimecheka sana
 
Back
Top Bottom