Wabongo tunapenda shari za kwenye mitandao, sijapata kuona... no wonder ingawaje na sisi enzi zetu tulikuwa tunafeli lakini miziro ya siku hizi imezidi kuwa mingi manake kutwa kucha watu tunashinda kwenye mitandao kushabikia mabifu!!nimemdharau yule aliyemtukana ila amejibu tena i do regret maana alivyomjibu kanifurahisha kweli davyy